Waziri Mabula amtaka Meya wa Kinondoni mh Songoro kuiheshimu Sheria anapojihusisha na Migogoro ya Ardhi

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,017
142,056
Waziri wa Ardhi Dr Mabula amesema taarifa iliyotolewa na Meya wa Kinondoni mh Songoro kwamba Wizara inashughulikia Migogoro wa Slipway Ltd siyo ya kweli

Dr Mabula amesema Sera ya kuboresha maeneo ya Masaki na Oysterbay ya Mwaka 2011-2031 ilipitishwa na Baraza la Mawaziri hivyo mgogoro wowote wa Wawekezaji unaamuliwa na Baraza la Mawaziri siyo Meya

Aidha Waziri Dr Mabula amemuagiza RC Makalla na Wakuu wote wa mikoa kusimamia kwa karibu maswala ya Wawekezaji ili kuwaondolea usumbufu kutoka kwa walio chini yao

Source: Star tv
 
Waziri wa Ardhi Dr Mabula amesema taarifa iliyotolewa na Meya wa Kinondoni mh Songoro kwamba Wizara inashughulikia Migogoro wa Slipway Ltd siyo ya kweli

Dr Mabula amesema Sera ya kuboresha maeneo ya Masaki na Oysterbay ya Mwaka 2011-2031 ilipitishwa na Baraza la Mawaziri hivyo mgogoro wowote wa Wawekezaji unaamuliwa na Baraza la Mawaziri siyo Meya

Aidha Waziri Dr Mabula amemuagiza RC Makalla na Wakuu wote wa mikoa kusimamia kwa karibu maswala ya Wawekezaji ili kuwaondolea usumbufu kutoka kwa walio chini yao

Source: Star tv

Mama mchapa kazi , hanaga mba mba mba
 
Waziri wa Ardhi Dr Mabula amesema taarifa iliyotolewa na Meya wa Kinondoni mh Songoro kwamba Wizara inashughulikia Migogoro wa Slipway Ltd siyo ya kweli

Dr Mabula amesema Sera ya kuboresha maeneo ya Masaki na Oysterbay ya Mwaka 2011-2031 ilipitishwa na Baraza la Mawaziri hivyo mgogoro wowote wa Wawekezaji unaamuliwa na Baraza la Mawaziri siyo Meya

Aidha Waziri Dr Mabula amemuagiza RC Makalla na Wakuu wote wa mikoa kusimamia kwa karibu maswala ya Wawekezaji ili kuwaondolea usumbufu kutoka kwa walio chini yao

Source: Star tv
Hii mbona haijakaa vizuri? Mgogoro gani huo wa Slipway? Na mbona kwa taarifa uliyoweka Meya hajasema yeye ndie anaeshughulikia mgogoro huu? Yeye kasema Wizara ndio inashughulikia. Sasa kama Waziri atataka kupeleka kwa wenzake kwenye Baraza lao hilo ni la kwake. Ila mamlaka yenye dhamana ya kushughulikia masuala yote ya ardhi ni wizara yake. Hapa anakwepa kuwajibika tu.
Amandla...
 
Back
Top Bottom