Namshanga sana Dkt. Kigwangalla kumshambulia Dkt.Bashiru juu ya uanachama wake. Kama mwana chama wa CCM sijapendezwa na kauli yake kwa sababu CCM kinaamini kila mwanachama ni sawa na mwingine bila...
Jumla ya Sh3 bilioni zimetengwa kwa ajili ya kuwasomesha wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika masomo ya sayansi katika mitihani yao ya kidato cha sita.
Ufadhili huo ambao unaanza mwaka...
Wakati wa Utawala wa Serikali ya awamu ya Tano, Dr Bashiru Ally ulikuwa Kiongozi Mwandamizi wa Chama na baadaye kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Ni imani yangu kuwa ulikuwa miongoni mwa washauri wakuu...
Hii kauli ya Dr Bashiru kwa MVIWATA nataka niiangalie kikatiba na kiBiblia zaidi
Sitajali hata kama yeye alikuwa akishukuriwa na Kusifiwa wakati anatimiza Majukumu yake ambayo kwayo alilipwa...
UVCCM wameanza kwa kusema Dr. Bashiru ajitafakari.
Kwangu mimi naona hata ubunge wanaweza kumnyanganya maana directly ame m-attack Samia kwa kauli kuwa MVIWATA hawapashiwi kuwa wapambe wa kusifia...
Hivi shida ni nini? Kwanini wanaotuongoza wanaonyesha uwezo mdogo wa fikra ama ni kutokujali. Kwanini hatuna umeme wa Gesi?
Kwanini Hatuna umeme wa Makaa y mawe? Kwanini hakuna mfumo wa kukinga...
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wabwagwa kwenye uchaguzi wa CCM Mkoa wa Singida, wabunge hao ni Mbunge wa Jimbo la Singida mjini Musa Sima na Mbunge wa Jimbo la Singida...
CCM na Kwaya yao Maarufu ijulikanayo....
"ASALI CHOIR GROUP"
Huku wakitamba na kutambaa na "Albamu" Yao maarufu inayotamba kote "Wizarani" mpaka "Mashinani" ijulikanayo kwa jina la....
"TUMSIFU...
Kwa utaratibu wa siasa za Kiafrika ninashauri haraka iwezekavyo katiba ya nchi ibadilishwe na kiongozi yeyote wa chama asiwe au asichaguliwe kuwa Rais wa nchi.
Utaratibu uliopo ni ndoto nchi...
Tangu nimeamka asubuhi na mapema umeme katika mtaa wangu haujarudi wananchi ambao ni wachomeleaji na wauzaji wa juice pamoja na mama ntilie wameisoma namba
Wito wangu kwa serikali kwa hiyo mbinu...
Jana wamekata saa 1 asubuhi. Umerudi usiku saa sita. Saa hizi saa moja wamekata. Huu siyo mgao, ni kama tu hakuna umeme. Nafikiri serikali imeshindwa kuzalisha na kusambaza umeme. Na hata hilo...
Hii kauli imenishangaza sana! Na hasa kwa vile imetoka kwa Katibu Mkuu wa CCM.
Akizungumza leo Ndugu Daniel Chongolo ambaye ni Katibu Mkuu wa CCM, amedai kwamba CCM ni chama kikubwa na kwamba...
Rais Samia ogopa sifa za wanasiasa,zimejaa unafiki wa hali ya juu sana,wengi wao wanatarajia teuzi,wengine ni wasiadizi wako wanashindwa kutimiza majukumu yao, wanajificha kwenye kichaka cha...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM UVCCM, Kenani Kihongosi amemtaka Dkt. Bashiru aombe radhi kutokana na kauli yake aliyotoa wakati wa mkutano mkuu wa Mviwata, Kenani amekiomba chama...
Kigwangalla una laana ya yule Twiga uliemgonga kule TarangireNationalPark!
Tangia ile ajali ni kama Dishi lako liliyumba mpaka leo hii.
Na kwa haya unayoyafanya.....
*Kwa kumuandama...
Hao watu (wana CCM) wanachukiana mno na siku ikitimu ya wao kulipana visasi amini nawaambia kwacho kitakuwa kisasi cha kutisha!
CCM hawapendani hatari na sababu hasa ni maslahi yao binafsi na...
Ili kunogesha siasa za nchi yetu nashauri wanasiasa wote ndani ya CCM na nje ya CCM wanaoona wanaweza kuwa marais wa nchi watangaze mapema waanze kujijenga na kutoa sera zao mbadala mapema.
Watu...
Najiuliza Huyu Dkt. Bashiru ni mjamaa? Maana wajamaa ndio hupenda kutumia hili Neno Wanyonyaji
Wakati wa Nyerere tuliimba
"Mabepari walia kukatiwa mirija ya unyonyaji walipotangaziwa Azimio la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.