6 Pack
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 1,826
- 4,074
Za asubuhi wakuu wote wa hapa JF.
Kuna maswali nimekuwa nikijiuliza kuhusiana na wachezaji wetu wa timu ya taifa na hata wale wa club ambao ni watanzania. Mbona sijawahi kuwaona wakigombea au kuchaguliwa kuwa wabunge kama wenzao wasanii?
Mbona sijawahi kuwaona wakichaguliwa au kuteuliwa kuwa mawaziri au manaibu waziri kama wenzao wasanii?
Sijawahi kuwaona wakichaguliwa au kuteuliwa kuwa wakuu wa wilaya nk kama wenzao wasanii?
Je tatizo ni nini kutokujiweka karibu na siasa au kutokukubaliwa na mfumo ambao mara nyingi ndo hupanga nani awe nani na nani awe nani?
Mwenye kujua au kuwa na majibu ya haya maswali naomba anisaidie kunijibu. Nitamshukuru kwa majibu yake. Lakini pia hata asiekuwa na majibu pia anaruhusiwa kusoma na kuchangia.
Haya twende kazi!
Kuna maswali nimekuwa nikijiuliza kuhusiana na wachezaji wetu wa timu ya taifa na hata wale wa club ambao ni watanzania. Mbona sijawahi kuwaona wakigombea au kuchaguliwa kuwa wabunge kama wenzao wasanii?
Mbona sijawahi kuwaona wakichaguliwa au kuteuliwa kuwa mawaziri au manaibu waziri kama wenzao wasanii?
Sijawahi kuwaona wakichaguliwa au kuteuliwa kuwa wakuu wa wilaya nk kama wenzao wasanii?
Je tatizo ni nini kutokujiweka karibu na siasa au kutokukubaliwa na mfumo ambao mara nyingi ndo hupanga nani awe nani na nani awe nani?
Mwenye kujua au kuwa na majibu ya haya maswali naomba anisaidie kunijibu. Nitamshukuru kwa majibu yake. Lakini pia hata asiekuwa na majibu pia anaruhusiwa kusoma na kuchangia.
Haya twende kazi!