Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,755
- 218,367
Taarifa iliyosambazwa Nchini Tanzania , inaeleza kwamba Issa Ponda , Sheikh anayetajwa kama mpiganiaji bora wa Mali za Waislam kwenye eneo la Maziwa Makuu , kesho tarehe 02/05/2023 ataongea na Waandishi wa Habari kuhusu mali za Bakwata , ambalo ni Baraza la Waislam la Tanzania .
Mahali ni Kigala Hotel , Buguruni Malapa , kuanzia Saa 4 asubuhi .
Wote mnakaribishwa .
Mahali ni Kigala Hotel , Buguruni Malapa , kuanzia Saa 4 asubuhi .
Wote mnakaribishwa .