johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
Kama kuna kitu cha kumfanya Rais yoyote akumbukwe Daima basi ni kuwasaidia Wananchi kupata Katiba iliyo Bora
Sanaa nyingine zote zitapita lakini saini yako kwenye Katiba Bora itadumu
Mlale Unono!
Sanaa nyingine zote zitapita lakini saini yako kwenye Katiba Bora itadumu
Mlale Unono!