Chini ya Msambatavangu na Tulia itaichukua CHADEMA muda mrefu kurudi Iringa na Mbeya

FPT

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
1,201
1,839
Usione Mchungaji Msigwa na Mr.Sugu wamechakazwa mno na wakina mama kule Iringa na Mbeya ambako wanachukuliwa kama wafalme ukaona ni tukio la kawaida.

Jesca Msambatavangu ambaye ni mbunge wa Iringa na Tulia Ackson ambaye ni mbunge wa Mbeya ni wanawake kwa muonekano tu lakini ni mashupavu kama wanaume.

Madam Jesca kama alivyozoeleka kuitwa na wakazi wa Iringa anabebwa na yafuatayo;

Kwanza ni mzungumzaji mzuri sana na katika eneo hili kamuacha Msigwa kwa mbali sana. Kipindi nipo Iringa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 wakazi wengi wa Kihesa walitamani sana Jesca agombee na lingekuwa Jambo la kushangaza asingefanya hivyo.

Pili, Madam Jesca anazijua siasa za Iringa sana. Mwanamke kupita kwenye nafasi ya uenyekiti wa CCM Mkoa sio Jambo la kitoto. Jesca anazijua mno siasa za Iringa.

Tatu , madam Jesca ni Jasiri mno. Licha ya kusimamishwa uanachama kwa kile kinachodaiwa hujuma aliyofanya kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 hakukata tamaa. Alijirudi na kuomba radhi na hapa ndipo ninasema ni Jasiri kwa sababu wengine huwa wanasusa kabisa.

Kwa upande wa Sugu kule Mbeya ana kazi sana na kushindana na Tulia. Nimebahatika pia kwenda Mbeya ya Sugu na Mbeya ya Tulia nikiri kusema ni Mbeya mbili tofauti. Mbeya ya Tulia maendeleo yanaonekana. Kwa Mbeya, Tulia yawezekana akawa mbunge wa kudumu kwa sababu:

Kwanza, ni msomi. Tulia anatumia usomi wake Kuwapatia wana Mbeya kile wanachokitaka nacho ni maendeleo. Leo hii wanyakyusa hawawezi kuongea sentesi bila kumtaja Tulia.

Pili, Tulia ni mwanasiasa na siasa safi ndio zinazotupatia uongozi bora. Tofauti na mwenzake Sugu ambaye ni mwanaharakati ,zama za siasa za kiharakati zimepitwaa na wakati na zimewachosha sana wana Mbeya.

Tatu, Chini ya Tulia ,Mbeya ipo salama zaidi. Tulia anawajibika kwa wapiga kura wake sana na anawajibika kwa makundi yote bila kujali itikadi zao.

Madam Jesca na Tulia Ackson wana sifa za ziada zinazowatofautisha na Mch. Msigwa na Mr. Sugu hivyo sitoshangazwa na kujitutumua kwa Sugu na Msigwa kutozaa matunda. Kiongozi ni sharti na ni budi awe na sifa na uwezo wa ziada.
 
Usione Mchungaji Msigwa na Mr.Sugu wamechakazwa mno na wakina mama kule Iringa na Mbeya ambako wanachukuliwa kama wafalme ukaona ni tukio la kawaida.

Jesca Msambatavangu ambaye ni mbunge wa Iringa na Tulia Ackson ambaye ni mbunge wa Mbeya ni wanawake kwa muonekano tu lakini ni mashupavu kama wanaume.

Madam Jesca kama alivyozoeleka kuitwa na wakazi wa Iringa anabebwa na yafuatayo"

Kwanza ni mzungumzaji mzuri sana na katika eneo hili kamuacha Msigwa kwa mbali sana. Kipindi nipo Iringa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 wakazi wengi wa Kihesa walitamani sana Jesca agombee na lingekuwa Jambo la kushangaza asingefanya hivyo.

Pili, Madam Jesca anazijua siasa za Iringa sana. Mwanamke kupita kwenye nafasi ya uenyekiti wa CCM Mkoa sio Jambo la kitoto. Jesca anazijua mno siasa za Iringa.

Tatu , madam Jesca ni Jasiri mno. Licha ya kusimamishwa uanachama kwa kile kinachodaiwa hujuma aliyofanya kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 hakukata tamaa. Alijirudi na kuomba radhi na hapa ndipo ninasema ni Jasiri kwa sababu wengine huwa wanasusa kabisa.

Kwa upande wa Sugu kule Mbeya ana kazi sana na kushindana na Tulia. Nimebahatika pia kwenda Mbeya ya Sugu na Mbeya ya Tulia nikiri kusema ni Mbeya mbili tofauti. Mbeya ya Tulia maendeleo yanaonekana. Kwa Mbeya, Tulia yawezekana akawa mbunge wa kudumu kwa sababu:

Kwanza, ni msomi. Tulia anatumia usomi wake Kuwapatia wana Mbeya kile wanachokitaka nacho ni maendeleo. Leo hii wanyakyusa hawawezi kuongea sentesi bila kumtaja Tulia.

Pili, Tulia ni mwanasiasa na siasa safi ndio zinazotupatia uongozi bora. Tofauti na mwenzake Sugu ambaye ni mwanaharakati ,zama za siasa za kiharakati zimepitwaa na wakati na zimewachosha sana wana Mbeya.

Tatu, Chini ya Tulia ,Mbeya ipo salama zaidi. Tulia anawajibika kwa wapiga kura wake sana na anawajibika kwa makundi yote bila kujali itikadi zao.

Madam Jesca na Tulia Ackson wana sifa za ziada zinazowatofautisha na Mch. Msigwa na Mr. Sugu hivyo sitoshangazwa na kujitutumua kwa Sugu na Msigwa kutozaa matunda. Kiongozi ni sharti na ni budi awe na sifa na uwezo wa ziada.
Unaweza kulisaidia jukwaa hili kulipa facts juu ya madai yako kua sugu hakua na siasa saf how? Sugu hakupeleka maendeleo how kwamba alikula pesa za maendeleo ya wana Mbeya? Tunahitaji facts katika hii conception yako tafadhali!!!
 
Facts ni kwamba chini ya ubunge wa sugu Mbeya na mnyika iringa HAKUNA LA MSINGI LA MAENDELEO LILILOFANYIKA, WANANCHI WATAKAPOTAKA KUWARUDISHA WATU HAO, ITASHANGAZA SANA LAKINI NI HIYARI YAO!, WANA MACHO WANA MASIKIO!
 
Usione Mchungaji Msigwa na Mr.Sugu wamechakazwa mno na wakina mama kule Iringa na Mbeya ambako wanachukuliwa kama wafalme ukaona ni tukio la kawaida.

Jesca Msambatavangu ambaye ni mbunge wa Iringa na Tulia Ackson ambaye ni mbunge wa Mbeya ni wanawake kwa muonekano tu lakini ni mashupavu kama wanaume.

Madam Jesca kama alivyozoeleka kuitwa na wakazi wa Iringa anabebwa na yafuatayo"

Kwanza ni mzungumzaji mzuri sana na katika eneo hili kamuacha Msigwa kwa mbali sana. Kipindi nipo Iringa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 wakazi wengi wa Kihesa walitamani sana Jesca agombee na lingekuwa Jambo la kushangaza asingefanya hivyo.

Pili, Madam Jesca anazijua siasa za Iringa sana. Mwanamke kupita kwenye nafasi ya uenyekiti wa CCM Mkoa sio Jambo la kitoto. Jesca anazijua mno siasa za Iringa.

Tatu , madam Jesca ni Jasiri mno. Licha ya kusimamishwa uanachama kwa kile kinachodaiwa hujuma aliyofanya kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 hakukata tamaa. Alijirudi na kuomba radhi na hapa ndipo ninasema ni Jasiri kwa sababu wengine huwa wanasusa kabisa.

Kwa upande wa Sugu kule Mbeya ana kazi sana na kushindana na Tulia. Nimebahatika pia kwenda Mbeya ya Sugu na Mbeya ya Tulia nikiri kusema ni Mbeya mbili tofauti. Mbeya ya Tulia maendeleo yanaonekana. Kwa Mbeya, Tulia yawezekana akawa mbunge wa kudumu kwa sababu:

Kwanza, ni msomi. Tulia anatumia usomi wake Kuwapatia wana Mbeya kile wanachokitaka nacho ni maendeleo. Leo hii wanyakyusa hawawezi kuongea sentesi bila kumtaja Tulia.

Pili, Tulia ni mwanasiasa na siasa safi ndio zinazotupatia uongozi bora. Tofauti na mwenzake Sugu ambaye ni mwanaharakati ,zama za siasa za kiharakati zimepitwaa na wakati na zimewachosha sana wana Mbeya.

Tatu, Chini ya Tulia ,Mbeya ipo salama zaidi. Tulia anawajibika kwa wapiga kura wake sana na anawajibika kwa makundi yote bila kujali itikadi zao.

Madam Jesca na Tulia Ackson wana sifa za ziada zinazowatofautisha na Mch. Msigwa na Mr. Sugu hivyo sitoshangazwa na kujitutumua kwa Sugu na Msigwa kutozaa matunda. Kiongozi ni sharti na ni budi awe na sifa na uwezo wa ziada.
Endelea kuota hivyo hivyo.
Wale manzi wa CCM waanze kutafuta kazi nyingine ya kufanya, uwezekano wa kurudi tena bungeni ni 0%, zile mbeleko za kubebwa na yule haramia wa kule Chato mwaka 2020, mwaka 2025 huenda hazitakuwepo tena.
Wajifunze sasa kusoma alama za nyakati.
 
Bila ya msaada wa polisi, hao akina Jesca na Tulia; ni wepesi kuliko hata unyoya. Kama huyo Jesca ndiyo kabisaa! Hata kujenga tu hoja bungeni hajui. Akipewa nafasi ya kuzungaumza, mara zote amekuwa akiongea utumbo tu.

Nitashangaa kama hao wamama wawili watarejea tena bungeni 2025, iwapo kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki.
 
Endelea kuota hivyo hivyo.
Wale manzi wa CCM waanze kutafuta kazi nyingine ya kufanya, uwezekano wa kurudi tena bungeni ni 0%, zile mbeleko za kubebwa na yule haramia wa kule Chato mwaka 2020, mwaka 2025 huenda hazitakuwepo tena.
Wajifunze sasa kusoma alama za nyakati.
Kujifariji Ruksa!
 
Ukweli uliowazi, ukiwekwa uchaguzi huru na wa haki kwenye majimbo hayo SUGU na MSIGWA wanashinda asubuhi na mapema sana, influence ya watu hawa katika maeneo hayo..

Hao akina mama kwa maana ya Jesca na Tulia hawana lolote la maana zaidi ya kubebwa tu na Magod father walioko kwenye mifumo na sio influence kwa wananchi wa maeneo husika.

Sugu na Msigwa wanainfluence kubwa sana japo binafsi sioni la maana zaidi ya oyaoya na maneno meengi tu.
 
Usione Mchungaji Msigwa na Mr.Sugu wamechakazwa mno na wakina mama kule Iringa na Mbeya ambako wanachukuliwa kama wafalme ukaona ni tukio la kawaida.

Jesca Msambatavangu ambaye ni mbunge wa Iringa na Tulia Ackson ambaye ni mbunge wa Mbeya ni wanawake kwa muonekano tu lakini ni mashupavu kama wanaume.

Madam Jesca kama alivyozoeleka kuitwa na wakazi wa Iringa anabebwa na yafuatayo;

Kwanza ni mzungumzaji mzuri sana na katika eneo hili kamuacha Msigwa kwa mbali sana. Kipindi nipo Iringa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 wakazi wengi wa Kihesa walitamani sana Jesca agombee na lingekuwa Jambo la kushangaza asingefanya hivyo.

Pili, Madam Jesca anazijua siasa za Iringa sana. Mwanamke kupita kwenye nafasi ya uenyekiti wa CCM Mkoa sio Jambo la kitoto. Jesca anazijua mno siasa za Iringa.

Tatu , madam Jesca ni Jasiri mno. Licha ya kusimamishwa uanachama kwa kile kinachodaiwa hujuma aliyofanya kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 hakukata tamaa. Alijirudi na kuomba radhi na hapa ndipo ninasema ni Jasiri kwa sababu wengine huwa wanasusa kabisa.

Kwa upande wa Sugu kule Mbeya ana kazi sana na kushindana na Tulia. Nimebahatika pia kwenda Mbeya ya Sugu na Mbeya ya Tulia nikiri kusema ni Mbeya mbili tofauti. Mbeya ya Tulia maendeleo yanaonekana. Kwa Mbeya, Tulia yawezekana akawa mbunge wa kudumu kwa sababu:

Kwanza, ni msomi. Tulia anatumia usomi wake Kuwapatia wana Mbeya kile wanachokitaka nacho ni maendeleo. Leo hii wanyakyusa hawawezi kuongea sentesi bila kumtaja Tulia.

Pili, Tulia ni mwanasiasa na siasa safi ndio zinazotupatia uongozi bora. Tofauti na mwenzake Sugu ambaye ni mwanaharakati ,zama za siasa za kiharakati zimepitwaa na wakati na zimewachosha sana wana Mbeya.

Tatu, Chini ya Tulia ,Mbeya ipo salama zaidi. Tulia anawajibika kwa wapiga kura wake sana na anawajibika kwa makundi yote bila kujali itikadi zao.

Madam Jesca na Tulia Ackson wana sifa za ziada zinazowatofautisha na Mch. Msigwa na Mr. Sugu hivyo sitoshangazwa na kujitutumua kwa Sugu na Msigwa kutozaa matunda. Kiongozi ni sharti na ni budi awe na sifa na uwezo wa ziada.
Labda Jesca ambae ni dume jike ila sio kwa Tulia yule ni Madam Utopolo
 
Usione Mchungaji Msigwa na Mr.Sugu wamechakazwa mno na wakina mama kule Iringa na Mbeya ambako wanachukuliwa kama wafalme ukaona ni tukio la kawaida.

Jesca Msambatavangu ambaye ni mbunge wa Iringa na Tulia Ackson ambaye ni mbunge wa Mbeya ni wanawake kwa muonekano tu lakini ni mashupavu kama wanaume.

Madam Jesca kama alivyozoeleka kuitwa na wakazi wa Iringa anabebwa na yafuatayo;

Kwanza ni mzungumzaji mzuri sana na katika eneo hili kamuacha Msigwa kwa mbali sana. Kipindi nipo Iringa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 wakazi wengi wa Kihesa walitamani sana Jesca agombee na lingekuwa Jambo la kushangaza asingefanya hivyo.

Pili, Madam Jesca anazijua siasa za Iringa sana. Mwanamke kupita kwenye nafasi ya uenyekiti wa CCM Mkoa sio Jambo la kitoto. Jesca anazijua mno siasa za Iringa.

Tatu , madam Jesca ni Jasiri mno. Licha ya kusimamishwa uanachama kwa kile kinachodaiwa hujuma aliyofanya kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 hakukata tamaa. Alijirudi na kuomba radhi na hapa ndipo ninasema ni Jasiri kwa sababu wengine huwa wanasusa kabisa.

Kwa upande wa Sugu kule Mbeya ana kazi sana na kushindana na Tulia. Nimebahatika pia kwenda Mbeya ya Sugu na Mbeya ya Tulia nikiri kusema ni Mbeya mbili tofauti. Mbeya ya Tulia maendeleo yanaonekana. Kwa Mbeya, Tulia yawezekana akawa mbunge wa kudumu kwa sababu:

Kwanza, ni msomi. Tulia anatumia usomi wake Kuwapatia wana Mbeya kile wanachokitaka nacho ni maendeleo. Leo hii wanyakyusa hawawezi kuongea sentesi bila kumtaja Tulia.

Pili, Tulia ni mwanasiasa na siasa safi ndio zinazotupatia uongozi bora. Tofauti na mwenzake Sugu ambaye ni mwanaharakati ,zama za siasa za kiharakati zimepitwaa na wakati na zimewachosha sana wana Mbeya.

Tatu, Chini ya Tulia ,Mbeya ipo salama zaidi. Tulia anawajibika kwa wapiga kura wake sana na anawajibika kwa makundi yote bila kujali itikadi zao.

Madam Jesca na Tulia Ackson wana sifa za ziada zinazowatofautisha na Mch. Msigwa na Mr. Sugu hivyo sitoshangazwa na kujitutumua kwa Sugu na Msigwa kutozaa matunda. Kiongozi ni sharti na ni budi awe na sifa na uwezo wa ziada.
Mwamuzi ni tume huru ya uchaguzi , haya mengine yako ni yako tu
 
Wroooong!Kwamba Jesca na Tulia wana uwezo wa kuongea kuliko Sugu na Msigwa?Kwamba Jesca anazijua siasa za Iringa kuliko Msigwa?Hapana.Wanajua na mleta uzi anajua kwamba hakukuwa na uchaguzi wenye haki,usawa na ukweli.Ulikuwa ni uongo uliopea viwango.Wana kiasi cha uwezo wao ila siyo wa kulinganishwa na Sugu na Msigwa.Tanguliza ukweli na wala usiandike kutokea "engo" uipendayo.
 
Usione Mchungaji Msigwa na Mr.Sugu wamechakazwa mno na wakina mama kule Iringa na Mbeya ambako wanachukuliwa kama wafalme ukaona ni tukio la kawaida.

Jesca Msambatavangu ambaye ni mbunge wa Iringa na Tulia Ackson ambaye ni mbunge wa Mbeya ni wanawake kwa muonekano tu lakini ni mashupavu kama wanaume.

Madam Jesca kama alivyozoeleka kuitwa na wakazi wa Iringa anabebwa na yafuatayo;

Kwanza ni mzungumzaji mzuri sana na katika eneo hili kamuacha Msigwa kwa mbali sana. Kipindi nipo Iringa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 wakazi wengi wa Kihesa walitamani sana Jesca agombee na lingekuwa Jambo la kushangaza asingefanya hivyo.

Pili, Madam Jesca anazijua siasa za Iringa sana. Mwanamke kupita kwenye nafasi ya uenyekiti wa CCM Mkoa sio Jambo la kitoto. Jesca anazijua mno siasa za Iringa.

Tatu , madam Jesca ni Jasiri mno. Licha ya kusimamishwa uanachama kwa kile kinachodaiwa hujuma aliyofanya kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 hakukata tamaa. Alijirudi na kuomba radhi na hapa ndipo ninasema ni Jasiri kwa sababu wengine huwa wanasusa kabisa.

Kwa upande wa Sugu kule Mbeya ana kazi sana na kushindana na Tulia. Nimebahatika pia kwenda Mbeya ya Sugu na Mbeya ya Tulia nikiri kusema ni Mbeya mbili tofauti. Mbeya ya Tulia maendeleo yanaonekana. Kwa Mbeya, Tulia yawezekana akawa mbunge wa kudumu kwa sababu:

Kwanza, ni msomi. Tulia anatumia usomi wake Kuwapatia wana Mbeya kile wanachokitaka nacho ni maendeleo. Leo hii wanyakyusa hawawezi kuongea sentesi bila kumtaja Tulia.

Pili, Tulia ni mwanasiasa na siasa safi ndio zinazotupatia uongozi bora. Tofauti na mwenzake Sugu ambaye ni mwanaharakati ,zama za siasa za kiharakati zimepitwaa na wakati na zimewachosha sana wana Mbeya.

Tatu, Chini ya Tulia ,Mbeya ipo salama zaidi. Tulia anawajibika kwa wapiga kura wake sana na anawajibika kwa makundi yote bila kujali itikadi zao.

Madam Jesca na Tulia Ackson wana sifa za ziada zinazowatofautisha na Mch. Msigwa na Mr. Sugu hivyo sitoshangazwa na kujitutumua kwa Sugu na Msigwa kutozaa matunda. Kiongozi ni sharti na ni budi awe na sifa na uwezo wa ziada.
Yani wew ndo mpuuzi usiejitambua acha kushabikia chama ongea fact unaongea ujinga tu yan jesca huyu huyu amshinde kuongea msigwa tena usifananishe kabisa nitafutie kitu cha maana alichowah kuongea bungeni na jimboni mwake au umetumwa kuisifia ccm ndugu lbda kawadangnye kijijini kwenu
 
Wroooong!Kwamba Jesca na Tulia wana uwezo wa kuongea kuliko Sugu na Msigwa?Kwamba Jesca anazijua siasa za Iringa kuliko Msigwa?Hapana.Wanajua na mleta uzi anajua kwamba hakukuwa na uchaguzi wenye haki,usawa na ukweli.Ulikuwa ni uongo uliopea viwango.Wana kiasi cha uwezo wao ila siyo wa kulinganishwa na Sugu na Msigwa.Tanguliza ukweli na wala usiandike kutokea "engo" uipendayo.
Kabisa huyu analeta mapenzi na sio uhalisia yan ukichanganya jesca na huyo tulia hmn mtu wa kuongea cha maana mbele ya msigwa washukuru jiwe aliwasaidia kupata ubunge na uchaguzi ujao wajipange
 
Bila ya msaada wa polisi, hao akina Jesca na Tulia; ni wepesi kuliko hata unyoya. Kama huyo Jesca ndiyo kabisaa! Hata kujenga tu hoja bungeni hajui. Akipewa nafasi ya kuzungaumza, mara zote amekuwa akiongea utumbo tu.

Nitashangaa kama hao wamama wawili watarejea tena bungeni 2025, iwapo kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki.
Hawez kujenga na hajui lolote hawez kuongea hata dakika 5 bungeni
 
Yani wew ndo mpuuzi usiejitambua acha kushabikia chama ongea fact unaongea ujinga tu yan jesca huyu huyu amshinde kuongea msigwa tena usifananishe kabisa nitafutie kitu cha maana alichowah kuongea bungeni na jimboni mwake au umetumwa kuisifia ccm ndugu lbda kawadangnye kijijini kwenu
Anadhani hatumjui Jesca. Kuna siku aliongea OP bungeni aisee niliona aibu na fedheha sana yani ni kama alikurupushwa usingizini kuchangia mada .
 
Shida unaandika yoooote haya alafu ukija uchaguzi hamtaki uchaguzi huru na wa haki, hapo ndo huwa watu tunachoka kabisa yaani
 
Nashangaa Sana hata huyo jesca kujifanya mtumishi wa Mungu wakati uchaguzi uliopita alipita kwa kura za wizi mtupu na hakushinda Iringa
 
Back
Top Bottom