Kabla ya Magufuli kuwa Rais Sgr zilizokuwa zimepangwa kujengwa ni ya Dar Hadi Kigoma Kisha Burundi na Tanga-Arusha Hadi Musoma via Moshi.
Ila kutokana na tabia yake ya visasi, kutojali na...
Kiwango cha furaha ambacho watu wanahisi ni motisha ya kutosha kwao kufanya kazi kuelekea kulinda na hata kuinua ustawi uliosemwa, wakati huo huo kufichua kwamba kanuni na kazi zao za kiuchumi...
Habari zenu wana JF wenzangu,
Kwanza kabla ya kuendelea na mada hii ningependa watu wengi wafahamu kwamba mimi nimeandika mada hii kwa utashi wangu mwenyewe. Sikushawishiwa, sikulazimishwa wala...
Wakati uzinduzi wa Ofisi za Rais Ikulu, Chamwino jijini Dodoma, ukitarajiwa kufanyika Mei 20 Mwaka huu Serikali imesema serikali imesema inajivunia mchango wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, katika...
Kwanza nimecheka, na kusikitika
Kama mtazamo wa Waziri Bashe juu ya kilimo ni wa aina ile!
Basi kuanzia waziri mwenyewe na watendaji wote wa wizara hawaelewi nini wanafanya na hawana taarifa...
Uingozi wa hospitali ya Faraja iliyopo Himo mkoani Moshi umesema Binti Nasra Abdallah aliletwa hospitalini hapo Mei mosi na kijana mmoja akiwa mahututi na wala hakuwa na majeraha wala dalili za...
Uchambuzi wa Bajeti ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2023/24
Utangulizi.
Jana jumatano tarehe 10 Mei 2022, Waziri wa Maji, Ndugu Jumaa Hamidu Aweso aliwasilisha katika Bunge la Jamhuri ya...
Leo nilikua naangalia Rais wa Uturuki akizindua ndege mpya ya vita yenye teknolojia ya kisasa!
Nikajiuliza..
Mbona huku kwetu tunasikia rais anazindua jengo mara kituo cha afya mara mradi wa...
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa, Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua.
Tundu Lissu akiwa...
Habari wana JF,
Naomba nijikite kwenye mada husika. Binafsi nampongeza mheshimiwa Rais kwa kukuteua Profesa Caroline kwa nafasi ya Katibu Mkuu wa wizara ya Elimu. Ukiwa mtendaji mkuu wa wizara...
Katika kila jambo la kisiasa linaloendelea , ikiwemo mikutano ya hadhara , kampeni na Maandamano , huwa kuna vijimambo vinavyofanyika vya kusisimua sana lakini huwa havipewi nafasi na Waandishi wa...
Mchungaji mwema wa Kondoo hutangulia mbele na kondoo wa Kundi lake humfuata nyuma Ili atokeapo Mbwa mwitu aweze kuwakabili kondoo wasidhurike.
Mchungaji wa Mbuzi hukaa nyuma ya kundi lake na...
Natoka tahadhari Kwa Bashe, Waliokuwhikia Bango Kwa hoja za kizushi na upuuzi ndio hao hao waliokuwa wamemshikia Bango Mwigulu, January na Nape.
Sasa wanaona kabisa unaenda kuwa threats Kwa...
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu akiongozana na Kamati ya Ulinzi na Usalama amefanya ziara fupi tarehe 02.2.2023 katika Hospitali ya Wilaya Tukuyu (Makandana) na kujionesha shughuli za...
Serikali imefikia uamuzi wa kutekeleza mradi wa Building a Better Tomorrow (BBT) unaolenga kuongeza ushiriki wa vijana katika kilimo kwa kuwapatia mafunzo, maeneo ya mashamba, mitaji na...
Hamjambo Wadau.
Kwa miaka Mingi Mbeya ilikuwa inaonekana ni ngome ya Chadema na hii ilitokana na hisia za watu wa Mbeya kuhisi wanatengwa na Serikali ya ccm Toka zama za JK na chuki zikazidi zama...
Lissu yupo kwa vile Mbowe yupo and not the other way round! Kama si Mbowe kutokewa na Mungu kuwa msiende Muhimbili, Lisu ingelikuwa historia. Hivyo Lisu is because Mbowe was.
Hivyo ujinga wenu...
Zaidi ya mwaka mmoja sasa tangu kuzinduliwa kwa filamu ya Royal Tour Aprili 28, mwaka 2022 kwa ajili ya kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii Tanzania. Akitoa ufafanuzi kwa wanahabari mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.