Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Inafurahisha kuona nchi tuliyompeleka kijana wetu Mzalendo Komredi Polepole kwa sasa ndio kinara wa kupambana na rushwa na ufisadi barani Africa Makamu wa Rais wa Malawi amekamatwa kwa Rushwa na...
0 Reactions
4 Replies
803 Views
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu iliahidi kumuinua mwananchi kiuchumi na sasa imekuja na punguza ya riba ya mikopo ya mtu binafsi Benki Kuu ya Tanzania imetangaza...
13 Reactions
54 Replies
4K Views
CHADEMA wapo bize na mambo yao, lakini kwenye chaguzi za CCM zinazoendelea hivi sasa, wagombea lukuki wa CCM wanapoomba kuchaguliwa, hoja yao kubwa ni kuonesha kwamba wao wana uwezo wa kupambana...
10 Reactions
9 Replies
697 Views
Simjui Jina ila nakumbuka alikuwa Engineer na mkuu wa mkoa Geita, mfuasi wa jamaa mmoja tajiri na mchungaji Nigeria, Mzee Oyadepo wa winners chapel nadhani. Jamaa alikuwa anaongea mambo ya...
1 Reactions
9 Replies
713 Views
Sababu hakuna mfumo ambao ni asilimia 100 na mifumo yote ni mchanganyiko tofauti tofauti napenda kujua watanzania wanapenda mfumo gani na mfumo upi unaweza kuwafaa? Ubepari? Market socialism...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Koote! CCM!,CDM,NCCR,ACT.. Kukomoana,Kuviziana,Kuhujumiana nk! Imekuwa ndio Fasheni Mpya ya siasa! Wamewasahau kuwapigania wapiga "KURA",sasa Wanapigania "KULA" zao binafsi! Kwa mfano hai...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Kampuni tanzu kampuni ya Eurowagon kutoka uturuki iliyopewa tenda hayat John Pombe Magufuli kutengeneza reli na mabewa iliondolewa na kuletwa kampuni kutoka China Korea kusini ambazo zimeleta...
1 Reactions
2 Replies
814 Views
Kutokana na tatizo la Upatikanaji wa huduma Bora za Maji safi Nchini baadhi ya Wadau wamekuwa na mawazo tofauti. Kwa haya na mengine mengi, ungana nasi katika Mjadala unaoendelea kwenye mtandao...
0 Reactions
0 Replies
799 Views
Kichwa cha uzi kinajieleza chenyewe. Jana Mzee Sumaye alisema Rais Samia amerithi Uchumi mbovu kama yeye na Hayati Mkapa walivyorithi kwa Mzee Mwinyi. Nimkumbushe tu Mzee Sumaye kwamba mzee...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Mbunge wa CCM kutoka Jimbo la Buchosa , Mh Erick Shigongo amependekeza kuwepo na Siku maalum ndani ya Nchi ya kuchapa viboko watu wote wasiofuata Sheria , Kauli hii ya kushangaza ameitoa ndani ya...
6 Reactions
57 Replies
3K Views
Huwa nafuatilia tuhuma zote alizotuhumiwa Sabaya nabaki kujiuliza What if kingetokea kidume kama Mohamed Mwamwindi kule Hai kingebadili historia yote ya Hai na kila kiongozi akipelekwa Hai anakuwa...
17 Reactions
58 Replies
6K Views
Mfanyabiashara maarufu na mchamungu, mh. Azim Dewji ametoa kiasi cha Tsh 10 million kwa Wavuvi waliookoa wahanga wa Precision Air Fedha hizo amekabidhiwa mkuu wa Mkoa Albert Chalamila ambaye...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
CCM imechakaa sana, imekosa watu wenye nguvu za hoja, imejaa watu waoga wanaogopa hata watoto wadogo wanaopigana wakiwa wamevalishwa sare za CCM. Walianza kuogopa wapinzani lakini sasa...
1 Reactions
11 Replies
806 Views
April 2021, Egypt, Mkuu wa Shirika la Reli la nchi hiyo ya kaskazini mwa Baraa Afrika, alijiuzulu baada ya kutokea ajali ya treni. Ajali hiyo iliyotokea jioni katika mji wa Banha katika mkoa wa...
5 Reactions
6 Replies
923 Views
Ninajua Waziri Mkuu Majaliwa ni mmoja ya viongozi ambao huenda wakatamani kuongoza taifa hili kama Mkuu wa Nchi, lakini hata hivyo namuona akiwa na udhaifu wa ama kukurupuka, au kuwa mwepesi wa...
1 Reactions
3 Replies
562 Views
Kazi kubwa na nzuri anazozifanya Rais Samia Suluhu Hassan zimewaduwaza wachumi. Hii ni baada ya akiba ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kuongezeka zaidi ndani ya miezi miwili...
31 Reactions
290 Replies
19K Views
Ndugu zangu Ni historia ambayo Rais Samia amejiandikia na kujiwekea kwa kufanikiwa kupata uungwaji na kukubalika na makundi yote na vyama vyote, hii Ni kutokana na Imani kubwa ambayo watu...
5 Reactions
95 Replies
3K Views
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam, pamoja na watumishi wengine 9 wamesimamishwa kazi hii leo na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ili kupisha uchunguzi Jumanne Shauri pamoja na...
17 Reactions
126 Replies
14K Views
Nakumbuka kwenye kipindi cha Big Agenda mtangazaji Aloyce Nyanda alimuuliza DC Sabaya kuhusu kutoonekana hadharani kwa Rais Magufuli na Sabaya akajibu yupo na aliongea naye kwa Simu kabla...
0 Reactions
7 Replies
603 Views
Rais Samia amesema hakuna Taifa linaloendelea Kiuchumi na Kijamii kwa kukiuka Utawala Bora na Haki za Binadamu na Nchi yotote yenye mifumo Mibovu ya Utawala wa Sheria inakosa mafanikio endelevu...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom