Inafurahisha kuona nchi tuliyompeleka kijana wetu Mzalendo Komredi Polepole kwa sasa ndio kinara wa kupambana na rushwa na ufisadi barani Africa
Makamu wa Rais wa Malawi amekamatwa kwa Rushwa na...
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu iliahidi kumuinua mwananchi kiuchumi na sasa imekuja na punguza ya riba ya mikopo ya mtu binafsi
Benki Kuu ya Tanzania imetangaza...
CHADEMA wapo bize na mambo yao, lakini kwenye chaguzi za CCM zinazoendelea hivi sasa, wagombea lukuki wa CCM wanapoomba kuchaguliwa, hoja yao kubwa ni kuonesha kwamba wao wana uwezo wa kupambana...
Simjui Jina ila nakumbuka alikuwa Engineer na mkuu wa mkoa Geita, mfuasi wa jamaa mmoja tajiri na mchungaji Nigeria, Mzee Oyadepo wa winners chapel nadhani.
Jamaa alikuwa anaongea mambo ya...
Sababu hakuna mfumo ambao ni asilimia 100 na mifumo yote ni mchanganyiko tofauti tofauti napenda kujua watanzania wanapenda mfumo gani na mfumo upi unaweza kuwafaa?
Ubepari?
Market socialism...
Koote! CCM!,CDM,NCCR,ACT..
Kukomoana,Kuviziana,Kuhujumiana nk!
Imekuwa ndio Fasheni Mpya ya siasa!
Wamewasahau kuwapigania wapiga "KURA",sasa Wanapigania "KULA" zao binafsi!
Kwa mfano hai...
Kampuni tanzu kampuni ya Eurowagon kutoka uturuki iliyopewa tenda hayat John Pombe Magufuli kutengeneza reli na mabewa iliondolewa na kuletwa kampuni kutoka China Korea kusini ambazo zimeleta...
Kutokana na tatizo la Upatikanaji wa huduma Bora za Maji safi Nchini baadhi ya Wadau wamekuwa na mawazo tofauti.
Kwa haya na mengine mengi, ungana nasi katika Mjadala unaoendelea kwenye mtandao...
Kichwa cha uzi kinajieleza chenyewe.
Jana Mzee Sumaye alisema Rais Samia amerithi Uchumi mbovu kama yeye na Hayati Mkapa walivyorithi kwa Mzee Mwinyi.
Nimkumbushe tu Mzee Sumaye kwamba mzee...
Mbunge wa CCM kutoka Jimbo la Buchosa , Mh Erick Shigongo amependekeza kuwepo na Siku maalum ndani ya Nchi ya kuchapa viboko watu wote wasiofuata Sheria , Kauli hii ya kushangaza ameitoa ndani ya...
Huwa nafuatilia tuhuma zote alizotuhumiwa Sabaya nabaki kujiuliza What if kingetokea kidume kama Mohamed Mwamwindi kule Hai kingebadili historia yote ya Hai na kila kiongozi akipelekwa Hai anakuwa...
Mfanyabiashara maarufu na mchamungu, mh. Azim Dewji ametoa kiasi cha Tsh 10 million kwa Wavuvi waliookoa wahanga wa Precision Air
Fedha hizo amekabidhiwa mkuu wa Mkoa Albert Chalamila ambaye...
CCM imechakaa sana, imekosa watu wenye nguvu za hoja, imejaa watu waoga wanaogopa hata watoto wadogo wanaopigana wakiwa wamevalishwa sare za CCM.
Walianza kuogopa wapinzani lakini sasa...
April 2021, Egypt, Mkuu wa Shirika la Reli la nchi hiyo ya kaskazini mwa Baraa Afrika, alijiuzulu baada ya kutokea ajali ya treni. Ajali hiyo iliyotokea jioni katika mji wa Banha katika mkoa wa...
Ninajua Waziri Mkuu Majaliwa ni mmoja ya viongozi ambao huenda wakatamani kuongoza taifa hili kama Mkuu wa Nchi, lakini hata hivyo namuona akiwa na udhaifu wa ama kukurupuka, au kuwa mwepesi wa...
Kazi kubwa na nzuri anazozifanya Rais Samia Suluhu Hassan zimewaduwaza wachumi.
Hii ni baada ya akiba ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kuongezeka zaidi ndani ya miezi miwili...
Ndugu zangu Ni historia ambayo Rais Samia amejiandikia na kujiwekea kwa kufanikiwa kupata uungwaji na kukubalika na makundi yote na vyama vyote, hii Ni kutokana na Imani kubwa ambayo watu...
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam, pamoja na watumishi wengine 9 wamesimamishwa kazi hii leo na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ili kupisha uchunguzi
Jumanne Shauri pamoja na...
Nakumbuka kwenye kipindi cha Big Agenda mtangazaji Aloyce Nyanda alimuuliza DC Sabaya kuhusu kutoonekana hadharani kwa Rais Magufuli na Sabaya akajibu yupo na aliongea naye kwa Simu kabla...
Rais Samia amesema hakuna Taifa linaloendelea Kiuchumi na Kijamii kwa kukiuka Utawala Bora na Haki za Binadamu na Nchi yotote yenye mifumo Mibovu ya Utawala wa Sheria inakosa mafanikio endelevu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.