johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,146
Siasa ni Sayansi! Membe ameanza taratibu kurejesha umaarufu wake kwa kumshughulikia Musiba ambaye alikuwa kipenzi cha Shujaa Magufuli.
Kwa mbali nawaona CHADEMA wanamnyemelea kimtindo kwa kuifanya wanampa ushauri wa hapa na pale.
Ngoja tuone 2025 TAL akibadilishiwa gia angani!