johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,969
- 141,981
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema Halima James Mdee na wenzake 18 wameshalipwa jumla ya tsh 8 Bilioni kwa miaka 3 tu hadi sasa
Lissu amesema " tulifikiri wale wabunge ni wa Magufuli kumbe ni wa Samia".
---
Devothar amesema BAWACHA wataandamana kwa sababu ya Wabunge 19. Kuna Wabunge haramu wapo Bungeni mwaka wa tatu leo hawana chama. Katiba hii inasema usipokuwa na chama sio Mbunge.
Wako mwaka wa tatu wamelipwa bilioni 8 tumefikiri ni wa Magufuli kumbe ni wa Samia. Katiba hii inasema Rais ndiye anayeamua mishahara na malupulupu ya Wabunge
Source: Jambo TV
My take; Lissu sasa anavuruga Maridhiano!