johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema wakati akiwa na mgogoro ndani ya Chadema huku ajitafakari kuanzisha chama mzee Membe alimwita akamwambia asihangaike Ubalozi wa Ujerumani uko wazi ataongea na Kikwete Ili amteue awe Balozi Wetu nchini Ujerumani
Source: Mwanahalisi Digital
Source: Mwanahalisi Digital