Zitto: Baadhi ya mitambo ya Vyombo vyetu vya na dola mlitumika kumchafua BM

Suzy Elias

JF-Expert Member
Nov 9, 2021
1,067
6,193
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Kumjibu mpuuzi kama zitto ni kupoteza muda tu

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Nadhani amechoka kuishi of anaamini katika ndumba hawamuwezi
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Hakuna wa kumuita maana ukweli unafahamika. Dhalimu aliharibu sana hii nchi.
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Zitto akazikwe na Membe.Mbona anachelewa kwenda Rondo.
 
Kwani amesema uwongo? Amesema ukweli ili fundisho vyombo hivi visitumike vibaya kuchafua watu kwa manufaa ya kisiasa
Screenshot_20230514-142551_YouTube.jpg
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Katumwa huyo na smile!

Kwani Mr smile alikuwepo kwenye kumuaga!!?

Zito ananunua ugomvi na dola tena wa bure KABISA!!!

Yeye angeaga na kutuliza tu,dola haishindwi na uchawi wa ziwa Tanganyika!

Asije sababisha akawa tagert bila kutegemewa!

Dola haitukanwi,kama yeye anajiona ni mwanaupinzani maarufu ajiulize Maalum seif watu washa sahau kabisa kwamba alikuwepo ACT wazalendo!!
 
Back
Top Bottom