Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.