Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,375
Rais Samia Suluhu akiwa ziarani Kagera ALIIAGIZA TRA KUACHA KUWADAI WAFANYABIASHARA KODI ZA MIAKA YA NYUMA , kwamba huo ni uzembe wao wenyewe , hivyo wasisumbue Wafanyabiashara na kwamba wawaache wafanyabiashara wapate raha .
Kauli ya Rais wa Nchi kimsingi ni Amri , Sasa swali langu ni dogo tu , kwa nyinyi mliofuatilia hotuba ya Waziri wa fedha , Je hili jambo limezungumzwa ?
Kauli ya Rais wa Nchi kimsingi ni Amri , Sasa swali langu ni dogo tu , kwa nyinyi mliofuatilia hotuba ya Waziri wa fedha , Je hili jambo limezungumzwa ?