Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,741
- 218,330
Naomba kukiri wazi kwamba mimi ni miongoni mwa Wafanyabiashara wa Kariakoo waliogoma kufungua maduka yao (sababu zimeelezwa)
Ninaandika kwa ufupi sana kwamba Naomba sana kamati ya Wafanyabiashara hao kuhakikisha viongozi wao na wasemaji wao wanalindwa kwa udi na uvumba (nadhani naeleweka).
Hakikisheni kwamba hao viongozi wenu hawalali majumbani mwao na wawe pamoja muda wote wa mgomo huu , serikali ya ccm inaposhindwa hoja huwa iko tayari kufanya lolote ili kutisha wengine.
Naomba Jambo hili lichukuliwe kwa uzito mkubwa sana.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ninaandika kwa ufupi sana kwamba Naomba sana kamati ya Wafanyabiashara hao kuhakikisha viongozi wao na wasemaji wao wanalindwa kwa udi na uvumba (nadhani naeleweka).
Hakikisheni kwamba hao viongozi wenu hawalali majumbani mwao na wawe pamoja muda wote wa mgomo huu , serikali ya ccm inaposhindwa hoja huwa iko tayari kufanya lolote ili kutisha wengine.
Naomba Jambo hili lichukuliwe kwa uzito mkubwa sana.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app