Tufanye nini kama taifa na hawa mawaziri wanao ongopa bungeni?

Kabinti ka ludilo

JF-Expert Member
Sep 30, 2014
409
461
Ndauli..

Mbunge mmoja aliuliza bungeni kuhusiana na mgogoro wa ardhi huko tarime.

Mh mmoja akasema hakuna fidia huko Tarime... wananchi wame "tegesha"

Wenyeviti Tarime wakajiuzuru nguvu ya umma! Madiwani wakatishia kujiuzuru.

PM akatoa kauli kinyume na waziri wake. Akasema mazungumzo yafanywe na wananchi ili kujua mpaka wa hifadhi na makazi.
Jibu: Taifa likajua hakuna Tegesha maana kungekuwa na Tegesha ni hatua tuu zingechukuliwa.

BWANA mmoja mkinga ameuliza leo vipi kariakoo kulikoni mbona kuna mgomo.

Mama mmoja mngayasida tena kwa madaha amejibu ni baadhi tuu wamejisikia kufunga na wengine wengi tuu wanauza huko.

Dada mmoja kakanusha kasema montress wetu tujadili basi hii mada.

Yule mngayasida kasisitiza hakuna mgomo jameni sa mnabisha? Wachache tuu wamefunga kwa uhuru wao.

download (1).jpeg
mngayasida frani hivi mwenye matingo

Montress maarufu kwa jina la Bi Kidude kasema hakuna cha kujadili hapa

Januari akazima umeme hoja ikafa.

PM akajibeba mzega mzega Kaliakoo kusitisha kile alichokiita mgomo. Kitendo cha kiongozi huyu watatu kwa ukubwa kutinga kariakoo kwa dharula huku akisitisha shughuli zote za kitaifa zinaonyesha kariakoo kuna balaa.
JIBU: Kumbe yule mngayasida mh madaha alikuwa anaongopa mjengoni.

Tufanyeje watanzania na hawa mawaziri wanaoongopa kwenye kamera?

Hivi kama hadharani wanafanya hayo vipi huko gizani?

Hivi tufanyeje na haya majizi ya CAG jamani mbona hii nchi inakera sasa?

Au tuhamie Burundi????

Mawazo yangu. Tutumie mbinu frani ilitumika wakati ule waheshimiwa wanatukana bungeni. Mbinu huu iliasisiwa na bi mkora miaka ile imeleta heshima kwa bunge wakati wotee
 
Mbunge mmoja aliuliza bungeni kuhusiana na mgogoro wa ardhi huko tarime.


Hivi kama hadharani wanafanya hayo vipi huko gizani?

Hivi tufanyeje na haya majizi ya CAG jamani mbona hii nchi inakera sasa?

Au tuhamie Burundi????

Kama waliingia bungeni kwa kunajisi uchaguzi, unategemea wakawe na maadili ndani ya bunge?
 
Halafu huyo mgayasida ndio anapigiwa chapuo awe Waziri wa Fedha

Nchi Ngumu Sana hii bwashee 😄😄!
 
Kabla hajaongea upuuzi wake leo asubuh pale mjengoni, huyu Ashatu nilikuaga namuona mtu wa maana sana kumbe naye ni walewale pumbavu zake. Kanikera mno!, nilitamani hata nivunje TV.
 
Mbunge mmoja aliuliza bungeni kuhusiana na mgogoro wa ardhi huko tarime.

Mh mmoja akasema hakuna fidia huko Tarime... wananchi wame "tegesha"

Wenyeviti Tarime wakajiuzuru nguvu ya umma! Madiwani wakatishia kujiuzuru.

PM akatoa kauli kinyume na waziri wake. Akasema mazungumzo yafanywe na wananchi ili kujua mpaka wa hifadhi na makazi.
Jibu: Taifa likajua hakuna Tegesha maana kungekuwa na Tegesha ni hatua tuu zingechukuliwa.

BWANA mmoja mkinga ameuliza leo vipi kariakoo kulikoni mbona kuna mgomo.

Mama mmoja mngayasida tena kwa madaha amejibu ni baadhi tuu wamejisikia kufunga na wengine wengi tuu wanauza huko.

Dada mmoja kakanusha kasema montress wetu tujadili basi hii mada.

Yule mngayasida kasisitiza hakuna mgomo jameni sa mnabisha? Wachache tuu wamefunga kwa uhuru wao.

Januari akazima umeme hoja ikafa.

PM akajibeba mzega mzega Kaliakoo kusitisha kile alichokiita mgomo. Kitendo cha kiongozi huyu watatu kwa ukubwa kutinga kariakoo kwa dharula huku akisitisha shughuli zote za kitaifa zinaonyesha kariakoo kuna balaa.
JIBU: Kumbe yule mngayasida mh madaha alikuwa anaongopa mjengoni.

Tufanyeje watanzania na hawa mawaziri wanaoongopa kwenye kamera?

Hivi kama hadharani wanafanya hayo vipi huko gizani?

Hivi tufanyeje na haya majizi ya CAG jamani mbona hii nchi inakera sasa?

Au tuhamie Burundi????
Sema nn, nimependa hapo Januari alipozima umeme eti hoja ikafa

Una kipaji cha uandishi flani hivi mtamu, utafika mbali. Mngayasika ndio mtu wa namna gani?
 
Kabla hajaongea upuuzi wake leo asubuh pale mjengoni, huyu Ashatu nilikuaga namuona mtu wa maana sana kumbe naye ni walewale pumbavu zake. Kanikera mno!, nilitamani hata nivunje TV.
Ila spika anakera. Tulia unakera sana umegeuza bunge kuwa lako. Umesahau uliingia kwa Pasport tuu bungeni kabla hujampora sugu jimbo. Ya CAG umefunika... hata la kariakoo unazuia wabunge wasitoe maoni yao? Hivi unajua kariakoo ndio moyo wa taifa?
 
Kabla hajaongea upuuzi wake leo asubuh pale mjengoni, huyu Ashatu nilikuaga namuona mtu wa maana sana kumbe naye ni walewale pumbavu zake. Kanikera mno!, nilitamani hata nivunje TV.
Mi mwenyewe nilishangaa
 
Kinyume na katiba mpya huna Cha kufanya mkuu kwa sasa ni km tu duara la Nyani, Ngedere na Tumbili
 
Kabla hajaongea upuuzi wake leo asubuh pale mjengoni, huyu Ashatu nilikuaga namuona mtu wa maana sana kumbe naye ni walewale pumbavu zake. Kanikera mno!, nilitamani hata nivunje TV.
Ungemuwowa be. Mi nilitaka nikome TV yangu na liganga mwe ndo kushituka napasua TV yangu mimi penyewe ya kupewa be ya zawadi ya bathidei mwe
 
Ndauli..

Mbunge mmoja aliuliza bungeni kuhusiana na mgogoro wa ardhi huko tarime.

Mh mmoja akasema hakuna fidia huko Tarime... wananchi wame "tegesha"

Wenyeviti Tarime wakajiuzuru nguvu ya umma! Madiwani wakatishia kujiuzuru.

PM akatoa kauli kinyume na waziri wake. Akasema mazungumzo yafanywe na wananchi ili kujua mpaka wa hifadhi na makazi.
Jibu: Taifa likajua hakuna Tegesha maana kungekuwa na Tegesha ni hatua tuu zingechukuliwa.

BWANA mmoja mkinga ameuliza leo vipi kariakoo kulikoni mbona kuna mgomo.

Mama mmoja mngayasida tena kwa madaha amejibu ni baadhi tuu wamejisikia kufunga na wengine wengi tuu wanauza huko.

Dada mmoja kakanusha kasema montress wetu tujadili basi hii mada.

Yule mngayasida kasisitiza hakuna mgomo jameni sa mnabisha? Wachache tuu wamefunga kwa uhuru wao.

View attachment 2623099 mngayasida frani hivi mwenye matingo

Montress maarufu kwa jina la Bi Kidude kasema hakuna cha kujadili hapa

Januari akazima umeme hoja ikafa.

PM akajibeba mzega mzega Kaliakoo kusitisha kile alichokiita mgomo. Kitendo cha kiongozi huyu watatu kwa ukubwa kutinga kariakoo kwa dharula huku akisitisha shughuli zote za kitaifa zinaonyesha kariakoo kuna balaa.
JIBU: Kumbe yule mngayasida mh madaha alikuwa anaongopa mjengoni.

Tufanyeje watanzania na hawa mawaziri wanaoongopa kwenye kamera?

Hivi kama hadharani wanafanya hayo vipi huko gizani?

Hivi tufanyeje na haya majizi ya CAG jamani mbona hii nchi inakera sasa?

Au tuhamie Burundi????

Mawazo yangu. Tutumie mbinu frani ilitumika wakati ule waheshimiwa wanatukana bungeni. Mbinu huu iliasisiwa na bi mkora miaka ile imeleta heshima kwa bunge wakati woteeView attachment 2623101
Huwa nachukia sana pale mtu anapotaka kutoa ujumbe muhimu alafu anasndika kwa uoga sasa unaogopa nini mkuu kwann usinyooshe maelezo ?
 
Ndauli..

Mbunge mmoja aliuliza bungeni kuhusiana na mgogoro wa ardhi huko tarime.

Mh mmoja akasema hakuna fidia huko Tarime... wananchi wame "tegesha"

Wenyeviti Tarime wakajiuzuru nguvu ya umma! Madiwani wakatishia kujiuzuru.

PM akatoa kauli kinyume na waziri wake. Akasema mazungumzo yafanywe na wananchi ili kujua mpaka wa hifadhi na makazi.
Jibu: Taifa likajua hakuna Tegesha maana kungekuwa na Tegesha ni hatua tuu zingechukuliwa.

BWANA mmoja mkinga ameuliza leo vipi kariakoo kulikoni mbona kuna mgomo.

Mama mmoja mngayasida tena kwa madaha amejibu ni baadhi tuu wamejisikia kufunga na wengine wengi tuu wanauza huko.

Dada mmoja kakanusha kasema montress wetu tujadili basi hii mada.

Yule mngayasida kasisitiza hakuna mgomo jameni sa mnabisha? Wachache tuu wamefunga kwa uhuru wao.

View attachment 2623099 mngayasida frani hivi mwenye matingo

Montress maarufu kwa jina la Bi Kidude kasema hakuna cha kujadili hapa

Januari akazima umeme hoja ikafa.

PM akajibeba mzega mzega Kaliakoo kusitisha kile alichokiita mgomo. Kitendo cha kiongozi huyu watatu kwa ukubwa kutinga kariakoo kwa dharula huku akisitisha shughuli zote za kitaifa zinaonyesha kariakoo kuna balaa.
JIBU: Kumbe yule mngayasida mh madaha alikuwa anaongopa mjengoni.

Tufanyeje watanzania na hawa mawaziri wanaoongopa kwenye kamera?

Hivi kama hadharani wanafanya hayo vipi huko gizani?

Hivi tufanyeje na haya majizi ya CAG jamani mbona hii nchi inakera sasa?

Au tuhamie Burundi????

Mawazo yangu. Tutumie mbinu frani ilitumika wakati ule waheshimiwa wanatukana bungeni. Mbinu huu iliasisiwa na bi mkora miaka ile imeleta heshima kwa bunge wakati woteeView attachment 2623101
Huyo waziri alipaje hiyo nafasi kwanza maana samia kila siku anatuletea vilaz kutoak zanzibar ili kubalance sojui kitu gani
 
Back
Top Bottom