Rais Samia ateua Majaji 6 wa Mahakama ya Rufani

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,808
11,973
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewateua Majaji wa Mahakama ya Rufaa wafuatao: -
  1. Amemteua Jaji Zainab Goronya Muruke kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huo, Jaji Muruke alikuwa Jaji Mfawidhi, Kituo Jumuishi cha Mashauri ya Ndoa, Talaka na Mirathi - Temeke, Dares Salaam;
  2. Amemteua Jaji Dkt. Benhaji Shaaban Masoud kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huo, Jaji Masoud alikuwa Mkuu wa Shule ya Sheria Tanzania;
  3. Amemteua laji Amour Said Khamis kuwa Jaii wa Mahakama va Rufani. Kabla ya uteuzi huo, Jaji Khamis alikuwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu, Kanda ya Tabora;
  4. Amemteua Jaji Leila Edith Mgonya kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huo, Jaji Mgonya alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu, Masijala Kuu Dar es Salaam;
  5. Amemteua Jaji Gerson John Mdemu kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huo, Jaji Mdemu alikuwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma; na
  6. Amemteua Jaji Agnes Zephania Mgeyekwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani.
    Kabla ya uteuzi huo, Jaji Mgeyekwa alikuwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi.
Uteuzi huu wa Majaji wa Mahakama ya Rufani umeanza tarehe 28 Aprili, 2023 na wataapishwa kwa tarehe itakayopangwa baadae.

IMG_7250.jpeg
 
Wenye akili mbovu watakuja kuangalia majina na nasibisha na dini za watu ili kutengeneza hoja zao mfu
Mbona kama vile mwenye akili mbovu ni wewe? Unajishuku mapema.

Sisi Wagalatia wala hatuna nongwa sana sana na teuzi. Hatulii sana kama wenzetu wavaa Makobazi, kila kitu mnalinganisha kwa mlengo wa kiimani.

Wenye sifa watapita. Imani yao haikupunguzii adhabu pale unapokutwa na hatia.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewateua Majaji wa Mahakama ya Rufaa wafuatao: -
  1. Amemteua Jaji Zainab Goronya Muruke kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huo, Jaji Muruke alikuwa Jaji Mfawidhi, Kituo Jumuishi cha Mashauri ya Ndoa, Talaka na Mirathi - Temeke, Dares Salaam;
  2. Amemteua Jaji Dkt. Benhaji Shaaban Masoud kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huo, Jaji Masoud alikuwa Mkuu wa Shule ya Sheria Tanzania;
  3. Amemteua laji Amour Said Khamis kuwa Jaii wa Mahakama va Rufani. Kabla ya uteuzi huo, Jaji Khamis alikuwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu, Kanda ya Tabora;
  4. Amemteua Jaji Leila Edith Mgonya kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huo, Jaji Mgonya alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu, Masijala Kuu Dar es Salaam;
  5. Amemteua Jaji Gerson John Mdemu kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huo, Jaji Mdemu alikuwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma; na
  6. Amemteua Jaji Agnes Zephania Mgeyekwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani.
    Kabla ya uteuzi huo, Jaji Mgeyekwa alikuwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi.
Uteuzi huu wa Majaji wa Mahakama ya Rufani umeanza tarehe 28 Aprili, 2023 na wataapishwa kwa tarehe itakayopangwa baadae.

View attachment 2625941
Safi sana Mama teu wanaojielewa sio wale wanaoshirikiana na waovu kuunda na kubambikia makesi watu.
 
Politicians wanateua High courts judges!,tusipige kelele tunapoambiwa tunaishi in a pithole country, hizo nafasi sita za u judges ilibidi waziombe na interview wafanyiwe kama wengine wanavyofanyiwa interview, judiciary TANZANIA sio independent, ni vibaraka wa Politicians, na CJ yupo kimya maana analinda njaa yake ya tumbo, nikiwa president wa 24hrs,kufikia 14:00hrs judges wote itabidi watume maombi ya kuwa judges, Bunge litapiga kura na watawajibika kwa Bunge (watunga sheria),na judges (wanaotafsiri sheria)CJ atafanyiwa very intensity interview, hawezi kuwa motored kuwa CJ, hii tumwachie Mayele maana alimpita beki wa Marumo kwa kasi ya ajabu
 
Mbona kama vile mwenye akili mbovu ni wewe? Unajishuku mapema.

Sisi Wagalatia wala hatuna nongwa sana sana na teuzi. Hatulii sana kama wenzetu wavaa Makobazi, kila kitu mnalinganisha kwa mlengo wa kiimani.

Wenye sifa watapita. Imani yao haikupunguzii adhabu pale unapokutwa na hatia.
.jamaa kajishuku.baada ya kusoma comment yake ,amenishawishi kweli niangalie .Ila mama naona ka balance 3 /3 .fair kabisa.
 
Politicians wanateua High courts judges!,tusipige kelele tunapoambiwa tunaishi in a pithole country, hizo nafasi sita za u judges ilibidi waziombe na interview wafanyiwe kama wengine wanavyofanyiwa interview, judiciary TANZANIA sio independent, ni vibaraka wa Politicians, na CJ yupo kimya maana analinda njaa yake ya tumbo, nikiwa president wa 24hrs,kufikia 14:00hrs judges wote itabidi watume maombi ya kuwa judges, Bunge litapiga kura na watawajibika kwa Bunge (watunga sheria),na judges (wanaotafsiri sheria)CJ atafanyiwa very intensity interview, hawezi kuwa motored kuwa CJ, hii tumwachie Mayele maana alimpita beki wa Marumo kwa kasi ya ajabu
Huu upumbavu unatokana na katiba ya mwaka 1977, the rotten constitution
 
Politicians wanateua High courts judges!,tusipige kelele tunapoambiwa tunaishi in a pithole country
Mmoja wa watu alietuita hilo tundu, leo hii anajisifia kwa kuwateua majaji watatu...nenda kwenye twitter yake uone....Usijichekeshe
, hizo nafasi sita za u judges ilibidi waziombe na interview wafanyiwe kama wengine wanavyofanyiwa interview, judiciary

Ukinitajia ni Nchi gani zinafanya hivyo, na kwanini nitakuja kufuta bandiko langu==bila kigugumizi.
TANZANIA sio independent, ni vibaraka wa Politicians, na CJ yupo kimya maana analinda njaa yake ya tumbo, nikiwa president wa 24hrs,kufikia 14:00hrs judges wote itabidi watume maombi ya kuwa judges,
Unawaza udikteta....kwanini wasiziombe kwa Interview?? au wewe ni Special President from 0-24hrs??
Bunge litapiga kura na watawajibika kwa Bunge (watunga sheria),na judges (wanaotafsiri sheria)CJ atafanyiwa very intensity interview, hawezi kuwa motored kuwa CJ, hii tumwachie Mayele maana alimpita beki wa Marumo kwa kasi ya ajabu
Nkanini, I mean kwanini unazunguka zunguka?
 
Back
Top Bottom