Je Muhimbili-JK iko compromised

unprejudiced

JF-Expert Member
Jan 27, 2017
3,505
2,862
Watanzania tuna changamoto nyingi sana lakini umbeya na majungu nahisi ndo mambo yanayokitafuna sana Taifa hili.

Katika kuchoka kwangu Jana na leo nahisi nimesoma karibu kila ujinga na hoja Jenga mtandaoni.


KILICHONISTUA ni habari aliyoandika mmama mmoja kuandika kuwa alikuwa na habari za ndani Kabisa juu ya taarifa ( file) ya AFYA YA BWANA LE MUTUZ. ALIJUA KUWA HANA SIKU NYINGI ZA KUISHI.

Je MUHIMBILI mmelichukulia hii jambo business as Usual?

Prof. Dr. JANABI na madaktari wa JK kitengo cha moyo, mmeona hili jambo dogo?

Watanzania tunapenda kujadili mambo ya kipumbavu lakini jambo serious Kama hili tunaona Sawa tu.

It’s a pity.
 
Hiyo taarifa ya huyo mama Iko wapi? Na Hilo file ameliweka wapi? Yaani Kila kinachoandikwa mtandaoni mnachukulia serious.

Huko Twitter Kila mtu hujifanya spy na kwamba ana "file" la "kikao Cha Siri". So wanapenda kutengeneza rumours kupata engagement kuongeza followers.
 
Huyo mama analiyefuatilia afya ya Lemutuz alikuwa na interest gani na marehenu mpaka kufuatilia file lake huko Muhimbili? Muambie aache umbea na ujinga, Lemutuz keshapumzika anakostahili, yeye naye ajiandae na wakati wake.....si ajabu hauko mbali.
 
Watanzania tuna changamoto nyingi sana lakini umbeya na majungu nahisi ndo mambo yanayokitafuna sana Taifa hili.

Katika kuchoka kwangu Jana na leo nahisi nimesoma karibu kila ujinga na hoja Jenga mtandaoni.


KILICHONISTUA ni habari aliyoandika mmama mmoja kuandika kuwa alikuwa na habari za ndani Kabisa juu ya taarifa ( file) ya AFYA YA BWANA LE MUTUZ. ALIJUA KUWA HANA SIKU NYINGI ZA KUISHI.

Je MUHIMBILI mmelichukulia hii jambo business as Usual?

Prof. Dr. JANABI na madaktari wa JK kitengo cha moyo, mmeona hili jambo dogo?

Watanzania tunapenda kujadili mambo ya kipumbavu lakini jambo serious Kama hili tunaona Sawa tu.

It’s a pity.
serious kwako, wengine habari za ngono ndio MUHIMU kwao,
 
Watanzania tuna changamoto nyingi sana lakini umbeya na majungu nahisi ndo mambo yanayokitafuna sana Taifa hili.

Katika kuchoka kwangu Jana na leo nahisi nimesoma karibu kila ujinga na hoja Jenga mtandaoni.


KILICHONISTUA ni habari aliyoandika mmama mmoja kuandika kuwa alikuwa na habari za ndani Kabisa juu ya taarifa ( file) ya AFYA YA BWANA LE MUTUZ. ALIJUA KUWA HANA SIKU NYINGI ZA KUISHI.

Je MUHIMBILI mmelichukulia hii jambo business as Usual?

Prof. Dr. JANABI na madaktari wa JK kitengo cha moyo, mmeona hili jambo dogo?

Watanzania tunapenda kujadili mambo ya kipumbavu lakini jambo serious Kama hili tunaona Sawa tu.

It’s a pity.
rekebisha hapo prof janabi ahusiki na jkci yeye ni muhimbili national hospital.
 
Back
Top Bottom