Magufuli 05
JF-Expert Member
- May 7, 2023
- 943
- 1,988
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO.
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC. Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote, chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli, kwanini asitajwe?
Shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia. Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine. Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭 Hivi mama Janeth wamekualika kweli?
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO.
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC. Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote, chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli, kwanini asitajwe?
Shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia. Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine. Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭 Hivi mama Janeth wamekualika kweli?