sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,368
Miaka 62 ya utawala wa CCM, ndo wameweza kujenga Ikulu moja tu.
Sina kumbukumbu kama Kuna ofisi ya Mwenyekiti wa CCM wa Kijiji au mjumbe kumi waliwahi Jenga ofisi. Nijuavyo Mimi ofisi nyigi ni urithi, labda lile jengo la kikwete Dodoma wanalofanyia mikutano.
Kwa nini CCM mnawalazimisha CHADEMA wajenge ofisi Ili hali nyinyi mnatuibia pesa zetu?
Pesa zilizoibwa utawala wa Mkapa, Kikwete, Magufuli na Sasa Samia Kwa mujibu wa ukaguzi wa CAG zilikuwa zinatosha kujenga Ikulu mpya kama hii ya jana mikoa mitano nchini Tanzania.
Sina kumbukumbu kama Kuna ofisi ya Mwenyekiti wa CCM wa Kijiji au mjumbe kumi waliwahi Jenga ofisi. Nijuavyo Mimi ofisi nyigi ni urithi, labda lile jengo la kikwete Dodoma wanalofanyia mikutano.
Kwa nini CCM mnawalazimisha CHADEMA wajenge ofisi Ili hali nyinyi mnatuibia pesa zetu?
Pesa zilizoibwa utawala wa Mkapa, Kikwete, Magufuli na Sasa Samia Kwa mujibu wa ukaguzi wa CAG zilikuwa zinatosha kujenga Ikulu mpya kama hii ya jana mikoa mitano nchini Tanzania.