Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa akisalimia wananchi

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,903
945
Igunga, Tabora

Habari Picha: Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa akisalimiana na Wakazi wa Kitongoji cha Mhama Mmoja Kijiji cha Itumba akiwa siku ya Pili ya Ziara ya Kikazi Jimboni.

Baada ya Ziara ya Kikazi, Mheshimiwa Ngassa (MB) amekutana na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata na kuzindua Ujenzi wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Itumba.

"KAZI NA MAENDELEO"

Imetolewa na:
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Igunga
21 Mei 2023

WhatsApp Image 2023-05-21 at 09.51.08.jpeg
WhatsApp Image 2023-05-21 at 09.51.09.jpeg
WhatsApp Image 2023-05-21 at 09.51.09(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-05-21 at 09.51.10.jpeg
WhatsApp Image 2023-05-21 at 09.51.10.jpeg
WhatsApp Image 2023-05-21 at 09.51.10(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-05-21 at 09.51.11.jpeg
 
Kwahiyo kusalimia wananchi nayo ni habari siku hizi? Hii nchi siku hizi imekuwa na vijana wajinga na wapuuzi sana
 
Igunga, Tabora

Habari Picha: Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa akisalimiana na Wakazi wa Kitongoji cha Mhama Mmoja Kijiji cha Itumba akiwa siku ya Pili ya Ziara ya Kikazi Jimboni.

Baada ya Ziara ya Kikazi, Mheshimiwa Ngassa (MB) amekutana na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata na kuzindua Ujenzi wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Itumba.

"KAZI NA MAENDELEO"

Imetolewa na:
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Igunga
21 Mei 2023

View attachment 2629726View attachment 2629727View attachment 2629728View attachment 2629729View attachment 2629729View attachment 2629730View attachment 2629731
Jiandae kama Namuona Shishi akipiga jaramba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom