Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

MBUNGE JANEJELLY NTATE - SERIKALI IWAANGALIE WATOTO WALIOSITISHA MASOMO KWA SABABU YA VITA UKRAINE 🇺🇦 "Waziri wa Fedha umekubali kupunguza mipaka ya Utawala wako, kukubali Idara ya Mipango irudi...
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Nimemsikia Waziri Mkuu Majaliwa akizungumzia uwezekano wa kufanya mapitio(review) ya azimio lililopitishwa bungeni Intergovermental Agreement(IGA) inayohusu uwekezaji wa DP World hapa Tanganyika...
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lissu amesema kwa namna Mkataba ulivyo TPA watabaki na jukumu la kuvusha Watu wa Kigamboni na kusimamia Majahazi ya Wavuvi kwenye Pwani ndogondogo...
15 Reactions
32 Replies
2K Views
Uwasilishwaji wa bajeti ya Tanzania kwa mwaka wa fedha 2023/2024 umesababisha hisia tofauti miongoni mwa sekta mbalimbali za uchumi. Ingawa bajeti hiyo inajumuisha hatua kadhaa zinazolenga kukuza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Najua kwa sasa hawa Wanasheria wetu wanasoma Vyuo mbalimbali hapa nchini ikiwemo Tumaini walikosoma akina Kunambi na St Augustine alikosoma Katambi Nyakati za EAC ya mwanzo UDSM Ilikuwa ndio...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Kimeumana! Nimezipata za chini ya kapeti ya kwamba kuna uwezekano mkubwa wa vijana wa Dsm na wa Dodoma kuingia barabarani weekend hii au Jumatano ijayo kupinga issue ya DP World. Mambo ni...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Hifadhi ya jamii kwa wote (Pensheni, mikopo na bima ya afya) - Mawazo ya ACT Wazalendo Huduma mbovu za Afya ni chanzo kikubwa cha umasikini wa Watanzania. Kwa mujibu wa tafiti za Benki ya Dunia...
1 Reactions
1 Replies
656 Views
Hivi karibuni, kuna taarifa zilizowekwa wazi kwenye baadi ya vyombo vya habari, juu ya mgawanyo wa mikopo ya nje, kati ya Tanzania bara na Zanzibar. Mkopo wa pesa ya Uviko 19, tunaambiwa Zanzibar...
22 Reactions
248 Replies
17K Views
Tunaitaka katiba itakayoondoa ukiritimba na udikiteta wa viongozi Tunaitaka katiba ambayo itakuwa ni ya wananchi na siyo kuwa ya viongozi Tunataka katiba itakayoondoa udikiteta wa viongozi...
1 Reactions
2 Replies
765 Views
Biblia inatufundisha kuwa Mchungaji Mwema huwaacha Kondoo 99 Kondeni na kwenda kumtafuta kondoo 1 aliyepotea Nawashuhudia Watanganyika leo wakiachana kabisa na Mjadala wa Bajeti Kuu ya Nchi...
5 Reactions
6 Replies
873 Views
Wakati mjadala wa uhalali wa mkatabva wa uwekezaji katika bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai ukiendelea, Mwandishi nguli nchini Jenerali Ulimwengu, amesema Serikali...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Tanzania Bara na Tanzania Visiwani = Tanzania Tanganyika ilijibadili kuwa Tanzania Bara Zanzibar ilibakia lakini yale mambo ya Muungano ndio hutambulika kama Tanzania Visiwani Niko najifunza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Swali la Ugomvi: Inaonekana wananchi wetu wanalazimishwa na Tume ya Warioba kuchagua chaguo pekee - Serikali tatu. Hawatakiwi kuchagua au kuzungumzia jambo jingine lolote zaidi ya "Serikali Tatu"...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
TATIZO LA TANGANYIKA NA UHARAMU WA KATIBA MPYA Na. M. M. Mwanakijiji Mojawapo –kama siyo kubwa zaidi – ya hoja ambazo zitazua mjadala mkali katika Bunge Maalum la Katiba (BMLK) ni ile...
16 Reactions
38 Replies
4K Views
Makamu wa Rais Zanzibar ameeleza vyema kwamba mkataba huu haifiki Zanzibar, means unaishia Tanganyika. Bunge la Muungano lina wabunge wa majimbo kutoka Zanzibar pamoja na baadhi wa kuteuliwa jambo...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Wadau naomba niseme kitu ila nikikosea mnirekebishe msinitukane.NCHI ya TANGANYIKA ina Ardhi na Watu wake vivyo hivyo na NCHI ya ZANZIBAR. Mwaka 1964 NCHI hizi mbili ziliungana na Kuzaliwa NCHI...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Kaimu Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo Jussa amesema Kiongozi mmoja mkubwa wa CCM amekiri hadharani kwamba tangu Mfumo wa Vyama vingi uanze CCM haijawahi kushinda uRais wa Zanzibar Kwahiyo basi...
0 Reactions
3 Replies
671 Views
Wakati mjadala mkubwa ukiwa kwenye mojawapo ya mikataba ya ushirikiano kati ya Tanzania na nchi ya Falme za Kiarabu ya DP World tukumbeke pia mwaka jana Novemba Rais Samia alitembelea China na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Heshima yako Rais wangu Samia. Mimi ni mmoja wa Watanzania wasiokupinga wala kukubali sana nipo 50/50 kwa sababu nakuona kama Rais mwema, msikivu, mwenye hekima, una diplomasia nzuri sana ya...
4 Reactions
52 Replies
4K Views
Back
Top Bottom