Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ilikuwa wa kubadili jina la Tanganyika

Sir robby

JF-Expert Member
Jun 22, 2022
2,400
4,074
Wadau naomba niseme kitu ila nikikosea mnirekebishe msinitukane.NCHI ya TANGANYIKA ina Ardhi na Watu wake vivyo hivyo na NCHI ya ZANZIBAR.

Mwaka 1964 NCHI hizi mbili ziliungana na Kuzaliwa NCHI ya 3 ambayo ni TANZANIA. Binafsi niliamini MUUNGANO ule Ungezaa NCHI MOJA ambayo ni JAMHURI ya MUUNGANO TANZANIA badala yake kukawa na NCHI ya ZANZIBAR na NCHI ya TANZANIA lakini NCHI ya TANGANYIKA haipo tena. Na hii NCHI ya TANZANIA ipo ktk ARDHI ya NCHI ya TANGANIKA na Watu wa TANGANYIKA

Je, nikisema MUUNGANO Ule ulikuwa KULIBADILI jina la TANGANYIKA kuwa TANZANIA nitakuwa NIMEKOSEA?

Naomba Michango yenu.
 
Wadau naomba niseme kitu ila nikikosea mnirekebishe msinitukane.NCHI ya TANGANYIKA ina Ardhi na Watu wake vivyo hivyo na NCHI ya ZANZIBAR.

Mwaka 1964 NCHI hizi mbili ziliungana na Kuzaliwa NCHI ya 3 ambayo ni TANZANIA. Binafsi niliamini MUUNGANO ule Ungezaa NCHI MOJA ambayo ni JAMHURI ya MUUNGANO TANZANIA badala yake kukawa na NCHI ya ZANZIBAR na NCHI ya TANZANIA lakini NCHI ya TANGANYIKA haipo tena. Na hii NCHI ya TANZANIA ipo ktk ARDHI ya NCHI ya TANGANIKA na Watu wa TANGANYIKA

Je, nikisema MUUNGANO Ule ulikuwa KULIBADILI jina la TANGANYIKA kuwa TANZANIA nitakuwa NIMEKOSEA?

Naomba Michango yenu.
Ukweli diyo huo.
 
Wadau naomba niseme kitu ila nikikosea mnirekebishe msinitukane.NCHI ya TANGANYIKA ina Ardhi na Watu wake vivyo hivyo na NCHI ya ZANZIBAR.

Mwaka 1964 NCHI hizi mbili ziliungana na Kuzaliwa NCHI ya 3 ambayo ni TANZANIA. Binafsi niliamini MUUNGANO ule Ungezaa NCHI MOJA ambayo ni JAMHURI ya MUUNGANO TANZANIA badala yake kukawa na NCHI ya ZANZIBAR na NCHI ya TANZANIA lakini NCHI ya TANGANYIKA haipo tena. Na hii NCHI ya TANZANIA ipo ktk ARDHI ya NCHI ya TANGANIKA na Watu wa TANGANYIKA

Je, nikisema MUUNGANO Ule ulikuwa KULIBADILI jina la TANGANYIKA kuwa TANZANIA nitakuwa NIMEKOSEA?

Naomba Michango yenu.
Huu muungano siku nikiwa rais naufutia mbali

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau naomba niseme kitu ila nikikosea mnirekebishe msinitukane.NCHI ya TANGANYIKA ina Ardhi na Watu wake vivyo hivyo na NCHI ya ZANZIBAR.

Mwaka 1964 NCHI hizi mbili ziliungana na Kuzaliwa NCHI ya 3 ambayo ni TANZANIA. Binafsi niliamini MUUNGANO ule Ungezaa NCHI MOJA ambayo ni JAMHURI ya MUUNGANO TANZANIA badala yake kukawa na NCHI ya ZANZIBAR na NCHI ya TANZANIA lakini NCHI ya TANGANYIKA haipo tena. Na hii NCHI ya TANZANIA ipo ktk ARDHI ya NCHI ya TANGANIKA na Watu wa TANGANYIKA

Je, nikisema MUUNGANO Ule ulikuwa KULIBADILI jina la TANGANYIKA kuwa TANZANIA nitakuwa NIMEKOSEA?

Naomba Michango yenu.
Hapana Muungano ule ulikuwa ni kuziunganisha nchi mbili kwa kushirikiana baadhi ya mambo ila sijaelewa kwann Wazanzibari wanapewa uongozi huku kwetu Tanganyika lakini hakuna Mtanganyika anayepewa uongozi wa juu kule Zanzibar
 
Wadau naomba niseme kitu ila nikikosea mnirekebishe msinitukane.NCHI ya TANGANYIKA ina Ardhi na Watu wake vivyo hivyo na NCHI ya ZANZIBAR.

Mwaka 1964 NCHI hizi mbili ziliungana na Kuzaliwa NCHI ya 3 ambayo ni TANZANIA. Binafsi niliamini MUUNGANO ule Ungezaa NCHI MOJA ambayo ni JAMHURI ya MUUNGANO TANZANIA badala yake kukawa na NCHI ya ZANZIBAR na NCHI ya TANZANIA lakini NCHI ya TANGANYIKA haipo tena. Na hii NCHI ya TANZANIA ipo ktk ARDHI ya NCHI ya TANGANIKA na Watu wa TANGANYIKA

Je, nikisema MUUNGANO Ule ulikuwa KULIBADILI jina la TANGANYIKA kuwa TANZANIA nitakuwa NIMEKOSEA?

Naomba Michango yenu.
Technically uko sahihi.

Ule "muungano " ulikuwa kati ya:-
1. Mwl Nyerere na hayati Karume
2. TANU na ASP
3. Kikundi kidogo cha "wapigania uhuru/mapinduzi" na wanasiasa wachache.

Haukuwa kati ya Tanganyika na Zanzibar, wala kati ya wananchi wake. Ni ujanja ujanja tu na kulazimisha mambo - Ujamaa style .
 
Kundi la G55 walikuwa na hoja ya msingi sana kudai Tanganyika ndio maana hata askofu Mtikira hakuwahi shusha bendera ya Tanganyika.

Mzee yule aliamua kuipoteza Tanganyika kwa maslahi ya kisiasa zaidi sifa zote kwa mzee Karume (RIP) ambaye hakukubali kuipoteza Zanzibar na mamlaka yake.

Huu muungano umekaa ki-snitch sana
 
Watanzania ni huku ila Tanzania visiwani wao wanajiita Wazanzibari,Sasa basi Watanzania oneni fahari kujiita Watanganyika kama Tanzania visiwani wanavyoona fahari kujiita Wazanzibari.
 
Watanzania ni huku ila Tanzania visiwani wao wanajiita Wazanzibari,Sasa basi Watanzania oneni fahari kujiita Watanganyika kama Tanzania visiwani wanavyoona fahari kujiita Wazanzibari.
Kesho ndio kesho...lazima yule mzenji ang'olewe, Tanganyika ibaki mikinoni mwa watanganyika
 
Yes umepata kura yangu mtoa mada,Mbunge kwenye bunge la Zanzibar anasimama bungeni na kulalama kuwa kuna wafundishaji wachache wa kiswahili kwenye vyuo vya nje kutoka Zanzibar wakati anadai ndio chimbuko la kiswahili!,haelewi kuwa sisi sote ni watanzania
 
Watanganyika amukeni

Wazanzibar wamekufuata uko Tanganyika wakachukua ardhi na wakachukua uongozi mumetulia
Wameona wauze na nchi kwa wajomba ili wagawane vizuri
 
Back
Top Bottom