Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,105
Makamu wa Rais Zanzibar ameeleza vyema kwamba mkataba huu haifiki Zanzibar, means unaishia Tanganyika. Bunge la Muungano lina wabunge wa majimbo kutoka Zanzibar pamoja na baadhi wa kuteuliwa jambo ambalo linaleta mkanganyiko unapotaka kutoa maamuzi kuhusu Tanganyika.
Leo mjadala hafifu unaendelea bungeni ambao kwa vyovyote vile hakuna mbunge anayeonekana kuelewa au kusimama kwa akili zake...wote wamesimama na misimamo ya vyama vyao.
Katika mazingira haya ni sahihi kumruhusu Mbunge wa Zanzibar kujenga hoja huku wananchi wakiamini kinachouzwa siyo cha Muungano?
Je, Bunge la Jamuhuri linaweza kuuza rasilimali za Zanzibar?
Leo mjadala hafifu unaendelea bungeni ambao kwa vyovyote vile hakuna mbunge anayeonekana kuelewa au kusimama kwa akili zake...wote wamesimama na misimamo ya vyama vyao.
Katika mazingira haya ni sahihi kumruhusu Mbunge wa Zanzibar kujenga hoja huku wananchi wakiamini kinachouzwa siyo cha Muungano?
Je, Bunge la Jamuhuri linaweza kuuza rasilimali za Zanzibar?