johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,674
- 143,065
Kaimu Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo Jussa amesema Kiongozi mmoja mkubwa wa CCM amekiri hadharani kwamba tangu Mfumo wa Vyama vingi uanze CCM haijawahi kushinda uRais wa Zanzibar
Kwahiyo basi 2025 CCM waelewe mapema kabisa Watake Wasitake Wataondoka na moto tumeshauwasha leo, amesisitiza Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo
Mbarikiwe sana!
Kwahiyo basi 2025 CCM waelewe mapema kabisa Watake Wasitake Wataondoka na moto tumeshauwasha leo, amesisitiza Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo
Mbarikiwe sana!