johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,944
Tanzania Bara na Tanzania Visiwani = Tanzania
Tanganyika ilijibadili kuwa Tanzania Bara
Zanzibar ilibakia lakini yale mambo ya Muungano ndio hutambulika kama Tanzania Visiwani
Niko najifunza Muungano wa Uingereza na Himaya ya Ufalme wake
Ndio ghafla nimeukumbuka Muungano wetu imara
Tanganyika ilijibadili kuwa Tanzania Bara
Zanzibar ilibakia lakini yale mambo ya Muungano ndio hutambulika kama Tanzania Visiwani
Niko najifunza Muungano wa Uingereza na Himaya ya Ufalme wake
Ndio ghafla nimeukumbuka Muungano wetu imara