Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ukimuona Maulid Kitenge anavyojimina kuzitaja faida za uwekezaji za bandari mpaka unaona hivi huyu ni chizi fresh? Anaongea yasiyokuwepo, anyway siwezi bisha hilo ila swali langu ni kwamba nchi...
2 Reactions
11 Replies
850 Views
Spika wa bunge, msemaji wa serikali na Waziri mkuu wanamjibu nani kuhusiana na hili sakata la bandari kuuzwa? Je wanawajibu wananchi au Wabunge waliuopotasha umma au wanawajibu DP World...
0 Reactions
0 Replies
907 Views
SAKATA la kuuza Bandari kwa Mwarabu limezidi kuwagawa watanzania hapo Mbunge Joseph Msukuma amewashambulia watanzania wanaopiga kuuzwa kwa bandari kwa mwarabu. ============== Mimi ni mmmoja wa...
17 Reactions
228 Replies
29K Views
TICTS wamekuwepo pale kwa miaka 22 toka kipindi cha uongozi wa hayati Mkapa. TPA walio na haki ya usimamizi wa bandari zetu nchini wanajiandaa kuwapokea DPW ambao wanakuja na "Era" mpya...
1 Reactions
6 Replies
546 Views
MHE. ZAYTUN SWAI AITAKA SERIKALI KUONGEZA KASI YA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO NJITI MKOA WA ARUSHA "Je, Serikali ina mpango wa kupunguza vifo vya watoto wenye umri kati ya mwaka 0 - 1" - Mhe...
0 Reactions
1 Replies
751 Views
Amini usiamini hili bunge letu ni la Wafanya Biashara siyo Bunge la wananchi. Asilimia 80 ni Wafanya Biashara wakubwa and not start ups. Mfanya Biashara ni mtu ambaye all the time anawaza cash...
1 Reactions
2 Replies
521 Views
Kumekuwa na upotoshaji wa kimakusudi unaofanywa na spika, baadhi ya wabunge, viongozi wa serikali na wapiga debe wengine wa sakata la Bandari kupewa DP world. Wapiga debe hao wamekuwa wakisema...
2 Reactions
4 Replies
627 Views
UTANGULIZI: Kwa taaluma yangu kama mwanasheria nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kweli kuwa ule ndio ushauri wa kisheria (legal opinion, or legal memorandum) uliotolewa na watalaamu wetu wa kisheria...
13 Reactions
51 Replies
4K Views
Nitasema kweli daima , Fitna kwangu mwiko . Miaka ya nyuma kidogo , kabla awamu ya 5 , Uteuzi wa Mabalozi waliowakilisha nchi yetu ulizingatia uwezo wa Mteuliwa katika masuala ya kimataifa...
40 Reactions
136 Replies
11K Views
Wachina wanamiminika kuja kufanya Biashara nchini kwa sababu tuna Mkataba wa Ushirikiano wa Nchi zetu Kwa mfano Tanzania tuna Balozi Nigeria na Nigeria ina Balozi wake hapa nchini lakini ATCL...
0 Reactions
1 Replies
864 Views
Tuliopo ndani ya chama kwa miaka mingi sana hii ndio kanuni, Mwenyekiti wa CCM Taifa yaani Rais wa Tanzania kichama ana mamlaka kuu tatu ndani ya CCM 1.Yeye ndiye sheria 2.Yeye ndiye Taratibu...
7 Reactions
34 Replies
3K Views
DP world, Tanzania tumefurahishwa na ujio wenu kwani hata matajiri wakubwa Dar wana asili ya uarabu na uhindi,Tunategemea mji kubadilika na watu kuhama katikati ya mji kupisha majengo ya kisasa ya...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Vijana hakuna kitu cha bure kwenye maisha ,lazima ulipe gharama kwa unachokihitaji Anayeandaa mtaala mpya wa elimu kwa vijana yeye mwenyewe hauamini mtaala kama unatekelezeka na wala hana uhakika...
1 Reactions
6 Replies
665 Views
Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa...
18 Reactions
83 Replies
7K Views
Baada ya kuona report ya CAG hakuna walichoingiza mfukoni au familia zao kubadilika sasa wanajadili bandari. Kelele za bandari nazo baada ya watu kuona hawaingizi chochote mfukoni sasa wanajadili...
12 Reactions
37 Replies
2K Views
Ushauri huu ni kwa vijana wasio na kazi lakini wamemaliza chuo na wapo chini ya miaka 35. 1. Tafuta shule ya kujifunza kigerumani Tanzania 2. Fanya mtihani wa lugha ya German German inatoa viza...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanabodi wa jamii forums, Yapo mashirika kadhaa ambayo yana stahili kubinafsishwa ili tuweze kuleta ufanisi wa utoaji huduma Tanzania. Haya mashirika ni wazi tungewakabidhi wageni Watanzania...
2 Reactions
71 Replies
5K Views
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Tulia Ackson amesema kuwa amejiridhisha na Mchango wa Mbunge wa Kisesa Mhe. Luhaga Mpina kuhusu maelekezo ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Rais Samia aliwahi kusema katika moja ya Hotuba zake kuwa aliambiwa na mtu ndani kuwa nanukuu; 'Wakataokuangusha ni kijani wenzio wala sio wapinzani'. Kumbuka haya maneno na ufikirie tena juu ya...
0 Reactions
0 Replies
490 Views
Waingereza husema ndege wa bawa moja huruka pamoja. Sijui nimuelezee Rais Samia. Nikiona watu waliomzunguka wakimpumbaza kwa mapambio napata taabu kidogo. Kwani, ni hawa hawa waliokuwa...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom