Uteuzi wa viongozi watano wakiwemo wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) uliofanywa jana na Rais Samia Suluhu Hassan, umewaibua wadau mbalimbali wa kia-siasa baadhi wakipongeza na wengine...
Miradi mikubwa yote kama Madaraja makubwa, Fly overs DSM, Mwendo kasi, SGR, Bwawa la umeme- Nyerere, miradi ya Kilimo Dodoma, Mahusiano na nchi za nje, wawekezaji kibao, Royal Tours, Bandari n.k...
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amesema mkoa huo unajiandaa kuanza kutengeneza simu janja.
Kunenge amesema hayo mjini Kibaha kwenye kikao maalumu cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya...
Habari zenu ndugu zanguni,
Moja kwa moja niende kwenye mada tajwa hapo juu nielezee japo kwa uchache japo sio mbobevu sana wa haya mambo.
Tangu kuibuka hii ishu ya DPW kumekuwa na mvutano mkubwa...
WAZIRI AWESO - TUSIZOEE SHIDA ZA WANANCHI TWENDENI TUKAFANYE KAZI
Waziri Wa Maji Mhe.Jumaa Aweso ametoa wito kwa Bodi mbili zilizozinduliwa leo kusimamia utendaji na ufanisi katika kutekeleza...
Kuna watu, ama kwa kusukumwa na maslahi yao binafsi, uelewa mdogo, uduni wa weledi na dhamira mbaya, wanajitahidi sana kuuhadaa umma, kuufanya mkataba ule wa hovyo kabisa kati ya DP na Serikali...
Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani ameipongeza serikali kufuatia juhudi za kutatua changamoto za migogoro ya ardhi baada ya kufutwa kwa Hifadhi ya Taifa ya Kigosi ambayo ilizuia...
Ingekuwa Enzi za Hayati Mafufuli basi Baba levo na Steve Nyerere wangepata Teuzi aidha ndani ya Chama au Serikalini.
Wameonesha uwezo na ujasiri kutete falsafa na maono ya mwenyekiti CCM Taifa...
Najua hamtaniamini lakini kwa jinsi Mambo yanavyokwenda NAWAAPIA Suala la Kupata KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI litaanza Baada ya UCHAGUZI MKUU 2025 .
Wenye AKILI KUBWA tulilijua Mapema...
Utaratibu wa usafi wa Mazingira nao uwekwe kwenye katiba?
Nimekuwa nikitatizika sana na usafi wa mitaa yetu. Hakuna jitihada zozote zinazoongelewa kuhusu usafi wa mazingira yetu.
Inasikitisha...
Hofu ni mambo yasionekana bali ni dhahania tu yanaweza kutokea au kutotokea
Taifa haliwezi kukwepa uwekezaji kisa hofu,Hofu huwezi kuikimbia bali unaweza kupunguza hofu
Hatuwezi kuwaogopa Dp...
Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa amekiri kuwa ni kweli tangu Bunge la Tanzania liliporidhia azimio la Nchi ya Tanzania kuimarisha mahusiano yake Nchi ya Tanzania na Nchi ya Dubai hasa katika maeneo ya...
Mbunge wa Igunga na Mweka hazina wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz, hatimaye amejibu rasmi madai mazito yaliyotolewa na Reginald Mengi kuhusu "mafisadi papa". Tamko hilo rasmi...
Kama yupo msaidizi wa namba moja anayejiuliza mara mbilimbili kumjulisha boss wake yanayojili mitandaoni, basi ni wa namba moja wetu.
Na kama yupo kiongozi anayeipuuza mitandao ya kijamii kwa...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za heri ya sikukuu ya Eid el Adh’haa kwa dua maalum akiwataka Watanzania kusherehekea kwa amani, umoja na upendo.
Ametuma salamu hizo leo...
Walimu wa kike wote Mkoani Njombe hususan Mji wa Makambako wamelazimishwa:-
1. Kununua vitenge vya Mama.
2. Kushiriki kikamilifu kwenye sherehe/Kampeni inayojulikana kama ya kumpongeza mama siku...
Kwamba IGA iliyoridhiwa Bungeni inatoa Fursa kwa Tanzania na Dubai kuwa na Ushirikiano wa Kibiashara kwenye Maeneo ya Bandari
Na kwamba sasa kampuni mbalimbali za Dubai zinaweza kufanya...
Sifahamu iwapo naeleweka vizuri. Kama nitakuwa nje saana mtaniwia radhi. Kuna mambo yananipa kuchanganyikiwa na nisijue lolote!
Mambo ya wazanzibari, yanasimamiwa na serikali ya Zanzibar na...
DP world wakiendelea na huu Mkataba na uwekezaji wake basi nitajua kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia.
Mwekezaji lazima awe na wasi wasi pale wenyeji wanapoonekana hawajafurahiswa na uwekezaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.