You get what you vote for

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Vijana hakuna kitu cha bure kwenye maisha ,lazima ulipe gharama kwa unachokihitaji

Anayeandaa mtaala mpya wa elimu kwa vijana yeye mwenyewe hauamini mtaala kama unatekelezeka na wala hana uhakika kama utawafaa vijana bali anawafanyia majaribio vijana

Nothing goes for nothing and value goes for value au wengine husema nothing for nothing and value for value

Mkono mtupu haulambwi,Mambo unayakumbana nayo ndio mambo uliyoyachagua na kuyapigia kura huna haja ya kumlaumu mtu au serikali

Vijana wa kitanzania wanapitia mengi sana na mengi waliyachagua wenyewe na kuyapigia kura ili kupata furaha ya muda

Vijana bado wanaendelea kupiga kura na kuyachagua mambo yale yale ambayo yamewafanya kuonekana msomi hana tofauti na mtoto wa chekechea

Vijana yawapasa kumshukuru muhindi aliyewaletea kamali ingawa muhindi hawakumchagua au kumpigia kura lakini muhindi na kamali yake ameonekana wa maana kuliko wale vijana waliowachagua na kuwapigia kura
 
Nimekuelewa sana. Nakumbuka tshirts za umoja ni ushindi 2015 hatiamye ajira zikasitishwa leo hata wakiajir kwa mamia soko limeshakuwa saturated vijana wanabishana nani kapaka ikulu mpya rangi nani kaweka matofali mengi kama jambo la tija bila kuangalia gharama za kiuchumi za nchi kuwa na ikulu mbili zinazo lingana huku mashangingi yakiungurumishwa kutoka dodoma kwenda dar na kinyume chake kupeleka mafaili hatupo dar wala dodoma twafa
 
Nimekuelewa sana. Nakumbuka tshirts za umoja ni ushindi 2015 hatiamye ajira zikasitishwa leo hata wakiajir kwa mamia soko limeshakuwa saturated vijana wanabishana nani kapaka ikulu mpya rangi nani kaweka matofali mengi kama jambo la tija bila kuangalia gharama za kiuchumi za nchi kuwa na ikulu mbili zinazo lingana huku mashangingi yakiungurumishwa kutoka dodoma kwenda dar na kinyume chake kupeleka mafaili hatupo dar wala dodoma twafa
Ndicho kinachoendelea

Kinachosikitisha na kunishangaza vijana hawajui chochote kuhusu hii nchi wao wanakuwa brain washed dakika moja tu,

Kwa sasa unatumia sekunde kazaa kuwahadaa vijana lakini unaweza tumia nusu saa kumuhadaa mtoto wa chekechea kuwa aende shule utampa zawadi

Vijana wa kitanzania hawana tofauti na wale watu waluodanganywa na Menkenzie kenya wafunge mpaka kufa

Vijana wanatumika kuwafikisha watu kwenye malengo yao na baadae wale wale wanawajadili vijana kama mzigo na bomu

Waliowachagua sasa wanawaambia vijana kazi hakuna na wajiajiri binafsi huku wengine wakiwakashufu kuwa mbona wenzao wa darasa la saba hawalalamiki

Tuelekeapo mtu smart hata mpeleka mtoto shule kwenye mfumo huu wa elimu unaomuandaa kijana kuwa mpiga mapambio na mjinga
 
Vijana yawapasa kumshukuru muhindi aliyewaletea kamali ingawa muhindi hawakumchagua au kumpigia kura lakini muhindi na kamali yake ameonekana wa maana kuliko wale vijana waliowachagua na kuwapigia kura
Kuna mwamba nilimsikia akiimba

"Ajira pekee zilizobaki kwa vijana ni kubet na kufanya ukahaba pamoja na umalaya"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom