GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
DP world, Tanzania tumefurahishwa na ujio wenu kwani hata matajiri wakubwa Dar wana asili ya uarabu na uhindi,Tunategemea mji kubadilika na watu kuhama katikati ya mji kupisha majengo ya kisasa ya ghorofa kuanzia ishirini na zaidi
GSM au Ghalib, Mo Dewji, Azam au Bakhresa na Rostam Aziz hawa ndio matajiri wa Dar na wote wana damu ya uarabu na uhindi
Pesa ni kila kitu, Waarabu wana pesa za mafuta,Mji wa Dar bado katikati kuna majengo na vijumba uchwara vingi kutokana na umaskini wa watanzania kushindwa kuwalipa baadhi ya watu ili kubomoa na kujenga upya
Waarabu hawashindwi kuwanunua watu kariakoo yote ile na kujenga majengo yao ya kisasa,
Leo wachezaji wa mpira wanaolipwa mabilioni wapo uarabuni kwa waarabu
Leo timu kubwa za uingereza wenye hisa nyingi ni waarabu
Karibuni Dp World,Tunahitaji muitanue bandari yetu iwe kubwa mpaka maeneo ya kariakoo karibu na Muhimbili hospital muongeze pia kuelekea Posta mpaka maeneo ya Salender
Tunahitaji mji mpya wa Dar iwe kama Dubai,Nina hakika waarabu wataipenda Tanzania
Wawekezaji wanaweza ,Maamuzi ya kuivunja NBC Bank yalikuwa magumu na watu walitukana sana lakini ikaanzishwa NMB Bank ambayo leo ipo kila kona ya nchi mpaka vijijini na wamekuwa wakombozi wa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali na wafanya buashara
Vijana ambao hawakuwepo wakati NBC inapunguzwa nguvu na kuachia baadhi ya majengo kwa NMB hawawezi kuelewa haya,Mjadala ulikuwa wa moto sana na wale waliotukana sasa wana mikopo NMB Bank
Waliopinga uwekezaji wa NMB bado wapo na wana ona aibu kubwa
Hata kwa hili la bandari wanaopiga kelele sasa ,Watoto wao wataajiriwa na waarabu na wataona aibu na kujificha
Kuna waliopinga NBC kuachia majengo kwa wawekezaji wa NMB Bank mfano jengo la Bank house pale mjini lilikuwa ni NBC Bank
Hofu ya uwekezaji ipo tu hatuwezi kukwepa
GSM au Ghalib, Mo Dewji, Azam au Bakhresa na Rostam Aziz hawa ndio matajiri wa Dar na wote wana damu ya uarabu na uhindi
Pesa ni kila kitu, Waarabu wana pesa za mafuta,Mji wa Dar bado katikati kuna majengo na vijumba uchwara vingi kutokana na umaskini wa watanzania kushindwa kuwalipa baadhi ya watu ili kubomoa na kujenga upya
Waarabu hawashindwi kuwanunua watu kariakoo yote ile na kujenga majengo yao ya kisasa,
Leo wachezaji wa mpira wanaolipwa mabilioni wapo uarabuni kwa waarabu
Leo timu kubwa za uingereza wenye hisa nyingi ni waarabu
Karibuni Dp World,Tunahitaji muitanue bandari yetu iwe kubwa mpaka maeneo ya kariakoo karibu na Muhimbili hospital muongeze pia kuelekea Posta mpaka maeneo ya Salender
Tunahitaji mji mpya wa Dar iwe kama Dubai,Nina hakika waarabu wataipenda Tanzania
Wawekezaji wanaweza ,Maamuzi ya kuivunja NBC Bank yalikuwa magumu na watu walitukana sana lakini ikaanzishwa NMB Bank ambayo leo ipo kila kona ya nchi mpaka vijijini na wamekuwa wakombozi wa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali na wafanya buashara
Vijana ambao hawakuwepo wakati NBC inapunguzwa nguvu na kuachia baadhi ya majengo kwa NMB hawawezi kuelewa haya,Mjadala ulikuwa wa moto sana na wale waliotukana sasa wana mikopo NMB Bank
Waliopinga uwekezaji wa NMB bado wapo na wana ona aibu kubwa
Hata kwa hili la bandari wanaopiga kelele sasa ,Watoto wao wataajiriwa na waarabu na wataona aibu na kujificha
Kuna waliopinga NBC kuachia majengo kwa wawekezaji wa NMB Bank mfano jengo la Bank house pale mjini lilikuwa ni NBC Bank
Hofu ya uwekezaji ipo tu hatuwezi kukwepa