Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Tulia Ackson amesema kuwa amejiridhisha na Mchango wa Mbunge wa Kisesa Mhe. Luhaga Mpina kuhusu maelekezo ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kutofanyiwa kazi na watendaji wa jeshi la Hifadhi
Dkt. Tulia amesema hayo leo June 28,2023 Bunge,Dkt. Tulia amesema kuwa wakati Mhe. Mpina akichangia na maneno aliyokuwa ameyasema alikuwa sahihi kwa sababu maelekezo yale ya Waziri Mkuu yalikuwa hayajaanza kufanyiwa kazi
Dkt. Tulia amesema kuwa Mhe. Mpina alileta vielelezo vyake ofisini kama alivyotakiwa na baada ya kupitia waligundua kuwa alikuwa sahihi hivyo hilo jambo linamalizwa kwa namna hiyo.
Dkt. Tulia amesema hayo leo June 28,2023 Bunge,Dkt. Tulia amesema kuwa wakati Mhe. Mpina akichangia na maneno aliyokuwa ameyasema alikuwa sahihi kwa sababu maelekezo yale ya Waziri Mkuu yalikuwa hayajaanza kufanyiwa kazi
Dkt. Tulia amesema kuwa Mhe. Mpina alileta vielelezo vyake ofisini kama alivyotakiwa na baada ya kupitia waligundua kuwa alikuwa sahihi hivyo hilo jambo linamalizwa kwa namna hiyo.