Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kati ya wanasiasa wa upinzani ninaowaheshimu mbowe ni namba moja ni mtu muungwana kwa kiasi chake Lakini kwenye hoja ya bandari kusema Samia na Mbarawa wanauza bandari kisa ni wanzazibar hapa...
1 Reactions
12 Replies
860 Views
Huwa nawashangaa sana Watu wanaodai nchi hii kuna udini Ukiwauliza wanakimbilia kwenye MoU ya Lowasa au ile Taasisi ya Kimataifa ya Muslim waliyotaka kujiunga Zanzibar Mungu wa mbinguni...
0 Reactions
1 Replies
868 Views
MBUNGE SEIF GULAMALI AZIDI KUIPA NGUVU SEKTA YA MICHEZO JIMBONI MANONGA Mbunge wa Jimbo la Manonga Wilaya ya Igunga Mhe. Seif Khamis Gulamali ameanza ziara rasmi kwenye Kata ya Igoweko na Vijiji...
0 Reactions
0 Replies
591 Views
MHE. NANCY NYALUSI ACHANGIA MILIONI 6 UJENZI WA NYUMBA YA KATIBU UWT, ATOA KADI 1500 KWA WANACHAMA WAPYA WA CCM MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Iringa Mhe. Nancy Nyalusi amenunua Kadi za uanachama...
0 Reactions
0 Replies
668 Views
5 July 2023 Lilongwe, Malawi RAIS SAMIA HASSAN AWASILI NCHINI MALAWI KWA ZIARA YA SIKU 3 Alipowasili amepokelewa uwanja wa ndege wa Kamuzu International Airport (KIA) na mwenyeji wake Rais...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
MBUNGE DANIEL BARAN SILLO AKABIDHI MASHINE ZA KUCHAPISHA MITIHANI KWENYE SHULE ZA SEKONDARI Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini (Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti) Mhe. Daniel Sillo ametimiza ahadi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hoja hupingwa kwa hoja: Ukweli mchungu: "Mkataba wa DP World ni mmoja akiita jiwe hata mwenda wazimu hawezi kuusaini." Heshima kwake Dk. Slaa.
9 Reactions
40 Replies
3K Views
Dodoma. Ungedhani baada ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuwaonya wateule wake kuhusu kuendekeza migogoro kazini, hali hiyo pengine ingekoma. Lakini hali sivyo ilivyo. Migogoro isiyokwisha ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiukweli Kabisa haya ndio majabali ya Siasa za Dunia Hawanaga Bei Mgongoni Mungu wa mbinguni mbariki Tundu Antipas Lisu Mungu mrehemu Shujaa Magufuli Maendeleo hayana Chama!
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Ilikuwa kwenye Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Shule na mambo mbalimbali ambapo mgeni rasmi alikuwa Dr Mwigullu Nchemba PhD aliyeongozana na wabunge kadhaa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Singida...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango ameonesha kukerwa na utaratibu wa Kuhamisha Watumishi wanaonekana kushindwa kumudu Majukumu yao au kutuhumiwa kufanya vitendo vinavyoenda kinyume na sheria na...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna kundi dogo faidika la utawala uliopita ile taharuki ya msiba wa bygone inawaisha sasa na kujikuta tayari mambo ni moto fire, wanashuhudia live jinsi mtandao wao unavyopukutishwa kwa kasi ya...
100 Reactions
212 Replies
15K Views
Lissu endelea hivyo hivyo nimeona wafanyabiashara wamerelax na kujisikia huru zaidi pale Kariakoo. Kero zao zimesikika vizuri sana na wameonesha utulivu mkubwa Lissu alipokuwa anaongea nao...
1 Reactions
3 Replies
709 Views
Akizungumza kwenye Mkutano wa Hadhara Mjini Arusha , Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini Godbless Lema , amewashangaa watu ambao hadi sasa hawana kadi ya CHADEMA huku wakiwa na uwezo wa kununua...
13 Reactions
32 Replies
4K Views
Tanganyika tunalipa Trillion 12 kila mwaka ikiwa ni pamoja na riba za madeni tuliyokopa. Sasa najiuliza katika mikopo yooote hii tunayolipa, hakuna hata trillion 1 iliyotumika kununua Crane kubwa...
6 Reactions
46 Replies
2K Views
Hii nchi kuna wakati unawasikiliza watu wanaotoa sababu kwa nini mkataba wa bandari yetu, kati ya Tanzania na DP World, ni mzuri wakati umekaa hovyo kabisa, majibu wanayotoa, unajiuliza na...
11 Reactions
22 Replies
2K Views
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatano, tarehe 5 Julai 2023 saa...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
SG wa zamani wa CCM, CS wa zamani ambaye ni Mbunge wa Bunge la Tanzania kwa sasa ndugu Bashiru Oktoba 2018 alisema "Madalali wa mali za umma kamwe hawawezi kupendezwa na hoja za kutaka uwazi...
16 Reactions
63 Replies
7K Views
Ndugu zangu Wananchi, kuna jambo tunasahau kuhusiana na mkataba wa DP World. Malalamiko ya mkataba huo yamekuwa mengi sana lakini tatizo letu wananchi tumeshindwa kujua kuwa Rais Samia Suluhu...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…