Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwenye Mjadala wa Wazi wa Bandari Club House unaoendeshwa na chaneli ya Msemaji Mkuu wa Serikari sasa hivi mambo yamekuwa moto. Msigwa akipigwa swali gumu tu anamwambia aliyeuliza ajifunze kuwa...
7 Reactions
8 Replies
2K Views
kama kuna mtu ana taarifa za chama cha wachagga dodoma naomba anipe mawasiliano nao.natanguliza shukrani
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwanasheria mkuu wa serkali kaogopa mkate wake usimponyoke Ameamua kujibu kama Tundu lissu Sioni mkataba wa miaka 100 Hakuna mkataba usiovunjika Hakuna mkataba uliosaniwa Mwanasheria ameongea...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Matabaka na % ya sensa No 1 -Chama madarakani na marafiki 1% No 2-Watumishi serikalini, sekta binafsi wenye hadhi na 2% ushawishi wa fedha No 3-Wananchi wa kawaida 97% Hawa namba 1wanahodhi...
0 Reactions
0 Replies
894 Views
Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika amesema Mwaka 2006 DP World walimrubuni Rais George Bush wa Marekani ili waweze kuendesha Bandari za USA lakini Bunge likamkatalia Bush na DP World...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Bunge ndio sehemu ya wawakilishi wa wananchi, Serikali haiwezi kupokea maoni ya mtu mmoja mmoja kutoka nchi nzima kuhusu suala hili la Bandari. Kwenye kujadili mkataba, ni wajibu wa Mbunge kupata...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Katika Clubhouse inayoendelea kuhusu mjadala wa Bandari unaoongoza na Habari Maelezo, huku moderator akiwa ni Peter Msigwa, hali imekuwa tete baada ya Peter Madeleka kutaka kuuliza swali ambapo...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwanasheria Mohamed Salum amesema Zanzibar haijahusishwa kwenye Mkataba wa DP World kutokana na masuala mbalimbali ikiwemo ugumu wa utelekezaji wa suala hili upande huo. Salum amesema japokuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kaimu Mkenyenge ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa TASAC amesema Serikali imekuwa inawekeza fedha nyingi bandarini kila mwaka lakini faida inayopatikana ni ndogo. Amebainisha kuwa uchumi wa sasa wa...
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema sio lazima kwa sasa kuwapekeka vijana nje kujifunza ujuzi unaohusu uendeshaji wa Bandari. Amesisitiza kuwa Unaweza kuwapeleka vijana huko, lakini...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu zanguni, naomba tuungane kuwapa pole Walimu, Madaktari na Watumishi wengine wa umma wa hali ya chini. Serikali imeweka Matabaka makuu mawili ya Watumishi wa umma. 1. Walimu, Madaktari na...
6 Reactions
9 Replies
1K Views
Maeneo ambayo Serikali imeelewana kushirikiana na DP World ni yale yanayohusu Bandari pekee. Mkataba hautahusu mambo mengine nje ya Bandari ikiwemo usafiri. Kazi hizo ikiwemo za usafirishaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nasikiliza mjadala unaondelea unahusu DP World huko Club House kwa kweli comment zote zinakataa uwepo wa Muwekezaji huyo kutoka Dubai kupewa bandari yetu, sijui kwa nini Serikali bado imekomaza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwani ni lazima kuboresha bandari yetu kwa kutumia Dp World? Kwani sisi hatuwezi kuwapa kandarasi wachina na kuboresha hayo maeneo muhimu na kuweza kuongeza ufanisi? Bora kukopa China na...
8 Reactions
48 Replies
2K Views
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amewataka Vijana wa Kitanzania kuchangamkia fursa za kuuza Chakula Arabuni kwa Sababu kule ni Jangwani Mchungaji Kimaro alimkaribisha mchungaji Masanja kutoa...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Hizi taasisi za Serikali kutana nazo sabasaba au Nane nane uone zinavyo toa customer care ya first class, na baada ya hapo sasa wafuate offisini uone hizo nyodo zao na dharau zao na majivuno na...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Wasalaam. Kupitia wimbi la Ubinafsishwaji wa Bandari, kumeibuka na makundi kadhaa. Lakini kuna huyu anayejiita Sheikh Mwaipopo. Kwanza, wakati wa uongozi wa awamu ya tano kuna mtu aliyejiita...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
James Mbatia uko wapi? Hii ndio fursa Yako ya kutia neno kwenye Sakata la Bandari na DP World Ili kujisafisha Kisiasa. Mara ya mwisho ulifukuzwa NCCR Mageuzi
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Nakumbuka wewe ndiye ulishikia bango la tozo za miamala ya simu. Ukashawishi serikali na bunge kuanzisha tozo hizo bila kujali maisha duni ya Watanzania wengi huku ukiweka mbele maslahi yako...
13 Reactions
31 Replies
3K Views
Maendelea hayana Chama,Vijana changamkieni fursa ,mapesa ndio hayo hapo Sasa.. My Take Vijana Msipotoka awamu hii ya Rais Samia mjue ndio basi tena maana mnajua wale wengine ambavyo Huwa wako.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom