johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika amesema Mwaka 2006 DP World walimrubuni Rais George Bush wa Marekani ili waweze kuendesha Bandari za USA lakini Bunge likamkatalia Bush na DP World wakatimuliwa
Mnyika amesema katika Bunge ambalo mbunge anasimama bungeni na kutamba Kuwa yeye ni CHAWA wa Mama haliwezi kutenda kama wabunge wa Marekani
Mnyika alikuwa anahutubia Wananchi Kwenye mkutano wa hadhara Manzese Jijini DSM
Mlale Unono!
=========
Akihutubia katika Mkutano wa Hadhara eneo la Manzese, Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika ameshauri Wananchi kupambania Katiba Mpya itakayowapa nguvu ya kuiwajibisha Serikali kuliko kutegemea Bunge.
Amesema udhaifu wa Bunge unachangiwa na namna Wabunge walivyopatikana ikiwemo kupitishwa kwa hujuma dhidi ya Upinzani na ndio maana wanalipa fadhila na sio kusimama kwa niaba ya Wananchi.
Akigusia suala la DP World na Bandari, amesema kama Bunge lingewajibika Kikatiba, lingekataa Makubaliano hayo kama Bunge la Marekani lilivyoikatalia kuendesha Bandari zake mwaka 2006 licha ya Rais Bush kushinikiza DP World ipewe Mkataba.
Mnyika amesema katika Bunge ambalo mbunge anasimama bungeni na kutamba Kuwa yeye ni CHAWA wa Mama haliwezi kutenda kama wabunge wa Marekani
Mnyika alikuwa anahutubia Wananchi Kwenye mkutano wa hadhara Manzese Jijini DSM
Mlale Unono!
=========
Akihutubia katika Mkutano wa Hadhara eneo la Manzese, Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika ameshauri Wananchi kupambania Katiba Mpya itakayowapa nguvu ya kuiwajibisha Serikali kuliko kutegemea Bunge.
Amesema udhaifu wa Bunge unachangiwa na namna Wabunge walivyopatikana ikiwemo kupitishwa kwa hujuma dhidi ya Upinzani na ndio maana wanalipa fadhila na sio kusimama kwa niaba ya Wananchi.
Akigusia suala la DP World na Bandari, amesema kama Bunge lingewajibika Kikatiba, lingekataa Makubaliano hayo kama Bunge la Marekani lilivyoikatalia kuendesha Bandari zake mwaka 2006 licha ya Rais Bush kushinikiza DP World ipewe Mkataba.