johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Shujaa Magufuli alikuwa anayaogopa sana Malumbano ya Kidini na alijitahidi sana kuwafanya Watu wa Dini zote wawe marafiki
Pale Kinya udini unawasumbua sana ukienda Nairobi Wagalatia ukija Mombasa Islam ila Mungu amewajalia jambo Moja Viongozi wa Dini wanaheshimiana sana
Jehovah ndiye Allah, amen!
Pale Kinya udini unawasumbua sana ukienda Nairobi Wagalatia ukija Mombasa Islam ila Mungu amewajalia jambo Moja Viongozi wa Dini wanaheshimiana sana
Jehovah ndiye Allah, amen!