Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Viongozi wa serikali ya Tanzania wameamua kujitoa ufahamu ili kuibeba kampuni ya DP world. Yaani sote tunajua shughuli za bandari zinahitaji usalama wa hali ya juu na madhubuti kwa sababu ya...
10 Reactions
19 Replies
1K Views
Alberto Mdando naona amekazana kuwajibu watu wanaopinga mkataba kisheria zaidi vizuri na anasema ni hoja kwa hoja. Mtazamo. Mtandao sio ofisi ya kazi ya wakili yoyote, ofisi ya wakili ni...
0 Reactions
0 Replies
477 Views
Mnamo tarehe 19.05.2023 Makamu wa Rais Dkt. Mpango uliweka Jiwe la msingi kwa ujenzi wa barabara kiwango cha lami Mianzini mpaka Ngaramtoni yenye urefu wa kilomita 18 Wilaya ya Arumeru Mkoani...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kiongozi wa Amani ambaye pia ni Shehe mkuu wa Wilaya ya Temeke amemtaka Lema wa Chadema kuacha kuwasema vibaya Viongozi wa Dini Shehe anesema Mikutano ya Siasa wanaipenda na kuifuatilia ila...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Prof. Mbarawa amesema Watanzania pale Bandarini hawana uwezo wa kuendesha Bandari ni wazembe na wala Rushwa. Sasa Walimu wa Vyuo vikuu ndio hawa na waliofaulu kwa First class pale UDSM The Hill...
27 Reactions
199 Replies
16K Views
Hili ni jambo la ajabu sana. Yaani ukiongea na wana CCM tena wale wazito ndani ya chama, wanakwambia huu mkataba ni wa kipuuzi na kuwa sisi kama nchi tumepigwa. Ila wakiwa public kwenye majukwaa...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
ABBAS MTEMVU AWAONYA VIONGOZI WASIOFANYA KAZI ZA ILANI Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa Dar Es Salaam Abbas Mtemvu, amesema Diwani yoyote wa chama cha Mapinduzi katika Mkoa huo na...
0 Reactions
0 Replies
606 Views
Star wa mchezo katika awamu ya nne anaendelea kula mijeledi, naona baada ya kumtoa kwenye baraza kihekima hawamtaki tena bungeni 2025. Nikikumbuka nafasi yake ya ushawishi na maamuzi awamu...
11 Reactions
61 Replies
6K Views
Mwanasheria Msomi Tundu Lissu ameendelea kulichambua swala la madini nchini huku akionesha kutokubaliana na namna Serikali inavyoliendea swala hili. Akizungumza katika mahafali ya CHASO Dodoma...
63 Reactions
226 Replies
21K Views
Kwanini bodi ya mikopo imeendelea kukata wanufaika retention fees wakati Rais aliishaifuta? Hii sio dharau kwa Rais au ndo yale kwamba maagizo ya kisiasa hayafanyiwi kazi?
8 Reactions
33 Replies
2K Views
Haya si yangu. copy n paste toka twitani (sasa X): "Mtangazaji wa Kipindi cha Good morning kinachorushwa kwenye kituo cha Wasafi FM anayetambulika kwa jina maarufu la Zembwela ameelezea...
15 Reactions
65 Replies
7K Views
Asalam, Hoja: Kuhuhusu mitazamo, mantiki, ufikiri na misingi ya maamuzi. Nimeona mivutano na uongo mwingi kuhusu dini, imani, madhehebu,, makabila, ukanda, jinsia nakadhalika kutumika katika...
1 Reactions
27 Replies
1K Views
Kuna kesi zinaunguruma nyingi za kubana Nchi kwa mikataba mibovu iliyolazimika kuvunjwa kiholela. Almost $1.5bilion sawa na TZS 3,682,500,000,000.00. Trillion 3.6 sawa na bajet ya Wizara ya...
1 Reactions
7 Replies
764 Views
Rais wa Samia Suluhu Hassan ameyasema hayo wakati akihutubia katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu kwenye Ukumbi wa Julius Nyerere (JNICC), Julai 26, 2023 Jijini Dar es...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu Jijini Dar es salaam leo July 26,2023 ambapo amewasihi Viongozi wenzake kuwekeza...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Yanayofanyika Chato; Yanafanyika Kote Nchini Tanzania Na: Mzalendo wa kweli (ellyskywilly) Serikali ya awamu ya tano imekuwa ikifanya kila liwezekanalo katika kuhakikisha Tanzania nzima inakuwa...
4 Reactions
42 Replies
4K Views
Baraza la Sanaa la Taifa limewataka Wasanii Wasitumie Lugha za Uchochezi Agizo limetolewa kwa njia ya mtandao huko twitani Mungu wa mbinguni awabariki Sana!
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Suala la Mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Jamhuri wa Tanzania na DP World umejadiliwa sana na wananchi kuhusu changamot zote zilizopo kwenye mkataba huo. Huku nje wengi wa wananchi ni...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwenye suala la Makinikia na ile ripoti ya professorial rubbish ni sawa kumlaumu Profesa Abdulkarim Mruma. Lakini kwa hiyo clip nakataa. Waliosaini BIT na Canada wanajulikana. Waliofuta leseni...
10 Reactions
73 Replies
10K Views
Katibu Mkuu Chongolo ni vizuri ukasimamisha ziara yako ukapata muda wa kufanya tathmini ili kujua kama hiyo mikutano yako iko connected na wananchi kwa kiasi gani. Msitafute picha za mahudhurio...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…