winnerian
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 335
- 530
Kuna kesi zinaunguruma nyingi za kubana Nchi kwa mikataba mibovu iliyolazimika kuvunjwa kiholela.
Almost $1.5bilion sawa na TZS 3,682,500,000,000.00. Trillion 3.6 sawa na bajet ya Wizara ya ujenzi uweke hapo na vijiwizara vinne vichovu zinatarajiwa kuwa fidia halali kwa waathiria wa uzembe wa taifa kuwa makini katika mikataba yake.
Sababu kubwa ni kwamba wanaosimama kwenye hizi kesi kama Mawakili wa Serikali wengi wao ndio wanaopiga sana hii nchi. Hawana msaada kabisa.
Nashauri tuunde mfumo mpya wa uwatala.
Almost $1.5bilion sawa na TZS 3,682,500,000,000.00. Trillion 3.6 sawa na bajet ya Wizara ya ujenzi uweke hapo na vijiwizara vinne vichovu zinatarajiwa kuwa fidia halali kwa waathiria wa uzembe wa taifa kuwa makini katika mikataba yake.
Sababu kubwa ni kwamba wanaosimama kwenye hizi kesi kama Mawakili wa Serikali wengi wao ndio wanaopiga sana hii nchi. Hawana msaada kabisa.
Nashauri tuunde mfumo mpya wa uwatala.