Ukiongea na wanachama wa CCM faragha (private) hawautaki mkataba, ila wakija public wanauunga mkono

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,504
51,099
Hili ni jambo la ajabu sana. Yaani ukiongea na wana CCM tena wale wazito ndani ya chama, wanakwambia huu mkataba ni wa kipuuzi na kuwa sisi kama nchi tumepigwa.

Ila wakiwa public kwenye majukwaa wanapongeza mkataba, wanampongeza Samia.

Ukiwauliza kwanini, wanakujibu wazi, wanakwambia kuwa hata Rais Samia mwenyewe na Spika Tulia wanajua kuwa huu mkataba ni mbovu na tumepigwa. Ila wanakomaa tu kulinda nafasi zao za kisiasa wasije kuumbuka baada ya kulikoroga.

Wanasema sasa kama Rais Samia mwenyewe na Spika wanajua kuwa huu mkataba ni famba kwa nini sisi tujitie kimbelembele kuupinga waziwazi wakati hata wakubwa ukweli wanaujua?

Hapa ndipo tulipofika ndugu zangu. CCM inachokifanya kwa sasa ni kulinda chama chao kisianguke. Yaani kwao ni bora bandari ikaenda kwa mwarabu kwa mkataba mbovu kama huu na sovereignity ya nchi ikawa matatani ilimradi tu kulinda chama na rais wasianguke. Kwao madaraka ni muhimu zaidi kuliko nchi!.
 
Hili ni jambo la ajabu sana. Yaani ukiongea na wana CCM tena wale wazito ndani ya chama, wanakwambia huu mkataba ni wa kipuuzi na kuwa sisi kama nchi tumepigwa.

Ila wakiwa public kwenye majukwaa wanapongeza mkataba, wanampongeza Samia.

Ukiwauliza kwa nini, wanakujibu wazi, wanakwambia kuwa hata Samia mwenyewe na Spika Tulia wanajua kuwa huu mkataba ni mbovu na tumepigwa. Ila wanakomaa tu kulinda nafasi zao za kisiasa wasije kuumbuka baada ya kulikoroga.

Wanasema sasa kama Samia mwenyewe na Spika wanajua kuwa huu mkataba ni famba kwa nini sisi tujitie kimbelembele kuupinga waziwazi wakati hata wakubwa ukweli wanaujua?

Hapa ndipo tulipofika ndugu zangu. CCM inachokifanya kwa sasa ni kulinda chama chao kisianguke. Yaani kwao ni bora bandari ikaenda kwa mwarabu kwa mkataba mbovu kama huu ilimradi tu kulinda chama na rais wasianguke. Kwao madaraka ni muhimu zaidi kuliko nchi!.
Asante sana kwa uongo wako wa wazi kabisa.
 
Hao wana CCM ambao hawautaki mkataba wa bandari ujue;

1) Hawajapata bahasha ya kaki kule Dubai.

2) Hawana connection ya kampuni zinazotegemea "TENDER" za bandari itakapouzwa kwa wawekezaji. Hawana tender walizo ahidiwa hata za kusafisha vyoo au kuokota taka.

3) Hawaja ahidiwa kupewa "EXCEMPTION (Msamaha)" wa tozo zote za bandari itakapochukuliwa na wawekezaji. Walioahidiwa Excemption kontena zao zitakua hazina tozo wala ushuru wowote zitakapopita bandarini.

"NUKUU na UKAMATE VIZURI" hicho kifungu cha tatu. Ndio mpango mzima ambao hata wana CCM na wabunge wa CCM walioupitisha bungeni mkataba hawalijui bado. Kwasababu hawana akili timamu!
 
Unafiki siyo sifa nzuri wala ushujaa, ni just kulinda masilahi.

Tatizo hapa ccm na Tanzania kwa ujumla. Ni "ZIDUMU FUKRA ZA MWENYEKITI" hata kama ni famba.

Siku cheo hiki namba moja ikiwekewa mipaka, ndiyo siku Tanzania itakapokuwa imejikomboa.
 
Asante sana kwa uongo wako wa wazi kabisa.
Kuna watu wapo ccm kimwili tu, lengo lao wapate maslahi, mfano tenda na urahisi wa kufanya biashara.

Wengine wanataka tu vyeo na nafasi za kisiasa. Kwa sasa ccm ni mfalme na watu humtumikia kupata mradi wao.

Usisahau methali; mtumikie kafir upate mradi wako..
 
Lingekuwa jambo jema sana kama ungewaumbua watu hao ili tukomeshe unafiki huu iliopitiliza kwa maslahi ya nchi yetu.

Tusipofanya hivyo tumekwisha maendeleo tusahau hela yote itaishia kwenye matumbo ya watu wachache sisi tutaishia kuongezewa makodi ili kulipa madeni.

Kodi ya majengo wamesha ongeza.
 
Hili ni jambo la ajabu sana. Yaani ukiongea na wana CCM tena wale wazito ndani ya chama, wanakwambia huu mkataba ni wa kipuuzi na kuwa sisi kama nchi tumepigwa.

Ila wakiwa public kwenye majukwaa wanapongeza mkataba, wanampongeza Samia.

Ukiwauliza kwanini, wanakujibu wazi, wanakwambia kuwa hata Rais Samia mwenyewe na Spika Tulia wanajua kuwa huu mkataba ni mbovu na tumepigwa. Ila wanakomaa tu kulinda nafasi zao za kisiasa wasije kuumbuka baada ya kulikoroga.

Wanasema sasa kama Rais Samia mwenyewe na Spika wanajua kuwa huu mkataba ni famba kwa nini sisi tujitie kimbelembele kuupinga waziwazi wakati hata wakubwa ukweli wanaujua?

Hapa ndipo tulipofika ndugu zangu. CCM inachokifanya kwa sasa ni kulinda chama chao kisianguke. Yaani kwao ni bora bandari ikaenda kwa mwarabu kwa mkataba mbovu kama huu ilimradi tu kulinda chama na rais wasianguke. Kwao madaraka ni muhimu zaidi kuliko nchi!.
Chama kina watu wanafiki sana hicho
 
Hao wana CCM ambao hawautaki mkataba wa bandari ujue;

1) Hawajapata bahasha ya kaki kule Dubai.

2) Hawana connection ya kampuni zinazotegemea "TENDER" za bandari itakapouzwa kwa wawekezaji. Hawana tender walizo ahidiwa hata za kusafisha vyoo au kuokota taka.

3) Hawaja ahidiwa kupewa "EXCEMPTION (Msamaha)" wa tozo zote za bandari itakapochukuliwa na wawekezaji. Kontena zao zitakua hazina tozo wala ushuru wowote zitakapopita bandarini.

"NUKUU na UKAMATE VIZURI" hicho kifungu cha tatu. Ndio mpango mzima ambao hata wana CCM na wabunge wa CCM walioupitisha bungeni mkataba hawalijui bado. Kwasababu hawana akili timamu!
Iko hivyo pacha. Wanaopiga kelele kuwabeza wanaofichua mapungufu ya mkataba huu wana maslahi yao binafsi.

Wanatumia nguvu kubwa ku enforce reverse psychology kuwa wanaopinga mkataba ni wale wezi waliozoea kupitisha mizigo bila kulipa na wanaopiga hapo TPA. Kumbe wao ndio wanatengeneza mchongo wao wa hivyo.
 
Back
Top Bottom