Profesa Abdulkarim Mruma hana kosa kwa ile clip inayosambaa mitandaoni

Huihui2

JF-Expert Member
Jan 5, 2012
5,280
8,005
Kwenye suala la Makinikia na ile ripoti ya professorial rubbish ni sawa kumlaumu Profesa Abdulkarim Mruma. Lakini kwa hiyo clip nakataa.

Waliosaini BIT na Canada wanajulikana. Waliofuta leseni hodhi za Bafex Tz Ltd (Kampuni tanzu ya Winshear) wanajulikana. Yamkini tunazo sababu lukuki za kumshambulia Prof. Mruma ila sio kwa hili la kutoa ushahidi wake mbele ya ICSID. Tunamkosea Mruma. Turushe mawe kwa watu sahihi.

Kiini cha madai ya Kampuni ya Winshear ni Kanuni za Madini za Mwaka 2018 zilizopelekea kufutwa kwa leseni zao.

Kwa mujibu wa Sheria, Kanuni hizo zilitungwa na Waziri wa Madini; wakati huo Angellah Kairuki. Sio Prof. Mruma.

Alichofanya Mruma ni kutetea Nchi yake. Mtendeeni haki.

Pia soma

- Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni
 
Kwenye suala la Makinikia na ile ripoti ya professorial rubbish ni sawa kumlaumu Prof Abdulkarim Mruma. Lakini kwa hiyo clip nakataa.

Waliosaini BIT na Canada wanajulikana. Waliofuta leseni hodhi za Bafex Tz Ltd (Kampuni tanzu ya Winshear) wanajulikana. Yamkini tunazo sababu lukuki za kumshambulia Prof. Mruma ila sio kwa hili la kutoa ushahidi wake mbele ya ICSID. Tunamkosea Mruma. Turushe mawe Kwa watu sahihi.
Kiini cha madai ya Kampuni ya Winshear ni Kanuni za Madini za Mwaka 2018 zilizopelekea kufutwa Kwa leseni zao. Kwa mujibu wa Sheria, Kanuni hizo zilitungwa na Waziri wa Madini; wakati huo Angellah Kairuki. Sio Prof. Mruma. Alichofanya Mruma ni kutetea Nchi yake. Mtendeeni haki

1. Kwa nini hao watu sahihi hawakwenda?

2. Kwa nini yeye kakubali kwenda wakati hana content?

3. Kwa nini serijali imemtuma yeye wakati sio mtu sahihi?
 
Mikataba ya kipumbavu wasaini wengine alafu analaumiwa profesa wa watu. Hata mimi ningesema hizo document zijazisoma.

Unatetea vipi mambo ya kipumbavu??
 
Kwenye suala la Makinikia na ile ripoti ya professorial rubbish ni sawa kumlaumu Profesa Abdulkarim Mruma. Lakini kwa hiyo clip nakataa.

Waliosaini BIT na Canada wanajulikana. Waliofuta leseni hodhi za Bafex Tz Ltd (Kampuni tanzu ya Winshear) wanajulikana. Yamkini tunazo sababu lukuki za kumshambulia Prof. Mruma ila sio kwa hili la kutoa ushahidi wake mbele ya ICSID. Tunamkosea Mruma. Turushe mawe kwa watu sahihi.

Kiini cha madai ya Kampuni ya Winshear ni Kanuni za Madini za Mwaka 2018 zilizopelekea kufutwa kwa leseni zao.

Kwa mujibu wa Sheria, Kanuni hizo zilitungwa na Waziri wa Madini; wakati huo Angellah Kairuki. Sio Prof. Mruma.

Alichofanya Mruma ni kutetea Nchi yake. Mtendeeni haki.

Pia soma
- Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni
Sasa ndo ameeenda bila kujua cha kusema ?
 
Kwenye suala la Makinikia na ile ripoti ya professorial rubbish ni sawa kumlaumu Profesa Abdulkarim Mruma. Lakini kwa hiyo clip nakataa.

Waliosaini BIT na Canada wanajulikana. Waliofuta leseni hodhi za Bafex Tz Ltd (Kampuni tanzu ya Winshear) wanajulikana. Yamkini tunazo sababu lukuki za kumshambulia Prof. Mruma ila sio kwa hili la kutoa ushahidi wake mbele ya ICSID. Tunamkosea Mruma. Turushe mawe kwa watu sahihi.

Kiini cha madai ya Kampuni ya Winshear ni Kanuni za Madini za Mwaka 2018 zilizopelekea kufutwa kwa leseni zao.

Kwa mujibu wa Sheria, Kanuni hizo zilitungwa na Waziri wa Madini; wakati huo Angellah Kairuki. Sio Prof. Mruma.

Alichofanya Mruma ni kutetea Nchi yake. Mtendeeni haki.

Pia soma

- Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni
Jee yeye ni Mwanasheria??
 
Utakataa maagizo ya serikali na wewe ni mtumishi wa umma??
Acha kuzunguka professor yupo pale kama Shahidi pia ni moja kati ya watu wanaounda timu iliyopitisha mkataba na kutoa leseni wakati wa jk na pia ni mmoja kati ya waliounda team pia wakati wa magufuli Kwa hiyo anachokipitia ni haki yake kabisa Kwa sababu alishindwa kusimamia ukweli tangu mwanzo
 
Kwenye suala la Makinikia na ile ripoti ya professorial rubbish ni sawa kumlaumu Profesa Abdulkarim Mruma. Lakini kwa hiyo clip nakataa.

Waliosaini BIT na Canada wanajulikana. Waliofuta leseni hodhi za Bafex Tz Ltd (Kampuni tanzu ya Winshear) wanajulikana. Yamkini tunazo sababu lukuki za kumshambulia Prof. Mruma ila sio kwa hili la kutoa ushahidi wake mbele ya ICSID. Tunamkosea Mruma. Turushe mawe kwa watu sahihi.

Kiini cha madai ya Kampuni ya Winshear ni Kanuni za Madini za Mwaka 2018 zilizopelekea kufutwa kwa leseni zao.

Kwa mujibu wa Sheria, Kanuni hizo zilitungwa na Waziri wa Madini; wakati huo Angellah Kairuki. Sio Prof. Mruma.

Alichofanya Mruma ni kutetea Nchi yake. Mtendeeni haki.

Pia soma
- Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni
Prof NI KILAZA NO DISCUSSION. NA HATA The Boss kathibitisha hilo. Kuwa huyu jamaa si professor yeye prof wake ni Assad tu.
 
Nakubaliana na wewe kabisaaaaa! Maana kama lengo lilikuwa kwenda kuitetea serikali kwenye mambo ya mikataba, wanasheria wapo, na yeye Prof., Kakutana na wanasheria wabobezi ila yeye sio mwanasheria. Nadhani Prof. Kabudi angeenda hapo ndiyo ingekuwa size Yao hao jamaa, sidhani kama wangemsumbua.
 
Kwenye suala la Makinikia na ile ripoti ya professorial rubbish ni sawa kumlaumu Profesa Abdulkarim Mruma. Lakini kwa hiyo clip nakataa.

Waliosaini BIT na Canada wanajulikana. Waliofuta leseni hodhi za Bafex Tz Ltd (Kampuni tanzu ya Winshear) wanajulikana. Yamkini tunazo sababu lukuki za kumshambulia Prof. Mruma ila sio kwa hili la kutoa ushahidi wake mbele ya ICSID. Tunamkosea Mruma. Turushe mawe kwa watu sahihi.

Kiini cha madai ya Kampuni ya Winshear ni Kanuni za Madini za Mwaka 2018 zilizopelekea kufutwa kwa leseni zao.

Kwa mujibu wa Sheria, Kanuni hizo zilitungwa na Waziri wa Madini; wakati huo Angellah Kairuki. Sio Prof. Mruma.

Alichofanya Mruma ni kutetea Nchi yake. Mtendeeni haki.

Pia soma
- Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni
Profesa Mruma ni bonge la kilaza. Pale hamna kitu, ni mtu wa ovyo kupitiliza. Mwanzoni tulidhani kwenye issue ya Makinikia labda alilazimishwa kuja na ule upupu ili kumlidhisha Magufuli. Lakini kwa namna tulivyomuona kwenye zile clip za mahakama za kimataifa ndio tumegundua profesa Mruma ni mweupe mnoo kichwani, wazungu 'wamemtandika bakora' akiwa uchi tena hadharani.
 
Kwenye suala la Makinikia na ile ripoti ya professorial rubbish ni sawa kumlaumu Profesa Abdulkarim Mruma. Lakini kwa hiyo clip nakataa.

Waliosaini BIT na Canada wanajulikana. Waliofuta leseni hodhi za Bafex Tz Ltd (Kampuni tanzu ya Winshear) wanajulikana. Yamkini tunazo sababu lukuki za kumshambulia Prof. Mruma ila sio kwa hili la kutoa ushahidi wake mbele ya ICSID. Tunamkosea Mruma. Turushe mawe kwa watu sahihi.

Kiini cha madai ya Kampuni ya Winshear ni Kanuni za Madini za Mwaka 2018 zilizopelekea kufutwa kwa leseni zao.

Kwa mujibu wa Sheria, Kanuni hizo zilitungwa na Waziri wa Madini; wakati huo Angellah Kairuki. Sio Prof. Mruma.

Alichofanya Mruma ni kutetea Nchi yake. Mtendeeni haki.

Pia soma
- Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni
Una uhakika wote hapa JF tunawafahamu? Kama huna uhakika, kwanini usiwataje? Kutowataja ni kukiri kuwa na andiko lako ni (futa)bish. Kufuta kunaitwa rub kwa kiinglisha
 
1. Kwa nini hao watu sahihi hawakwenda?

2. Kwa nini yeye kakubali kwenda wakati hana content?

3. Kwa nini serijali imemtuma yeye wakati sio mtu sahihi?
Makosa yakifanyika hakuna mtu sahihi wa kusema siyo makosa.
Kama 1+1 =2 hakuna mtu sahihi wa kuandika 1+1=3, katika hali ya kawaida, labda wale wanaojitoa ufahamu.
 
Back
Top Bottom