Asalam,
Hoja: Kuhuhusu mitazamo, mantiki, ufikiri na misingi ya maamuzi.
Nimeona mivutano na uongo mwingi kuhusu dini, imani, madhehebu,, makabila, ukanda, jinsia nakadhalika kutumika katika kukanya, kuzuia, kuhimiza na kuogofya kutumika kama misingi ya kifikra katika kufanya maamuzi au kutoa maoni ya Kisiasa, kiuchumi na kijamii. Hoja zangu.
1. Dini huwa sehemu ya Utamaduni wa mtu. Mfano, Mh. Samia ni Muislam na ni Mzanzibari, na ni Mwanamke. Huyu Ana utamaduni wa Kutoka katika makuzi hayo, hivyo namna yake ya kufikiri itaathiriwa kwa kiasi flan na hayo. Sasa hicho kiasi kinaweza kuwa kikubwa au kidogo.
2. Makamu wa Rais, Mh. Mpango ni mkiristo Mkatoliki. Nae anadondokea kwenye hizo mila na kona za kufanya maamuzi kutoka katika hayo maeneo.
3. Zitto, Mbowe, Jusa, Padre Kitima, Shehe Ponda, Mzee Mwinyi, Kikwete, Mkapa etc. Na hata sisi tulioko hapa Jukwaani. Tunaathiriwa kwa namna flani kufikiri na kuamua tukiongozwa na vihisishi vya dini, kabila, ukanda, makuzi etc. Hivyo hatuwezi kuwa na vyama Neutral, taifa Neutral, Siasa Neatral. Ni uongo.
CUF ni ya Waislam, ACT Ni CUF katika rangi tofauti, UDP ililenga Wasukuma na Wakulima, CHADEMA ijiweke wazi kuwa ni chama chenye Mkondo wa Ukristo. Kitafanikiwa.
Sababu
1. Hakuna Chama hasa kinachobeba agenda za Wakristo, hakuna Chama hasa kinachobeba agenda za wabara walio wengi wanaojitambua katika zama za usasa. Wakrito tafuteni chama.
2. Wakulima, kama wanataka kutoka walipo lazima wawe na chama.kinachobeba hoja zao. Wakiinvia bungeni hoja zao ni wakulima.
3. Wafanyakazi nao hivyo hivyo.
Hii ndio maana ya vyama vingi. Hapo Ccm itapata upinzani utakaosaidia kusogeza taifa mbele
Hoja: Kuhuhusu mitazamo, mantiki, ufikiri na misingi ya maamuzi.
Nimeona mivutano na uongo mwingi kuhusu dini, imani, madhehebu,, makabila, ukanda, jinsia nakadhalika kutumika katika kukanya, kuzuia, kuhimiza na kuogofya kutumika kama misingi ya kifikra katika kufanya maamuzi au kutoa maoni ya Kisiasa, kiuchumi na kijamii. Hoja zangu.
1. Dini huwa sehemu ya Utamaduni wa mtu. Mfano, Mh. Samia ni Muislam na ni Mzanzibari, na ni Mwanamke. Huyu Ana utamaduni wa Kutoka katika makuzi hayo, hivyo namna yake ya kufikiri itaathiriwa kwa kiasi flan na hayo. Sasa hicho kiasi kinaweza kuwa kikubwa au kidogo.
2. Makamu wa Rais, Mh. Mpango ni mkiristo Mkatoliki. Nae anadondokea kwenye hizo mila na kona za kufanya maamuzi kutoka katika hayo maeneo.
3. Zitto, Mbowe, Jusa, Padre Kitima, Shehe Ponda, Mzee Mwinyi, Kikwete, Mkapa etc. Na hata sisi tulioko hapa Jukwaani. Tunaathiriwa kwa namna flani kufikiri na kuamua tukiongozwa na vihisishi vya dini, kabila, ukanda, makuzi etc. Hivyo hatuwezi kuwa na vyama Neutral, taifa Neutral, Siasa Neatral. Ni uongo.
CUF ni ya Waislam, ACT Ni CUF katika rangi tofauti, UDP ililenga Wasukuma na Wakulima, CHADEMA ijiweke wazi kuwa ni chama chenye Mkondo wa Ukristo. Kitafanikiwa.
Sababu
1. Hakuna Chama hasa kinachobeba agenda za Wakristo, hakuna Chama hasa kinachobeba agenda za wabara walio wengi wanaojitambua katika zama za usasa. Wakrito tafuteni chama.
2. Wakulima, kama wanataka kutoka walipo lazima wawe na chama.kinachobeba hoja zao. Wakiinvia bungeni hoja zao ni wakulima.
3. Wafanyakazi nao hivyo hivyo.
Hii ndio maana ya vyama vingi. Hapo Ccm itapata upinzani utakaosaidia kusogeza taifa mbele