Kama ni kweli Professor Mruma alikiri mbele ya kamati ya alimas kuwa alisaini nyaraka bila kusoma na kusababisha serikali kupata hasara kwa wizi uliokuwa unaendelea kwenye almasi kwa nini ile...
Inaelekea mama alienda kwa mishe zake binafsi.
---
Baada ya kuwapo kwa taarifa ya Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu kwenda nchini Kenya hivi karibuni kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro...
Naona wanaibuka masheikh wakitoa kauli za uchochezi moja kwa moja dhidi ya wakristo
Naomba nichukue nafasi hii kuiomba serikali isichekee kauli hizo ikidhani hao masheikh wana isaidia serikali...
Siasa zetu na nyomi huwa haziachani. Wataalamu wa mambo wanadai chama kinachojaza nyomi kwenye mikutano yake ndio chenye uwezekano mkubwa wa kushinda kwenye uchaguzi.
Sasa hivi nyomi si la...
Mikakati mingi sana inapangwa bila Salum Mwalimu kuhusishwa amekuwa mpokeaji wa mambo au kuyasikia kwenye mitandao kama wengine, kurudi kwa Dkt Slaa kamati kuu ikae muamue lisiwe swala la mtu...
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba leo June 15,2023 amewasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 Bungeni Jijini Dodoma ambapo moja ya mambo aliyoyasema kwenye...
TUENDELEE KUJADILI MAPUNGUFU YA MKATABA.
Baina ya Tanzania na Dubai wa uwekezaji wa Kampuni ya DPW katika bandari zetu zote.
Tusitolewe kwenye mstari na kukubali Kujadili Udini.
Naomba...
Hivi karibuni, kampuni ya maendeleo ya mali isiyohamishika ya Uingereza imedai fidia ya dola bilioni moja (sawa na Trilioni 2.45) dhidi ya Tanzania kupitia Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi...
Kwanza kabisa ili kuweza kuelewa dhana hii kwa ufasaha, ni LAZIMA upate fursa japo kwa uchache kusoma nyaraka zifuatazo
1. Katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977(The...
Nimesikiliza kupitia BBC na VOA taarifa kuwa Rais Samia alisafiri kwenda Nairobi kwa minajili ya kuwapatanisha mahasimu wa siasa za Kenya ambao ni Rais Ruto na Raila Odinga.
Sijajua undani kama...
Tukiwagusa Acacia tutashitakiwa MIGA alisikika Lissu msomi aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania lakini badala yake tukaja kulipwa billion 700 na Acacia ikafutwa na ikaundwa kampuni mpya ya Twiga...
"Hii biashara ya Rais wetu na maswaiba zake wa Dubai imekataliwa na watu wengi sana wenye akili na ambao hawajahongwa.
"Bandari zetu zimeuzwa zote zilizopo na zitakazokuwepo.
"Hao watu...
KESI YA KIKATIBA NA.5/2023:
Majaji wameingia ukumbi Na. 04 muda huu saa 6:05
MAWAKILI WANAJITAMBULISHA
UPANDE WA SERIKALI:
1. Mark Muluambo - Wakili wa Serikali mkuu
2. Edson Mweyunge
3. Alice...
Mbunge wa Jimbo la Nkenge Mhe. Florent Kyombo, tarehe 26 Julai, 2023 ameendelea na ziara yake ya Jimbo.
Katika ziara yake amehudhuria Mkutano wa ndani wa CCM Kata ya Nsunga na kugawa vitendea...
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Tundu Antipas Lissu atawasili nchini leo mchana na moja kwa moja ataelekea Ofisini kwa DCI kuitika wito wa Polisi.
Tumuombee 😀
Ndugu zangu watanzania,
Ni kazi juu ya kazi, ni bandika Bandua, hivyo ndivyo inavyoweza ukasema,kwa sasa CCM inashambulia kila kona ya nchi kwa mikutano mfululizo inayotoa majibu ya Masuala...
Kuna campaign nchi nzima na mikutano ya usiku na mchana kutetea uwekezaji Bandari ya Dar es salaam na uwekezaji wa baadae kwa Bandari zote za Tanzania kwa kampuni Moja tu ya DP World.
Hizi pesa...
Proffessor Maruma ametetemeshwa na wasomi wenziwe huko duniani hadi anasikitisha.
Amelowa!
Na Tanzania kiuchumi tunapigwa kisawasawa, tumepambana na Economic Hit Men.
Wasomi wengine mlioko...