Mwambieni Lissu tulilipwa bilioni 700 badala ya kushitakiwa MIGA

Kijogoodi

JF-Expert Member
Mar 29, 2021
1,363
2,372
Tukiwagusa Acacia tutashitakiwa MIGA alisikika Lissu msomi aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania lakini badala yake tukaja kulipwa billion 700 na Acacia ikafutwa na ikaundwa kampuni mpya ya Twiga ambayo Tanzania tuna hisa 16% na kwenye top management ya kampuni wapo watanzania. Kupitia kampuni mpya ya Twiga watanzania wameendelea kupata gawio la mabilioni ya fedha kila mwaka zinazotokana na mauzo ya madini.

Lissu alilipwa na nani kuwadanganya watanzania? Lisu ni msaliti aliyechangamka.
------------ ------- ---------- --------
Dodoma. Sakata la makinikia limetinga bungeni baada ya Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuhoji kwa nini Serikali ilikubali kupokea sh. 700 bilioni zilizotokana na kesi za malimbikizo ya madeni ya makinikia badala ya sh. 360 trilioni ambayo ni madai halali kwa Tanzania?

Mpina amehoji swali hilo la nyongeza katika kipindi cha maswali na majibu bungeni leo Alhamis, Septemba 22,2022.

“Kwa nini Serikali ilikubali kupokea sh. 700 bilioni kutoka katika kesi za malimbikizo ya madeni maarufu kama makinikia badala ya Sh360 trilioni ambayo ni madai halali katika nchi yetu?” amehoji.

Akijibu swali hilo, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali haijakubali kupokea fedha hizo (Sh700 bilioni) na kuacha Sh360 trilioni, isipokuwa ilipeleka malalamiko kuhusu kampuni za madini.

Hata hivyo, kabla ya kumaliza kulijibu swali hilo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson alimkatisha na kutaka ufafanuzi wa majibu ya Serikali yaliyotofautiana na swali la msingi lililoulizwa na Mpina.

Akijibu swali hilo, Waziri Mwigulu amesema Serikali haikupokea kimya kimya fedha hizo (Sh700 bilioni) na kuacha sh. 360 trilioni bali kilichofanyika ni kwa Serikali kupeleka malalamiko kwenye kampuni za madini.
 
Dodoma. Sakata la makinikia limetinga bungeni baada ya Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuhoji kwa nini Serikali ilikubali kupokea sh. 700 bilioni zilizotokana na kesi za malimbikizo ya madeni ya makinikia badala ya sh. 360 trilioni ambayo ni madai halali kwa Tanzania?

Mpina amehoji swali hilo la nyongeza katika kipindi cha maswali na majibu bungeni leo Alhamis, Septemba 22,2022.

“Kwa nini Serikali ilikubali kupokea sh. 700 bilioni kutoka katika kesi za malimbikizo ya madeni maarufu kama makinikia badala ya Sh360 trilioni ambayo ni madai halali katika nchi yetu?” amehoji.

Akijibu swali hilo, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali haijakubali kupokea fedha hizo (Sh700 bilioni) na kuacha Sh360 trilioni, isipokuwa ilipeleka malalamiko kuhusu kampuni za madini.

Hata hivyo, kabla ya kumaliza kulijibu swali hilo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson alimkatisha na kutaka ufafanuzi wa majibu ya Serikali yaliyotofautiana na swali la msingi lililoulizwa na Mpina.

Akijibu swali hilo, Waziri Mwigulu amesema Serikali haikupokea kimya kimya fedha hizo (Sh700 bilioni) na kuacha sh. 360 trilioni bali kilichofanyika ni kwa Serikali kupeleka malalamiko kwenye kampuni za madini.
Hivi wewe mwenyewe unaelewa ulichoandika hapa?
 
Dodoma. Sakata la makinikia limetinga bungeni baada ya Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuhoji kwa nini Serikali ilikubali kupokea sh. 700 bilioni zilizotokana na kesi za malimbikizo ya madeni ya makinikia badala ya sh. 360 trilioni ambayo ni madai halali kwa Tanzania?

Mpina amehoji swali hilo la nyongeza katika kipindi cha maswali na majibu bungeni leo Alhamis, Septemba 22,2022.

“Kwa nini Serikali ilikubali kupokea sh. 700 bilioni kutoka katika kesi za malimbikizo ya madeni maarufu kama makinikia badala ya Sh360 trilioni ambayo ni madai halali katika nchi yetu?” amehoji.

Akijibu swali hilo, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali haijakubali kupokea fedha hizo (Sh700 bilioni) na kuacha Sh360 trilioni, isipokuwa ilipeleka malalamiko kuhusu kampuni za madini.

Hata hivyo, kabla ya kumaliza kulijibu swali hilo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson alimkatisha na kutaka ufafanuzi wa majibu ya Serikali yaliyotofautiana na swali la msingi lililoulizwa na Mpina.

Akijibu swali hilo, Waziri Mwigulu amesema Serikali haikupokea kimya kimya fedha hizo (Sh700 bilioni) na kuacha sh. 360 trilioni bali kilichofanyika ni kwa Serikali kupeleka malalamiko kwenye kampuni za madini.
Umetumwa?
Wapumbavu kama wewe ndo watakuamini.....

Ukweli wa Lissu ..gavamento ime Salute..
 
Ukweli ni kuwa.
1. Makontena yote ya mchanga tuliyoyazuia kinguvu pale bandarini tulikuja kuwaita na kuwapa buree.

2. Zaidi ya Trilioni 360 tulizozusha kuwa tunawadai hawajatulipa hata senti tano, na zile kabrasha za ripoti za Profesa Oforo huenda tulishazichoma moto.

3. Hatujawafukuza nchini wala kutaifisha migodi au mali yao yoyote.

4. Tulikaa nao mezani na tukazungumza nao kwa kina ili tumalizane nao kishkaji ili bifu liishe kimya kimya.

5. Wametupa kishika uchumba cha bilioni 700 ili waendelee kuchimba madini yetu zaidi miongo mingine kadhaa na tufunge midomo yetu milele.

Sasa waende MIGA kufanya nini tena?
 
Ukweli ni kuwa.
1. Makontena yote ya mchanga tuliyoyazuia kinguvu pale bandarini tulikuja kuwaita na kuwapa buree.

2. Zaidi ya Trilioni 360 tulizozusha kuwa tunawadai hawajatulipa hata senti tano, na zile kabrasha za ripoti za Profesa Oforo huenda tulishazichoma moto.

3. Hatujawafukuza nchini wala kutaifisha migodi au mali yao yoyote.

4. Tulikaa nao mezani na tukazungumza nao kwa kina ili tumalizane nao kishkaji ili bifu liishe kimya kimya.

5. Wametupa kishika uchumba cha bilioni 700 ili waendelee kuchimba madini yetu zaidi miongo mingine kadhaa na tufunge midomo yetu milele.

Sasa waende MIGA kufanya nini tena?
Tukiwagusa Acacia tutashitakiwa MIGA
 
Mpina alikuwa sehemu ya serikali hiyo hiyo iliyokubali hizo billion 700 ila anafanya usanii wa kisiasa tu.

Kuna chama kinataka kuanzishwa na CCM kwa uratibu wa Tiss, hii ni ili kuhadaa umma kuwa kuna upinzani baada ya watu kulipuuza box la kura. Hivyo anatakiwa mtu ndani ya CCM ajifanye anaichachafya Serekali, kisha ahamie kwenye hicho chama cha kimkakati.
 
Tukiwagusa Acacia tutashitakiwa MIGA alisikika Lisu msomi aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania lakini badala yake tukaja kulipwa billion 700 na Acacia ikafutwa na ikaundwa kampuni mpya ya Twiga ambayo Tanzania tuna hisa 16% na kwenye top management ya kampuni wapo watanzania. Kupitia kampuni mpya ya Twiga watanzania wameendelea kupata gawio la mabilioni ya fedha kila mwaka zinazotokana na mauzo ya madini.
Lisu alilipwa na nani kuwadanganya watanzania?
------------ ------- ---------- --------
Dodoma. Sakata la makinikia limetinga bungeni baada ya Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuhoji kwa nini Serikali ilikubali kupokea sh. 700 bilioni zilizotokana na kesi za malimbikizo ya madeni ya makinikia badala ya sh. 360 trilioni ambayo ni madai halali kwa Tanzania?

Mpina amehoji swali hilo la nyongeza katika kipindi cha maswali na majibu bungeni leo Alhamis, Septemba 22,2022.

“Kwa nini Serikali ilikubali kupokea sh. 700 bilioni kutoka katika kesi za malimbikizo ya madeni maarufu kama makinikia badala ya Sh360 trilioni ambayo ni madai halali katika nchi yetu?” amehoji.

Akijibu swali hilo, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali haijakubali kupokea fedha hizo (Sh700 bilioni) na kuacha Sh360 trilioni, isipokuwa ilipeleka malalamiko kuhusu kampuni za madini.

Hata hivyo, kabla ya kumaliza kulijibu swali hilo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson alimkatisha na kutaka ufafanuzi wa majibu ya Serikali yaliyotofautiana na swali la msingi lililoulizwa na Mpina.

Akijibu swali hilo, Waziri Mwigulu amesema Serikali haikupokea kimya kimya fedha hizo (Sh700 bilioni) na kuacha sh. 360 trilioni bali kilichofanyika ni kwa Serikali kupeleka malalamiko kwenye kampuni za madini.
Ya ya ya ya ya ya ya ya ya
 
Ukweli ni kuwa.
1. Makontena yote ya mchanga tuliyoyazuia kinguvu pale bandarini tulikuja kuwaita na kuwapa buree.

2. Zaidi ya Trilioni 360 tulizozusha kuwa tunawadai hawajatulipa hata senti tano, na zile kabrasha za ripoti za Profesa Oforo huenda tulishazichoma moto.

3. Hatujawafukuza nchini wala kutaifisha migodi au mali yao yoyote.

4. Tulikaa nao mezani na tukazungumza nao kwa kina ili tumalizane nao kishkaji ili bifu liishe kimya kimya.

5. Wametupa kishika uchumba cha bilioni 700 ili waendelee kuchimba madini yetu zaidi miongo mingine kadhaa na tufunge midomo yetu milele.

Sasa waende MIGA kufanya nini tena?
Na Deo akawa Mbunge Njombe kule tena kupitia tiketi ya CCM
 
Back
Top Bottom