Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,351
- 24,248
Proffessor Maruma ametetemeshwa na wasomi wenziwe huko duniani hadi anasikitisha.
Amelowa!
Na Tanzania kiuchumi tunapigwa kisawasawa, tumepambana na Economic Hit Men.
Wasomi wengine mlioko Tanzania , Msukuma PhD, Babu Tale(PhD) hebu mjitokeze mkamwage razi huko duniani, pengine ninyi mtaeleweka.
Masikini wasomi wa Tanzania, hasara tupu.
Sasa ki nchi ndio tutajifunza kuheshimu si tu elimu bali umakini, experience na proffessionalim katika fani zote za uchumi.
La kusema kwamba , limeamuliwa na msimamo wa chama matokeo yake tunayaona tungali hai.
Amelowa!
Na Tanzania kiuchumi tunapigwa kisawasawa, tumepambana na Economic Hit Men.
Wasomi wengine mlioko Tanzania , Msukuma PhD, Babu Tale(PhD) hebu mjitokeze mkamwage razi huko duniani, pengine ninyi mtaeleweka.
Masikini wasomi wa Tanzania, hasara tupu.
Sasa ki nchi ndio tutajifunza kuheshimu si tu elimu bali umakini, experience na proffessionalim katika fani zote za uchumi.
La kusema kwamba , limeamuliwa na msimamo wa chama matokeo yake tunayaona tungali hai.