Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 950
- 2,866
"Hii biashara ya Rais wetu na maswaiba zake wa Dubai imekataliwa na watu wengi sana wenye akili na ambao hawajahongwa.
"Bandari zetu zimeuzwa zote zilizopo na zitakazokuwepo.
"Hao watu wanaotetea ndio wanatetea kuuzwa kwa bandari zetu, jibu ni nini, hawana akili au wamehongwa.
"Tusiruhusu watu wanaopinga uuzwaji huu kutishwa maisha yao.
"Leo asubuhi nimesikia Wakili Boniface Mwabukusi anayetetea kesi kupinga mkataba huu wa kuuzwa kwa bandari ametishiwa maisha yake, tusiruhusu hilo.
"Tusiruhusu Rais Samia aruhusu mambo ya kutekwa tekwa na kutishiwa maisha kwa kutetea rasilimali za nchi yetu.
"Tunamkumbuka kutekwa kwa Ulimboka mwaka 2012, tunakumbuka kupotea kwa Ben Saanane, mimi niliponea chupuchupu baada ya kupigwa risasi 17, tusiruhusu vitisho maana tumeona watu wakitishwa na kupotea kweli.
"Tutaendelea kupiga kelele hadi mkataba huu ufutwe Ili kuokoa bandari zetu."
"Bandari zetu zimeuzwa zote zilizopo na zitakazokuwepo.
"Hao watu wanaotetea ndio wanatetea kuuzwa kwa bandari zetu, jibu ni nini, hawana akili au wamehongwa.
"Tusiruhusu watu wanaopinga uuzwaji huu kutishwa maisha yao.
"Leo asubuhi nimesikia Wakili Boniface Mwabukusi anayetetea kesi kupinga mkataba huu wa kuuzwa kwa bandari ametishiwa maisha yake, tusiruhusu hilo.
"Tusiruhusu Rais Samia aruhusu mambo ya kutekwa tekwa na kutishiwa maisha kwa kutetea rasilimali za nchi yetu.
"Tunamkumbuka kutekwa kwa Ulimboka mwaka 2012, tunakumbuka kupotea kwa Ben Saanane, mimi niliponea chupuchupu baada ya kupigwa risasi 17, tusiruhusu vitisho maana tumeona watu wakitishwa na kupotea kweli.
"Tutaendelea kupiga kelele hadi mkataba huu ufutwe Ili kuokoa bandari zetu."