johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Tundu Antipas Lissu atawasili nchini leo mchana na moja kwa moja ataelekea Ofisini kwa DCI kuitika wito wa Polisi.
Tumuombee 😀
Tumuombee 😀