Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mijadala ya Act wengi walikiri uchaguzi haikuwa huru na haki Hadi Walifikia hatua ya kusema tume ilipodadilisha JINA ilipoteza uhalali kikatiba Sasa wanapoteua mawaziri vivuli Ili wasimamie...
0 Reactions
1 Replies
117 Views
  • Redirect
Daktari Samia Suluhu Hassani ameondoka nchini kwenda kujadili na Viongozi wenzake wa Afrika mashariki kuhusu uvumbuzi wa Nishati ya Nyukilia. Video Courtesy: State House instagram Account
0 Reactions
Replies
Views
Heche kamgonga sana jana. Hivi kafanya/ kasema nini? Wadau tukuzane.
0 Reactions
5 Replies
219 Views
Mkutano wa Pili wa Bunge la 13 unaendelea leo Januari 28, 2026 bungeni jijini Dodoma. Miongoni mwa shughuli za leo ni Waziri Mkuu kuwasilisha Taarifa ya Matoleo ya Gazeti la Serikali pamoja na...
2 Reactions
2 Replies
269 Views
Ningelifungua page hapa JF nikasikiliza maoni ya watu. Katika anonymity ya JF, kuna watu wa CCM wenye nia njema ( ingawa ni debatable kama CCM kuna mwenye nia njema in exclusion of Judge Sinde...
2 Reactions
1 Replies
116 Views
Baada ya lile jinamizi la Oktoba 29, watu wangi walioto ndoto za kutisha Kuna waliowaona polisi kadhaa wakifungwa magereza kwa makosa yasiyo ya kwao, Kuna waliolia kilio na kuomboleza ndotoni...
2 Reactions
12 Replies
417 Views
Wakili Maduhu anasema amekagua hati za mashitaka nchi nzima za watu walioshitakiwa kwa kuhusika na uhaini wa Oktoba 29 lakini hakuna hata raia kigeni aliyeshitakiwa. Wewe kama Waziri mkuu baada...
4 Reactions
9 Replies
212 Views
Tundu Lissu aripoti kupata maumivu makali ya tumbo 'toka kuzaliwa' baada ya kupewa vipande vya matunda. Akiutaarifu umma, makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameeleza kuwa Lissu amekuwa...
6 Reactions
9 Replies
331 Views
Kwa mwendo huu, unaingia kwenye black book ya WAOVU WA TAIFA HILI. Your credibility earned for decades inaangamia kwa vipande vya fedha na Wa Dini yangu ( may be). Take home msg from the mass of...
1 Reactions
8 Replies
247 Views
Rais wa Awamu ya kwanza , Mwalimu Nyerere aliwaweka watu waliobpbea kiuchumi kuwa washauri wake. Mwalimu aliweza kubishana na IMF kwa kipindi kirefu kutokana na misimamo inayotokana na ushauri wa...
13 Reactions
44 Replies
853 Views
Jeshi la polisi mkoani Arusha limesema katika kipindi cha Aprili 18, 2026 hadi sasa, watuhumiwa 176 wamehukumiwa vifungo mbalimbali vya makosa ya jinai ikiwemo ulawiti, ubakaji, wizi, dawa za...
1 Reactions
2 Replies
132 Views
  • Featured
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026 Mwandishi: "Kwenye hili swala la...
3 Reactions
14 Replies
700 Views
Mpaka kupata mitandao hiyo ni kubahatisha. Shida tupi! why all that trouble? Hamjatosheka na mateso tunayopata
5 Reactions
12 Replies
196 Views
Bila kujali Mauaji ya Octoba 29, Wakazi wa Kahama wamefurika kuwasikiliza viongozi wa Chadema kwenye kampeni kabambe ya Katiba mpya na Free Lissu Kama kawaida Mimi mtumishi wenu nitakuwepo...
6 Reactions
21 Replies
644 Views
  • Redirect
📍MAMA KAZINI Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai kuchunguza matukio ya ghasia yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Tume hiyo itaongozwa na Jaji...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
📍MAMA KAZINI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia anayesimamia nchi za Malawi, Tanzania...
0 Reactions
Replies
Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia anayesimamia nchi za Malawi, Tanzania, Zambia na...
1 Reactions
2 Replies
158 Views
Back
Top Bottom