PostGE2025 Msigwa: Anayekwenda nje ya nchi na akaanza kukosoa wengi wao wamekuwa katika miradi au mipango ya watu wenye malengo hasi dhidi ya nchi

PostGE2025 Msigwa: Anayekwenda nje ya nchi na akaanza kukosoa wengi wao wamekuwa katika miradi au mipango ya watu wenye malengo hasi dhidi ya nchi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,943
Reaction score
2,981
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026

Mwandishi: "Kwenye hili swala la uhuru, wakosoaji wengi wamekuwa wakikosolea nje ya nchi huku kukiwa na taarifa za watu kutekwa na mambo mengine. Je, huu uhuru una kigezo gani katika vitendo kama hivyo?"

Msigwa: Mtu anayeamua kwenda nje ya nchi na akaanza kukosoa, kwanza kwa tathmini ambayo sisi tumeifanya, wengi ni wale ambao wanataka kuutumia uhuru vibaya. Au kutumia uhuru kudhalilisha watu, kuhatarisha usalama wa nchi, kupotosha, au kuzua taharuki; mambo ambayo kwa mujibu wa sheria hayaruhusiwi. Kwa sababu uhuru nao una mipaka yake.

Na kwa bahati mbaya, kwa sababu mbalimbali, wengi wao wamekuwa katika miradi au mipango ya watu wenye malengo hasi dhidi ya nchi. Na huo ni ukweli wa wazi kabisa kwa sababu tunao watu ambao tumeona wanavunja sheria wakitumia fursa ya teknolojia, iwe ni mitandao ya kijamii au vyombo vya habari, kuleta taharuki ndani ya nchi na kutoa taarifa za upotoshaji.

 
Hivi hizi akili za akina Msigwa ni za kurithi au ni za kununua! Hivi inawezekana kwenye nchi ya watu zaidi ya milioni 60 wawe wanawsifia tu! Likitokea kundi la kuwakosoa kutokana na madhaifu yenu, mnaaza kuliandama!!

Hivi hawa watu walistahili kweli kupewa mamlaka makubwa ndani ya nchi! Kwa nini wamekosa uvumilivu wa kisiasa dhidi ya wapinzani/wakosoaji wao?
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026

Mwandishi: "Kwenye hili swala la uhuru, wakosoaji wengi wamekuwa wakikosolea nje ya nchi huku kukiwa na taarifa za watu kutekwa na mambo mengine. Je, huu uhuru una kigezo gani katika vitendo kama hivyo?"

Msigwa: Mtu anayeamua kwenda nje ya nchi na akaanza kukosoa, kwanza kwa tathmini ambayo sisi tumeifanya, wengi ni wale ambao wanataka kuutumia uhuru vibaya. Au kutumia uhuru kudhalilisha watu, kuhatarisha usalama wa nchi, kupotosha, au kuzua taharuki; mambo ambayo kwa mujibu wa sheria hayaruhusiwi. Kwa sababu uhuru nao una mipaka yake.

Na kwa bahati mbaya, kwa sababu mbalimbali, wengi wao wamekuwa katika miradi au mipango ya watu wenye malengo hasi dhidi ya nchi. Na huo ni ukweli wa wazi kabisa kwa sababu tunao watu ambao tumeona wanavunja sheria wakitumia fursa ya teknolojia, iwe ni mitandao ya kijamii au vyombo vya habari, kuleta taharuki ndani ya nchi na kutoa taarifa za upotoshaji.
Yes,
Ila nia zao ovu wanazozipenyeza kupitia baadhi ya baadhi ya AZAKI, zimeisha bainika na ni vema wakashughulikiwa kuanzia huko walipo 🐒
 
Hivi hizi akili za akina Msigwa ni za kurithi au ni za kununua! Hivi inawezekana kwenye nchi ya watu zaidi ya milioni 60 wawe wanawsifia tu! Likitokea kundi la kuwakosoa kutokana na madhaifu yenu, mnaaza kuliandama!!

Hivi hawa watu walistahili kweli kupewa mamlaka makubwa ndani ya nchi! Kwa nini wamekosa uvumilivu wa kisiasa dhidi ya wapinzani/wakosoaji wao?
Hata mimi nashangaa kwa kweli, ni watu wa ajabu sana
 
Hata mimi nashangaa kwa kweli, ni watu wa ajabu sana
Hili Taifa linaelekea mahali pabaya sana kama hatua za haraka hazitachukuliwa kulinusuru. Haiwezekani ukionekana wewe ni mpinzani/mkosoaji wa serikali basi unastahili kufungwa, kutekwa, kuteswa, kuuwawa, kunyanyaswa, kutishwa, nk

Hakuna dola kandamizi kote duniani ilifanikiwa kuwanyamazisha wapinzani/wakosoaji wa dola husika! Hakuna. Hivyo viongozi wajifunze kukubali kukosolewa na pia kujirekebisha! Badala ya kukaza mafuvu yao na kuumiza watu.
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026

Mwandishi: "Kwenye hili swala la uhuru, wakosoaji wengi wamekuwa wakikosolea nje ya nchi huku kukiwa na taarifa za watu kutekwa na mambo mengine. Je, huu uhuru una kigezo gani katika vitendo kama hivyo?"

Msigwa: Mtu anayeamua kwenda nje ya nchi na akaanza kukosoa, kwanza kwa tathmini ambayo sisi tumeifanya, wengi ni wale ambao wanataka kuutumia uhuru vibaya. Au kutumia uhuru kudhalilisha watu, kuhatarisha usalama wa nchi, kupotosha, au kuzua taharuki; mambo ambayo kwa mujibu wa sheria hayaruhusiwi. Kwa sababu uhuru nao una mipaka yake.

Na kwa bahati mbaya, kwa sababu mbalimbali, wengi wao wamekuwa katika miradi au mipango ya watu wenye malengo hasi dhidi ya nchi. Na huo ni ukweli wa wazi kabisa kwa sababu tunao watu ambao tumeona wanavunja sheria wakitumia fursa ya teknolojia, iwe ni mitandao ya kijamii au vyombo vya habari, kuleta taharuki ndani ya nchi na kutoa taarifa za upotoshaji.
Uyu nae anajua watu wote ni wajinga kama miaka ya nyuma! Hapo anahisi sisi kama ni watoto wadogo anatupanga tufikirie kama yeye ambaye anakula NCHI..

Ndio ile tunaambiwa "MUWE WAZALENDO NA NCHI YENU" huku wao wanakwapua..... uzalendo ni kukaa kimiya wenye Nchi wakijineemesha.
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026

Mwandishi: "Kwenye hili swala la uhuru, wakosoaji wengi wamekuwa wakikosolea nje ya nchi huku kukiwa na taarifa za watu kutekwa na mambo mengine. Je, huu uhuru una kigezo gani katika vitendo kama hivyo?"

Msigwa: Mtu anayeamua kwenda nje ya nchi na akaanza kukosoa, kwanza kwa tathmini ambayo sisi tumeifanya, wengi ni wale ambao wanataka kuutumia uhuru vibaya. Au kutumia uhuru kudhalilisha watu, kuhatarisha usalama wa nchi, kupotosha, au kuzua taharuki; mambo ambayo kwa mujibu wa sheria hayaruhusiwi. Kwa sababu uhuru nao una mipaka yake.

Na kwa bahati mbaya, kwa sababu mbalimbali, wengi wao wamekuwa katika miradi au mipango ya watu wenye malengo hasi dhidi ya nchi. Na huo ni ukweli wa wazi kabisa kwa sababu tunao watu ambao tumeona wanavunja sheria wakitumia fursa ya teknolojia, iwe ni mitandao ya kijamii au vyombo vya habari, kuleta taharuki ndani ya nchi na kutoa taarifa za upotoshaji.
1. Mandela.
  1. Oliver Tambo,
  2. Sam Nujoma,
  3. Eduardo Mondlane,
  4. Agostinho Neto,
  5. Kwame Nkrumah.
  6. Kaunda

Oliver Tambo (Afrika Kusini)
  • Harakati zake: Aliondoka Afrika Kusini mwaka 1960 baada ya chama cha ANC kupigwa marufuku kufuatia mauaji ya Sharpeville. Aliishi uhamishoni kwa miaka 30 katika nchi kama Zambia, Uingereza, na Tanzania, akiratibu harakati za kimataifa dhidi ya utawala wa kibaguzi wa Apartheid wakati Nelson Mandela akiwa gerezani.​

Sam Nujoma (Namibia)
  • Chama: SWAPO (South West Africa People's Organization)​
  • Harakati zake: Alitoroka Namibia mwaka 1960 kupitia Tanganyika (Tanzania) kuelekea nchi mbalimbali duniani. Aliongoza mapambano ya kidiplomasia na ya kijeshi ya chama cha SWAPO kutokea nchini Zambia na Angola hadi Namibia ilipopata uhuru wake mwaka 1990.​

Eduardo Mondlane (Msumbiji)​
  • Chama: FRELIMO (Frente de Libertação de Moçambique)​
  • Harakati zake: Alikuwa akiishi na kufanya kazi Marekani (ndani ya Umoja wa Mataifa), lakini alirejea Afrika na kuanzisha rasmi chama cha FRELIMO jijini Dar es Salaam, Tanzania mwaka 1962. Aliongoza vita vya msituni dhidi ya wakoloni wa Kireno kutokea nchini Tanzania hadi alipouawa kwa bomu la barua mwaka 1969.​

Dkt. Agostinho Neto (Angola)
  • Chama: MPLA (Movimento Popular de Libertação de Angola)​
  • Harakati zake: Baada ya kukamatwa na kukimbia kifungo nchini Ureno, Neto aliongoza harakati za ukombozi wa Angola kutokea nchi jirani za Kongo-Leopoldville (sasa DRC), Jamhuri ya Kongo, na Tanzania. Aliongoza mapambano ya silaha hadi Angola ilipopata uhuru mwaka 1975.​

Kwame Nkrumah (Ghana)
  • Harakati zake: Kabla ya kurejea nyumbani kuongoza mapambano ya mwisho, Nkrumah alisoma na kuishi Marekani na Uingereza kwa miaka mingi. Akiwa nje ya nchi, alikuwa mratibu mkuu wa Mikutano ya Umajumui wa Afrika (Pan-African Congresses), ukiwemo mkutano wa kihistoria wa Manchester mwaka 1945 ulioweka mikakati ya kudai uhuru wa nchi za Afrika.​

Amílcar Cabral (Guinea-Bissau na Cape Verde)
  • Chama: PAIGC (Partido Africano da Independência da Guiné e Cabo Verde)​
  • Harakati zake: Alianzisha chama cha PAIGC na kuendesha vita vya msituni dhidi ya utawala wa Kireno kutokea nchi jirani ya Guinea-Conakry, ambako alipewa makao makuu na ulinzi na Rais Ahmed Sékou Touré.​
Mataifa yaliyokuwa tayari huru kama vile Tanzania (chini ya Mwalimu Julius Nyerere), Zambia (chini ya Kenneth Kaunda), na Misri (chini ya Gamal Abdel Nasser) yalikuwa vitovu vikuu (Frontline States) vilivyowapa hifadhi na kuwawezesha wapigania uhuru hawa kufanikisha malengo ya​
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026

Mwandishi: "Kwenye hili swala la uhuru, wakosoaji wengi wamekuwa wakikosolea nje ya nchi huku kukiwa na taarifa za watu kutekwa na mambo mengine. Je, huu uhuru una kigezo gani katika vitendo kama hivyo?"

Msigwa: Mtu anayeamua kwenda nje ya nchi na akaanza kukosoa, kwanza kwa tathmini ambayo sisi tumeifanya, wengi ni wale ambao wanataka kuutumia uhuru vibaya. Au kutumia uhuru kudhalilisha watu, kuhatarisha usalama wa nchi, kupotosha, au kuzua taharuki; mambo ambayo kwa mujibu wa sheria hayaruhusiwi. Kwa sababu uhuru nao una mipaka yake.

Na kwa bahati mbaya, kwa sababu mbalimbali, wengi wao wamekuwa katika miradi au mipango ya watu wenye malengo hasi dhidi ya nchi. Na huo ni ukweli wa wazi kabisa kwa sababu tunao watu ambao tumeona wanavunja sheria wakitumia fursa ya teknolojia, iwe ni mitandao ya kijamii au vyombo vya habari, kuleta taharuki ndani ya nchi na kutoa taarifa za upotoshaji.
Yeye mwenyewe akitenguliwa kwenye hiyo nafasi aliyonayo hana chochote kizuri cha kusema kuhusu hiyo Serikali.
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026

Mwandishi: "Kwenye hili swala la uhuru, wakosoaji wengi wamekuwa wakikosolea nje ya nchi huku kukiwa na taarifa za watu kutekwa na mambo mengine. Je, huu uhuru una kigezo gani katika vitendo kama hivyo?"

Msigwa: Mtu anayeamua kwenda nje ya nchi na akaanza kukosoa, kwanza kwa tathmini ambayo sisi tumeifanya, wengi ni wale ambao wanataka kuutumia uhuru vibaya. Au kutumia uhuru kudhalilisha watu, kuhatarisha usalama wa nchi, kupotosha, au kuzua taharuki; mambo ambayo kwa mujibu wa sheria hayaruhusiwi. Kwa sababu uhuru nao una mipaka yake.

Na kwa bahati mbaya, kwa sababu mbalimbali, wengi wao wamekuwa katika miradi au mipango ya watu wenye malengo hasi dhidi ya nchi. Na huo ni ukweli wa wazi kabisa kwa sababu tunao watu ambao tumeona wanavunja sheria wakitumia fursa ya teknolojia, iwe ni mitandao ya kijamii au vyombo vya habari, kuleta taharuki ndani ya nchi na kutoa taarifa za upotoshaji.
Wanaohoji akili za msigwa mnamuonea. Hakuna chawa mwenye akili hata awe profesa. Unapokuwa na machawa kama bashiti msigwa ridhiwan mchengerwa na mkewe kabudi na waseeengee wengine, tegemea hayo.
 
Msigwa: Mtu anayeamua kwenda nje ya nchi na akaanza kukosoa, kwanza kwa tathmini ambayo sisi tumeifanya, wengi ni wale ambao wanataka kuutumia uhuru vibaya..
Kukosoa kutokea nje ni muhimu maana wakiwa huko ndani wanawindwa kama digi digi, wanatekwa, kufirwa, kuuawa
 
1. Mandela.
  1. Oliver Tambo,
  2. Sam Nujoma,
  3. Eduardo Mondlane,
  4. Agostinho Neto,
  5. Kwame Nkrumah.
  6. Kaunda

Oliver Tambo (Afrika Kusini)
  • Harakati zake: Aliondoka Afrika Kusini mwaka 1960 baada ya chama cha ANC kupigwa marufuku kufuatia mauaji ya Sharpeville. Aliishi uhamishoni kwa miaka 30 katika nchi kama Zambia, Uingereza, na Tanzania, akiratibu harakati za kimataifa dhidi ya utawala wa kibaguzi wa Apartheid wakati Nelson Mandela akiwa gerezani.​

Sam Nujoma (Namibia)
  • Chama: SWAPO (South West Africa People's Organization)​
  • Harakati zake: Alitoroka Namibia mwaka 1960 kupitia Tanganyika (Tanzania) kuelekea nchi mbalimbali duniani. Aliongoza mapambano ya kidiplomasia na ya kijeshi ya chama cha SWAPO kutokea nchini Zambia na Angola hadi Namibia ilipopata uhuru wake mwaka 1990.​

Eduardo Mondlane (Msumbiji)​
  • Chama: FRELIMO (Frente de Libertação de Moçambique)​
  • Harakati zake: Alikuwa akiishi na kufanya kazi Marekani (ndani ya Umoja wa Mataifa), lakini alirejea Afrika na kuanzisha rasmi chama cha FRELIMO jijini Dar es Salaam, Tanzania mwaka 1962. Aliongoza vita vya msituni dhidi ya wakoloni wa Kireno kutokea nchini Tanzania hadi alipouawa kwa bomu la barua mwaka 1969.​

Dkt. Agostinho Neto (Angola)
  • Chama: MPLA (Movimento Popular de Libertação de Angola)​
  • Harakati zake: Baada ya kukamatwa na kukimbia kifungo nchini Ureno, Neto aliongoza harakati za ukombozi wa Angola kutokea nchi jirani za Kongo-Leopoldville (sasa DRC), Jamhuri ya Kongo, na Tanzania. Aliongoza mapambano ya silaha hadi Angola ilipopata uhuru mwaka 1975.​

Kwame Nkrumah (Ghana)
  • Harakati zake: Kabla ya kurejea nyumbani kuongoza mapambano ya mwisho, Nkrumah alisoma na kuishi Marekani na Uingereza kwa miaka mingi. Akiwa nje ya nchi, alikuwa mratibu mkuu wa Mikutano ya Umajumui wa Afrika (Pan-African Congresses), ukiwemo mkutano wa kihistoria wa Manchester mwaka 1945 ulioweka mikakati ya kudai uhuru wa nchi za Afrika.​

Amílcar Cabral (Guinea-Bissau na Cape Verde)
  • Chama: PAIGC (Partido Africano da Independência da Guiné e Cabo Verde)​
  • Harakati zake: Alianzisha chama cha PAIGC na kuendesha vita vya msituni dhidi ya utawala wa Kireno kutokea nchi jirani ya Guinea-Conakry, ambako alipewa makao makuu na ulinzi na Rais Ahmed Sékou Touré.​
Mataifa yaliyokuwa tayari huru kama vile Tanzania (chini ya Mwalimu Julius Nyerere), Zambia (chini ya Kenneth Kaunda), na Misri (chini ya Gamal Abdel Nasser) yalikuwa vitovu vikuu (Frontline States) vilivyowapa hifadhi na kuwawezesha wapigania uhuru hawa kufanikisha malengo ya​
Hizo zote zilikuaa genuine movements sio hawa watukanaji wa sasa hivi.
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026

Mwandishi: "Kwenye hili swala la uhuru, wakosoaji wengi wamekuwa wakikosolea nje ya nchi huku kukiwa na taarifa za watu kutekwa na mambo mengine. Je, huu uhuru una kigezo gani katika vitendo kama hivyo?"

Msigwa: Mtu anayeamua kwenda nje ya nchi na akaanza kukosoa, kwanza kwa tathmini ambayo sisi tumeifanya, wengi ni wale ambao wanataka kuutumia uhuru vibaya. Au kutumia uhuru kudhalilisha watu, kuhatarisha usalama wa nchi, kupotosha, au kuzua taharuki; mambo ambayo kwa mujibu wa sheria hayaruhusiwi. Kwa sababu uhuru nao una mipaka yake.

Na kwa bahati mbaya, kwa sababu mbalimbali, wengi wao wamekuwa katika miradi au mipango ya watu wenye malengo hasi dhidi ya nchi. Na huo ni ukweli wa wazi kabisa kwa sababu tunao watu ambao tumeona wanavunja sheria wakitumia fursa ya teknolojia, iwe ni mitandao ya kijamii au vyombo vya habari, kuleta taharuki ndani ya nchi na kutoa taarifa za upotoshaji.
Huyu Gerson Msigwa hajawahi pata watu wenye akili timamu wakumuuliza maswali
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026

Mwandishi: "Kwenye hili swala la uhuru, wakosoaji wengi wamekuwa wakikosolea nje ya nchi huku kukiwa na taarifa za watu kutekwa na mambo mengine. Je, huu uhuru una kigezo gani katika vitendo kama hivyo?"

Msigwa: Mtu anayeamua kwenda nje ya nchi na akaanza kukosoa, kwanza kwa tathmini ambayo sisi tumeifanya, wengi ni wale ambao wanataka kuutumia uhuru vibaya. Au kutumia uhuru kudhalilisha watu, kuhatarisha usalama wa nchi, kupotosha, au kuzua taharuki; mambo ambayo kwa mujibu wa sheria hayaruhusiwi. Kwa sababu uhuru nao una mipaka yake.

Na kwa bahati mbaya, kwa sababu mbalimbali, wengi wao wamekuwa katika miradi au mipango ya watu wenye malengo hasi dhidi ya nchi. Na huo ni ukweli wa wazi kabisa kwa sababu tunao watu ambao tumeona wanavunja sheria wakitumia fursa ya teknolojia, iwe ni mitandao ya kijamii au vyombo vya habari, kuleta taharuki ndani ya nchi na kutoa taarifa za upotoshaji.
Sasa kama mtu atakwenda nje au akasemea hapa hapa ndani lakini akasema ukweli tupu, tatizo ni nini hasa? Wanataka watafune rasilimali za taifa tukiwa tumekaa kimya? Sisi tulioko nje bado midomo haijajaa mafuta. Wao kwa kuwa wako jikoni midomo imejaa mafuta hawataki tuseme kitu? Mungu anawaona ibilisi wakubwa!
 
Back
Top Bottom