Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jeshi linalotumwa kuwalindia madaraka Askari mwenye V tatu Mshahara 625,000 /= baada ya makato Huna V hata moja 228,000/= Hii iliongezwa kutoka 215,000/= Kupanda vyeo labda jeshini, polisi...
9 Reactions
22 Replies
572 Views
Kuna hivi vyombo vya habari vya machawa navyo siku hizi wanazungumza siasa, wasafi tv, clouds media na vyombo vingine vya habari zikiwemo youtube channel za machawa, nao siku hizi wanachambua...
8 Reactions
16 Replies
353 Views
Kwa katiba yetu tunajua Amiri Jeshi Mkuu ndo kila kitu kwenye nchi yetu. Sasa hizi tume mnazounda kila siku na kula kodi za wananchi wakati mtuhuumiwa namba moja katiba inamlinda hawezi kufanywa...
5 Reactions
9 Replies
208 Views
Hii ndio habari ambayo hukuambiwa kwenye Mikutano inayoendelea Nchi nzima Mamilioni ambayo Chadema inachangiwa na wananchi katika Mikutano yake ni balaa, huku Taarifa zingine zikionyesha kwamba...
18 Reactions
36 Replies
762 Views
CHADEMA Dodoma Yatia Shaka Mwenendo wa Kesi ya Tundu Lissu 'Haki Inachelewa Kupatikana' wakiendelea kusema wanahitaji Mwenyekiti wao Tundu Lissu awe huru kwa sababu kesi iliyomuweka ndani mwaka...
2 Reactions
6 Replies
190 Views
Ndugu zangu Watanzania, John Heche Inapaswa kwa sasa asiwepo Mitaani,inapaswa awe ndani ,inapaswa awe kwenye ulinzi mkali wa Magereza ,inapaswa awe kwenye Mfululizo wa mahojiano na kujibu...
2 Reactions
69 Replies
943 Views
Mgombea Ubunge Jimbo la Ismani Emmanuela Mtatifikolo ameendelea na kampeni katika Kata ya Mlenge ambapo amewaahidi wananchi wa Kata hiyo kuwa endapo wakipiga kura za ndiyo na kuchagua Chama Cha...
1 Reactions
2 Replies
85 Views
CCM Kazi munayo... hivi hawa watu huwa munawachuja namna gani mpaka munawaleta sebuleni kwa kadamnasi? Sikilizeni wenyewe hapa: https://youtube.com/shorts/DteGyHfWMlI?si=G2EpvTOYd3oogcVh
2 Reactions
7 Replies
162 Views
Hatujui Kombo kapewa taarifa gani, lkn yumkini itakuwa ni kuhusiana na mauaji ya 29/10 na kesi iliyofunguliwa ICC. Waliokuwa wanasema hakuna kesi iliyofunguliwa ICC na kudhani mambo yataisha...
23 Reactions
365 Replies
7K Views
  • Redirect
Rais Samia aunda Tume Maalum ya Jinai Kuchunguza Ghasia za Uchaguzi. Rais Samia Suluhu Hassan ameunda rasmi tume maalum ya uchunguzi wa makosa ya jinai kwa ajili ya kuwabaini na kuwashtaki...
0 Reactions
Replies
Views
Huu mkeka wa ufisadi umepamba moto miaka ya karibuni bila kuchukuliwa hatua, TAKUKURU ina fuatilia vidagaa, na ni kwa vile wakubwa wanahusika katika hii grand corruption. Ujenzi sasa hivi ni...
3 Reactions
5 Replies
177 Views
Ni kama figisu zimeanza. Makonda hamtaki Mwana FA pale Wizarani. Alichofanya Makonda, ni kumgeuza Msigwa (Katibu Mkuu wa Wizara) kama chawa wake kwenye mitikasi yake pale wizarani. Safari wapo...
32 Reactions
68 Replies
3K Views
Kwa taarifa Tu. Tunaendelea vyema kulipa deni letu huko Iran. Hatuja default hata mara moja (kwa lugha ya kimkopo). Sema sasa ukiniuliza Mkopo tulifanyia nn ndio sijui. Wabillah Taufiq. ---...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Wabunge wenye michango yenye mashiko katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wapo wengi. Lakini hapa wanatajwa wabunge 7 tu ambao wakipewa nafasi ya kuongea, michango yao au hoja zao...
0 Reactions
11 Replies
361 Views
Mama Samia anaunda tume kila siku za kitapeli ambazo wanataka kutumika kusingizia matatizo ya vurugu wapinzani. Wameishiwa mbinu sasa tume zenyewe za mchongo kazi yake ni kuja na mapendekezo ya...
2 Reactions
4 Replies
221 Views
Kipindi Cha kampeni tuliahidiwa to Tanzia itaunda FBI, sasa sijui imeishia wapi
2 Reactions
13 Replies
185 Views
Akili yenye afya ingemwelekeza kujenga akademi za mpira walau 5 tu nchi nzima, halafu akawa anaweleta hao wacheza mpira wa zamani kuja kuwatia hamasa vijana kwenye hizo akademi za mpira...
8 Reactions
12 Replies
234 Views
KENYA: TAIFA AMBALO WANANCHI NDIO MAMLAKA YA MWISHO, SI VIONGOZI Na Revocatus James Ng'oja Mwanaharakati Katika bara la Afrika, mataifa mengi bado yanaendelea kupambana kujenga mifumo ya...
8 Reactions
12 Replies
308 Views
Inasikitisha.....Naona CCM inakwenda kwenye mkondo wa Sharpeville Masacre and here we are! Tume ya jana itakuja na mapendekezo ya kuifuta Sikiliza clip
0 Reactions
4 Replies
119 Views
Back
Top Bottom