Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu Watanzania, Usicheze na magereza hata siku moja . Kule siyo kwa mchezo mchezo,kule hata uwe Nunda kiasi gani utajikuta umebadilika kitabia na kuwa mtu mwema tu utake usitake upende...
3 Reactions
47 Replies
1K Views
Katika historia ya siasa za kimataifa, mataifa mengi hayakuangushwa kwa vita vya wazi. Badala yake, yaliangushwa kwa mbinu za ndani kupitia propaganda, migawanyiko ya kijamii, na operesheni za...
-2 Reactions
19 Replies
327 Views
Huu ndio ukweli unaofichwa, Hatua ambayo Marekani na Jumuiya ya Ulaya inachukua dhidi ya Serikali katili ya Tanzania zinaungwa Mikono na Wananchi wote wa Tanzania Hili ni jambo muhimu sana, hasa...
21 Reactions
47 Replies
949 Views
Nimefikiri na kutafakari kwa muda mrefu baada ya matukio ya ukiukwaji wa haki, utu na dhuluma dhidi ya uhai wa binadamu yaliyotokea tarehe 29 Oktoba 2025. Siwezi kuendelea kuishi katika huzuni na...
24 Reactions
175 Replies
3K Views
Kwa nchi zinazojali utu, huwezi kushilikiana na serikali katili ya CCM. Kwa sasa ipi tofauti ya CCM na vikundi vya kigaidi kama Hamas, ISS, na Boko Haram. Maana wote wanaua,wote wanateka,wote...
6 Reactions
8 Replies
258 Views
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, ameeleza kuwa Serikali inatengeneza mfumo rasmi wa kusajili watoa huduma mbalimbali nchini ili kukidhi mahitaji makubwa ya...
1 Reactions
4 Replies
304 Views
Awamu ya Tano ya JIWE ulifanikiwa kuongea na Maseneta wa Marekani zaidi ya 20, na ukitaka uwakutanishe na JIWE, lakini JIWE akachomoa betri. Naamini hili linaloendelea kwako ni jepesi Sana kama...
-1 Reactions
9 Replies
239 Views
Hapa ndipo Mahali tulipofikishwa Kama Nchi Timu yetu ya Uchunguzi imewahoji baadhi ya Wakopeshaji (Majina yanahifadhiwa) ambao wamekiri kuongeza kipengere hicho, kwa ajili ya Usalama wa fedha...
5 Reactions
16 Replies
335 Views
Hivi Ina maana vyombo havioni Biashara ya Madawa hasa ya cocaine inavyoenea majiji?! Network ya watu wanokwenda Mombasa, Dar , Arusha na Dodoma. Wanazuga kama wanafanya Biashara za Magari na...
0 Reactions
2 Replies
160 Views
Nimekuwa nafuatilia vyombo vya habari hususan mitandao ya kijamii na mazungumzo ya watu mitaani. Siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la chuki kwa viongozi wakuu wa nchi. Chuki...
1 Reactions
18 Replies
311 Views
NImetafakari hili jambo nikaona bora tuwaze pamoja. Mbunge wa CCM hata akikaa jimboni miaka 10 hadi 15 na wengine miaka 20 wakiachia jimbo tu huwa wanakuwa na maisha yasiyoridhisha. Ukiachana...
7 Reactions
63 Replies
3K Views
Maana yake yangemuachia Lissu, kwakua Lissu yeye anachotaka ni KATIBA MPYA NA TUME HURU ambayo ndani yake inajali Kila Lilo la HAKI. Alafu wakamuita LISSU , wakakaa naye Meza Moja, "Bwanaee...
4 Reactions
27 Replies
482 Views
Wakuu, Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, ajeruhiwa kwa risasi. Kwa sasa wapo hospitali ya Mkoa, mjini Dodoma...
82 Reactions
4K Replies
530K Views
Museveni aliyempa maharamia ya kuja kuua watoto wa Tanganyika yeye alimaliza Uchaguzi uliokuwa na mikiki mikiki yote lakini hakuua hata mbu. Kagame alishangaa unawezaje kuua watu ambao kimsingi...
3 Reactions
7 Replies
197 Views
Tanzania ni Nchi huru na isiyoweza kuingiliwa na Nchi nyingine kwenye masuala yake ya ndani. Sasa, kwa nini tunawa-bembeleza waa-Amerika wasituwekee vikwazo? Kwa nini tusiwapuuze waa-Amerika kwa...
0 Reactions
1 Replies
93 Views
Humphrey Polepole ndiye angekuwa kiungo cha Maridhiano Nchini na Duniani.
11 Reactions
25 Replies
634 Views
Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo. Sisi Watanzania tuna utamaduni wa kuchangiana kwenye sherehe au misiba, hivyo ili Tanzania tuweze kupata maendeleo ya kweli...
4 Reactions
16 Replies
257 Views
Lissu kashindikana mafisadi watajaribu kila njia . Asiamini hata watu ndani ya Chadema. Hawawezi kumshinda kwa hoja, kukubalika kwenye jamii, akili, kutokuwa fisadi, na kujitoa muhanga. Hivyo...
3 Reactions
10 Replies
195 Views
Tanzania inahitaji fidia kutoka kwa mabeberu yaliyochota mali na kuchukua watu utumwani. Hii ni sambamba na kutoa idadi kamili ya maafa yaani waliouawa kwa mijeledi na kunyongwa nyakati za ukoloni
2 Reactions
30 Replies
436 Views
Ndugu zangu Watanzania, Hicho ni kiapo chetu watanzania,Ni Kiapo Cha Ulinzi kwa Rais wetu ,ni kiapo cha Utetezi kwa Rais wetu, ni kiapo cha Utii kwa Rais wetu ,Ni kiapo cha kutomsaliti Jemedari...
4 Reactions
86 Replies
1K Views
Back
Top Bottom