Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Featured
Wakuu, Heche kupitia mtandaoni ametangaza kifo cha mwasisi wa chama chao CHADEMA, Mzee Edwin Mtei baada ya familia kuthibitisha huku mipango ya mazishi ikiendelea nyumbani kwake Tengeru, Arusha...
31 Reactions
116 Replies
5K Views
Wanabodi, Mimi ni mtu wa mastori mastori hivyo kama wewe sio mtu unaependa mastori mastori just jump this. Self Proclaimed Psychoanalysis Teacher wa Jf Humu duniani kuna daraja mbalimbali...
13 Reactions
51 Replies
5K Views
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Viongozi wa Vyama vya Siasa nchini, waliofika Ikulu jijini Dar es Salaam, Oktoba 15, 2013. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha...
1 Reactions
6 Replies
224 Views
Licha ya hivyo, Porojo, uzushi na upotoshaji wa seneta Ted Cruz kwa maseneta wenzake, kamwe hauwezi kumshawishi Rais wa Marekani D.Trump, ambae kiukweli nae yuko confused, kuchukua hatua yoyote...
2 Reactions
14 Replies
299 Views
Kuna mambo nchi hii, yanatia kinyaa, yanaleta aibu, na masikitiko makubwa sana. Mtu anasimama na kudai kuwa kemeo la Marekani dhidi ya mauaji ya 29 October 2025, na utekaji wa wanaotetea haki na...
7 Reactions
10 Replies
180 Views
Wakuu Waziri wa mambo ya ndani Patrobas Katambi anawabatiza watu wenye mitazamo mbadala kama "wasaliti" na "choroko zisizoiva," huku akitumia mifano ya kidini kumweka Rais kwenye nafasi ya...
1 Reactions
10 Replies
248 Views
  • Redirect
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Alhamisi Mei 28.2026, Mahakama imeifuta rasmi na kuindoa Mahakamani Hati ya kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa...
5 Reactions
Replies
Views
Anonymous
Mimi ni mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, nina kero juu ya Mkuu wa Wilaya ya Ngara, anaitwa Mathias Kahabi. Mkuu huyo wa Wilaya ana tabia ya kudhalilisha na kutukana watumishi ikiwa ni...
4 Reactions
5 Replies
199 Views
TAARIFA KWA UMMA WIZARA YA MAMBO YA NJE YASIKITISHWA NA UPOTOSHAJI WA TAARIFA BAADA YA HOTUBA YA BAJETI YA MWAKA 2026/2027 Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesikitishwa...
8 Reactions
66 Replies
1K Views
Kombo: Rais Analaumiwa Wazazi Hawalaumiwi— "Tumuoneeni huruma kiongozi wetu" Akiwasilisha bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje, jana Mei 26, 2026, Balozi Mahmod Kombo amewataka Wabunge kumlinda Rais...
2 Reactions
75 Replies
1K Views
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Alhamisi Mei 28.2026, Mahakama imeifuta rasmi na kuindoa Mahakamani Hati ya kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa...
1 Reactions
8 Replies
340 Views
Suala la October 29 limetuchafua kama chama najua sasa hivi tuko kwenye majuto japokua hatuwezi kutoka na kukili mbele ya kadamnasi. Unaenda kwenye uchaguzi mkuu wa chama...
16 Reactions
31 Replies
603 Views
"Turudi kwenye misingi. Polisi wajibu wenu ni huu, Jeshi wajibu wenu ni huu, Idara ya Usalama wajibu wenu ni huu. Siasa ni kazi ya wanasiasa. Wanasiasa wakifanya makosa mtawakamata, mtawashtaki...
1 Reactions
4 Replies
239 Views
Ni jambo jema kuwaalika Maseneta wa Marekani ili waje wafanye uchunguzi wao kuhusu yaliyotokea October 29 na mengine mengi yanayolalamikiwa na wanasiasa wa upinzani, wanasheria na wanaharakati...
2 Reactions
8 Replies
172 Views
Daniel Mjema, Mwandishi wa Habari na mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili (PhD) katika Mawasiliano ya Umma Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, amefanya uchambuzi huu na The Citizen.... nini maoni yako...
1 Reactions
3 Replies
255 Views
"Vyombo vya ulinzi na usalama mahala pao ni barracks, ni vituo vya polisi, ni kwenye kazi za kiintelijensia, sio siasa. Siasa iachwe ifanywe na wanasiasa. Vyombo viwe delinked na siasa, na wao...
4 Reactions
9 Replies
273 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la Jumatano ya leo ni kuwaelimisha Watanzania kuwa kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya mwaka 1977. Rais wa JMT kama Taasisi ya urais, hakosei...
5 Reactions
19 Replies
386 Views
Habari za ndani zina sema mwezi wa sita mwishoni ujumbe wa CCM ukiongizwa na watajwa hapo juu utaelekea Marekani ili kuitetea serikali ya CCM kwa mauaji yaliyotokea October 29 30 na 31 pamoja...
6 Reactions
29 Replies
502 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Leo. Kufuatia Ibara ya 46 ya katiba yetu kuwa na kipengele cha kinga yaq Rais wa Tanzania, hawezi kushitakiwa mahakamani kwa kosa lolote...
1 Reactions
17 Replies
298 Views
Narejea maneno haya kwa hali mpya ya sasa. Kwa hali ilivyo sasa kundi la Cartel limekuwa kubwa. Mahakama hazitendi haki, zinashirikiana na waharifu. Polisi hawatendi haki, vituo vimekuwa ni sehemu...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Back
Top Bottom