Baada ya Marekani, Mataifa ya Ulaya na Canada wanafuata

Baada ya Marekani, Mataifa ya Ulaya na Canada wanafuata

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,469
Reaction score
11,247
Kwa nchi zinazojali utu, huwezi kushilikiana na serikali katili ya CCM. Kwa sasa ipi tofauti ya CCM na vikundi vya kigaidi kama Hamas, ISS, na Boko Haram. Maana wote wanaua,wote wanateka,wote wanalawiti, wote hawafati demokrasia.

Kama ilivyotokea Zimbabwe, haiwezekani US akupige Pini then UK, EU na Canada wawe upande wako.

CCM jiulize why 2005-2015, hayo mambo hayakuwepo, mlipokea ugeni mzito kina Bush,Obama, Xi. Now wageni wenu ni vibaka kina Kagame na Museveni.

Tanzania now badilika

Harakaharaka tarehe 11,mwachie Lissu labda mnaweza pumua kidogo.
 
Washauri wenyewe ndiyo kama huu mzimu hapa chini
WhatsApp Image 2026-05-07 at 15.36.24.jpg
 
Msajiri, polisi na mahakama ndio wanazidisha provocation kwa watu.
Sioni dhamira ya kufikia mwafaka wa kitaifa.....Huwezi kuendelelea na maisha yaleyale ya kamatakamata, kesi, fungiafungia halafu utegemee uje ufanye maridhiano na watu walewale.

Halafu mambo mengine mbona ni negligible tu...
Kuna like limwanamke la korogwe juzi limezungumza kauli ya ovyo sana, lakini busara ilitumika, kauli ile ikapuuzwa tu, maisha mengine yakaendelea.
Ndio siasa......lakini busara hizohizo msajiri hazitumii kwa vyama vingine.

Sasa matokeo yake ndio yalee, watu kusherekea tanzia za viongozi, na itafika mahali hatutazikana....
Itafika mahali haitaishia hapo, uhasama utakwenda mbali zaidi.
Kuna wakati watumishi wa TRA walipata ajari ya gari Singida, lakini kilichotokea ni watu raia wake kawaida walifurahia vifo vile.
 
Msajiri, polisi na mahakama ndio wanazidisha provocation kwa watu.
Sioni dhamira ya kufikia mwafaka wa kitaifa.....Huwezi kuendelelea na maisha yaleyale ya kamatakamata, kesi, fungiafungia halafu utegemee uje ufanye maridhiano na watu walewale.

Halafu mambo mengine mbona ni negligible tu...
Kuna like limwanamke la korogwe juzi limezungumza kauli ya ovyo sana, lakini busara ilitumika, kauli ile ikapuuzwa tu, maisha mengine yakaendelea.
Ndio siasa......lakini busara hizohizo msajiri hazitumii kwa vyama vingine.

Sasa matokeo yake ndio yalee, watu kusherekea tanzia za viongozi, na itafika mahali hatutazikana....
Itafika mahali haitaishia hapo, uhasama utakwenda mbali zaidi.
Kuna wakati watumishi wa TRA walipata ajari ya gari Singida, lakini kilichotokea ni watu raia wake kawaida walifurahia vifo vile.
Nimesikiliza interview ya Mahita jana IGP mstaafu.Kuna maoni au swali aliulizwa kuhusu utendaji wa sasa wa polisi na nini angekisimamia kwa mazingira ya sasa.Majibu yake:
1. Askari wafuate utaratibu wa sheria na PGO yao.
2.Wasitumike kisiasa na wasipokee order kutoka kwa wanasiasa, akasema kiutaratibu wanaweza kupokea order kutoka kwa Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu na sio kutoka kwa mawaziri na viongozi wengine wa kisiasa
3.Kama kuna vyombo vingine vinakamata watu, vidiwapeleke watuhumiwa wao kwenye mahabusu za polisi, wakamate wao waendelee nao kwenye safe house zao na wanakojua wao.
 
Back
Top Bottom